Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Mimi mtu akiniomba namtafutia bure kabisa.Mchaji hata buku, service charge ya kumtafutia na kumtunzia. Si dhambi [emoji1787]
Sasa kwanini usimchaji ilhali unajua ni kazi?Mimi mtu akiniomba namtafutia bure kabisa.
Japo kutafuta zile.risiti siyo kazi ndogo.
Zote zinadondokea mule kwenye kapu pale,,zinachanganyikana.Sasa kwanini usimchaji ilhali unajua ni kazi?
Na unakuwa unazitunza kabisa mahala special, risiti za kuanzia elf30 kupanda juu...
Kwa siku wangapi wanaomba risiti?
Hivi sijakuambia nilikuwa na pombe?Tatizo sio mnywaji. Ungekuwa unakunywa ungekuwa unawachaji upate hela.ya kupiga vyombo.
Nchi yangu Tz itafika mbinguni ikiwa imechoka sana..[emoji38]Upigaji kila eneo
Hasa sisi watanzania tutafika tukiwa hoiNchi yangu Tz itafika mbinguni ikiwa imechoka sana..[emoji38]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hasa sisi watanzania tutafika tukiwa hoi
Hahah hapo kapewa cheti na afande physics!Madereva wa serikali sometimes mnaboa sana..[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]View attachment 2074989
[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahah hapo kapewa cheti na afanye physics!
Huyu haangalii usajili wa gari wala dereva. Yeye sheria yake ni moja, "Two objects shall not occupy the same space at the same time"
[emoji38]Hahah hapo kapewa cheti na afanye physics!
Huyu haangalii usajili wa gari wala dereva. Yeye sheria yake ni moja, "Two objects shall not occupy the same space at the same time"
Duuh mbona mimi sijawahi kukuta foleni ya kukaa muda wote huo? Basi itakuwa kweli nalioteaga tu!Pantoni hili hili na mateso yake yote?
Jana jioni nimetoka kugeuza pale chuo cha ustawi maana foleni ya pantoni ilifika kule, nikageuka mpaka darajani na nikafika muda sawa na aliyevuka kwa miguu
Mwezi uliopita nilispend 2 hours kuvuka pale na pantoni
Labda wewe unaliotea mida yake unavuka shwaap, ila mimi kwangu limelaanika lile dude
Usipite bandarini,pita uhasibu. Ndio njia yangu kila siku. Pantoni ni second option.Duuh mbona mimi sijawahi kukuta foleni ya kukaa muda wote huo? Basi itakuwa kweli nalioteaga tu!
Ni kama mimi ninavyowashangaa wanaoiotea njia ya daraja ikiwa haina foleni. Mimi lazima nikute foleni ya malori asee.
Maana mie nilishawahi kuspend more than two hours kwenye barabara inayoenda kwenye lile daraja daah sina hamu tena.
Kila Siku? Unaishi Kigamboni?Usipite bandarini,pita uhasibu. Ndio njia yangu kila siku. Pantoni ni second option.
Kibada, Mjimwema, Vijibweni, Kimbiji au wapi? [emoji16] [emoji85]Yeah
Anhaaa [emoji846][emoji846]Geza