Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Tumeuanza mwaka Ila kuna mtu sioni ski comment siku hizi. Bwana Extrovert kimya mno. Ingekua ni bwana RRONDO angesha tafutwa Kwa udi na uvumbe na hizi pic Kali.

Mm nilipata mzinga mwaka Jana nikapotea muda mrefuuu hakuna ATA alie ulizia hehe. Tumshukuru mungu tuko hai. Binafsi nimeuona uwepo wa mungu. Tukumbukane thou hatufahamiani.View attachment 2076423
Pole sana kiongozi kwa ajali iliyokupata na natumai unaendelea vzr na nitafurahi nikijua kuwa wewe si uliesababisha hiyo ajali......kwani Wana road trip tunashauriana kuendesha kwa furaha ,kufuata n kutii sheria za barabarani .Mungu ni mwema
 
Saint Anne nimepita kukuungisha
IMG_20220111_111917_3.jpg
 
Extrovert yupo majukwaani huko tunakutana naye..ila hajaingia tu humu...ndiyo maana hajauliziwa.

Pole sana kwa ajali mkuu,,
Next time ukiadimika tunaahidi tutakutafuta kwa nguvu zote.

Mungu wa Mbinguni akulinde[emoji120]
Halafu Extrovert akipotea tunajua tu tayari keshachezea ban. Ila RRONDO akipotea anapotea mazima humuoni hata kwenye majukwaa mengine ndiyo maana inabidi tuulize.
 
Tumeuanza mwaka Ila kuna mtu sioni ski comment siku hizi. Bwana Extrovert kimya mno. Ingekua ni bwana RRONDO angesha tafutwa Kwa udi na uvumbe na hizi pic Kali.

Mm nilipata mzinga mwaka Jana nikapotea muda mrefuuu hakuna ATA alie ulizia hehe. Tumshukuru mungu tuko hai. Binafsi nimeuona uwepo wa mungu. Tukumbukane thou hatufahamiani.View attachment 2076423
Pole sana mkuu natumai unaendelea vizuri. Uwe unajichanganya na watu sasa ili wawe wanakuulizia, maana mbona wengi tunapoteaga na hatuuliziwi na hatujawahi kulalamika, sikuwahi jua kama kuuliziwa na watu wa jf ni deal hivyo.
 
Back
Top Bottom