Pole sana kiongozi kwa ajali iliyokupata na natumai unaendelea vzr na nitafurahi nikijua kuwa wewe si uliesababisha hiyo ajali......kwani Wana road trip tunashauriana kuendesha kwa furaha ,kufuata n kutii sheria za barabarani .Mungu ni mwemaTumeuanza mwaka Ila kuna mtu sioni ski comment siku hizi. Bwana Extrovert kimya mno. Ingekua ni bwana RRONDO angesha tafutwa Kwa udi na uvumbe na hizi pic Kali.
Mm nilipata mzinga mwaka Jana nikapotea muda mrefuuu hakuna ATA alie ulizia hehe. Tumshukuru mungu tuko hai. Binafsi nimeuona uwepo wa mungu. Tukumbukane thou hatufahamiani.View attachment 2076423
Wanamsubiria apone, itakuwa alikuwa Kibati.Inabidi tupunguze u serious kidogo..
Kuna jamaa kaua nyati wawili huko Mikumi leo,wanamdai Million 9 naskia..
[emoji1787][emoji1787]Mimi nahisi nyati ndio alikuwa kibati akagonga hii gari 😛😛
Halafu Extrovert akipotea tunajua tu tayari keshachezea ban. Ila RRONDO akipotea anapotea mazima humuoni hata kwenye majukwaa mengine ndiyo maana inabidi tuulize.Extrovert yupo majukwaani huko tunakutana naye..ila hajaingia tu humu...ndiyo maana hajauliziwa.
Pole sana kwa ajali mkuu,,
Next time ukiadimika tunaahidi tutakutafuta kwa nguvu zote.
Mungu wa Mbinguni akulinde[emoji120]
Jichanganye [emoji1][emoji1][emoji1]15 k kwa 1m²??
Ngoja nikatafute huko kiwanja..hata kama kuna maji.
[emoji7][emoji7][emoji7]
Na anapotea kimya kimya bila taarifa..RRONDO bana!
Eeeh😳Jichanganye [emoji1][emoji1][emoji1]
Kwahiyo hapo jamaa ndiye amegonga nyati na siyo nyati kamgonga yeye?Wanamsubiria apone, itakuwa alikuwa Kibati.
Pole sana mkuu natumai unaendelea vizuri. Uwe unajichanganya na watu sasa ili wawe wanakuulizia, maana mbona wengi tunapoteaga na hatuuliziwi na hatujawahi kulalamika, sikuwahi jua kama kuuliziwa na watu wa jf ni deal hivyo.Tumeuanza mwaka Ila kuna mtu sioni ski comment siku hizi. Bwana Extrovert kimya mno. Ingekua ni bwana RRONDO angesha tafutwa Kwa udi na uvumbe na hizi pic Kali.
Mm nilipata mzinga mwaka Jana nikapotea muda mrefuuu hakuna ATA alie ulizia hehe. Tumshukuru mungu tuko hai. Binafsi nimeuona uwepo wa mungu. Tukumbukane thou hatufahamiani.View attachment 2076423
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Basi we panda la Tabata Kimanga ukifika ntakuelekeza nilipo wakati tunasuburia maelekezo kutoka juu huko!
😅😅😅😅😅 au nasema uongo ndugu zangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Ukiwa maarufu humu ni rahisi watu ku notice haupoPole sana mkuu natumai unaendelea vizuri. Uwe unajichanganya na watu sasa ili wawe wanakuulizia, maana mbona wengi tunapoteaga na hatuuliziwi na hatujawahi kulalamika, sikuwahi jua kama kuuliziwa na watu wa jf ni deal hivyo.
Aah kwanza we huwaga una sehemu moja ya kuishi [emoji1][emoji1]Mkimalizana mje na kwetu huku Tabata jeshini[emoji28]
Kweli tupu kamanda![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] au nasema uongo ndugu zangu
Hahahah mie niko Tabata kwa sasa jamani ila majimbo ni mengi kulingana na muktadha😅!Aah kwanza we huwaga una sehemu moja ya kuishi [emoji1][emoji1]