mtongwe
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 1,652
- 4,468
Pole sana kiongozi kwa ajali iliyokupata na natumai unaendelea vzr na nitafurahi nikijua kuwa wewe si uliesababisha hiyo ajali......kwani Wana road trip tunashauriana kuendesha kwa furaha ,kufuata n kutii sheria za barabarani .Mungu ni mwemaTumeuanza mwaka Ila kuna mtu sioni ski comment siku hizi. Bwana Extrovert kimya mno. Ingekua ni bwana RRONDO angesha tafutwa Kwa udi na uvumbe na hizi pic Kali.
Mm nilipata mzinga mwaka Jana nikapotea muda mrefuuu hakuna ATA alie ulizia hehe. Tumshukuru mungu tuko hai. Binafsi nimeuona uwepo wa mungu. Tukumbukane thou hatufahamiani.View attachment 2076423