Mkimalizana mje na kwetu huku Tabata jeshini😅Bora kwa RRONDO naweza nikaenda maana Kigamboni huwa naenda mara kwa mara. Ila huko Kinyerezi na Mbezi mweee.
Fanya kweli mkuu,12,000sqm hio ni kama heka 2.5 hivi. Nitakujulisha nikipata mtu
Hapo tungeuana kupambania zile safe jackets😅Ya zamani. Hapo ilikuwa inafanyakazi pantoni moja. Pantoni kubwa ilikuwa kwenye matengenezo.
Acha tu Tabata bar zipo mpaka mkabala na jeshi kabisa😂 ushindwe wewe tu! Nyomi la hatariTabata kwa wala bata.
Hiko kiwanja kinafika 3 acres in accurate figures. Bei ni 120MBei ?
Wenzio wanachaji buku kwa kila elfu 10 mojaI wish lakini tatizo sina hela na jeuri hiyo[emoji16].
Ila Mungu ambariki maana kila siku anapita,tukipiga kwa mwezi anatuunga kama 120 lita sawa na mteja anayepita mara moja kujaza full tank.
Ukuaji tu utafikia mahali utapoa sana😅Jamani jamani siku hizi nimeacha [emoji85][emoji85]
Duh hii ajali ya wapi hapo ni wami au? Hilo daraja si kuna kusubiriana hapo imekuwaje?Madereva wa serikali sometimes mnaboa sana..[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]View attachment 2074989
Mkuu pole sana kwa ajali uliyopata, na Asante kwa Muumba kwa kukuweka hai.Tumeuanza mwaka Ila kuna mtu sioni ski comment siku hizi. Bwana Extrovert kimya mno. Ingekua ni bwana RRONDO angesha tafutwa Kwa udi na uvumbe na hizi pic Kali.
Mm nilipata mzinga mwaka Jana nikapotea muda mrefuuu hakuna ATA alie ulizia hehe. Tumshukuru mungu tuko hai. Binafsi nimeuona uwepo wa mungu. Tukumbukane thou hatufahamiani.View attachment 2076423
Tunatoa bure[emoji16]Wenzio wanachaji buku kwa kila elfu 10 moja
Mimi siyo kuogopa tu!,Hii imetokea lini? Maji naogopa sana na ndio hiko kinanifanya sipendi kuishi kigamboni
Kumbe nako kuna maeneo ya uswahilini!15,000 per SQM ni bei ya kawaida sana. Nijuacho Mbweni imegawanyika sana.
😅😅😅😅😅😅😅 maji ya pool sawa ila sio bahariniMimi siyo kuogopa tu!,
Siwezi dumbukiza mwili wangu kwenye maji eti naogelea,siwezi uacha uelekee kwenye hizo pantoni sijui mtumbwi.
Ukipigwa tochi gari nyeupe, ukifika mbele gari ishabadilika kuwa nyeusi.Duuh nimelicheck asee liko vyedi hasa show ya mbele Vents za kibabe. On top of that nimefurahi kuwa ni SUV.
Ntaenda kuangalia kama ni kuzuri nachukua kimoja chap. Nimeambiwa ni 1.5 km toka baharini.Hahaa umenichekesha mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yeah kuna maeneo mvua zikinyesha hapatamaniki mfano kule kwa kina Halima Mdee wanakuita sijui Moga sema siku hizi wameanza kuchimba mitaro.
Ila kule kwingine Jeshini, Usalama, Kwa Mama Samia, Teta, hadi kule Stendi mwisho wa lami kuko vizuri na watu wanazidi kuporomosha mijengo tu
Pole mkuu.Tumeuanza mwaka Ila kuna mtu sioni ski comment siku hizi. Bwana Extrovert kimya mno. Ingekua ni bwana RRONDO angesha tafutwa Kwa udi na uvumbe na hizi pic Kali.
Mm nilipata mzinga mwaka Jana nikapotea muda mrefuuu hakuna ATA alie ulizia hehe. Tumshukuru mungu tuko hai. Binafsi nimeuona uwepo wa mungu. Tukumbukane thou hatufahamiani.View attachment 2076423