Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Kwanini mtu anaacha risiti, hasa kubwa kubwa sheli? Watu hawapigi hesabu?
 
Linahitaji timing. Ziko tatu kama zote zinafanya kazi hata ukiwa hapo Utumishi wa umma unavuka haraka sana. ILA ukute moja wamelipumzisha halafu kuna meli zinapita utajua kuwa Kigamboni ni Zanzibar
 
Linahitaji timing. Ziko tatu kama zote zinafanya kazi hata ukiwa hapo Utumishi wa umma unavuka haraka sana. ILA ukute moja wamelipumzisha halafu kuna meli zinapita utajua kuwa Kigamboni ni Zanzibar
Timing tuwaachie wazoefu. Acha nivukie darajani tu. Muda sio mrefu jamaa wa nyuma yangu kapigwa tochi pale darajani [emoji1787][emoji1787] wako pande zote mbili ukishavuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…