Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

[emoji23][emoji23][emoji23] pole mkuu. Hiyo barabara naiogopaa balaa. Ina suprise mno. Hii barabara bado haijakamilika hivyo vipande?

Dogo imewahi mlazimu kijitupa korongoni. Fuso alikua amewaka enzi hizo za viroba. Hiwa kuna uhusiano gani hivi wa madereva wa fuso na KONYAGI?
yaan gari hapo mbele haikufaaa tena. Alienda kuichinjia tandale. Cha ajabu hakuumia. Ila alijitupa huko. Yaan hawa watu[emoji119][emoji119]
 
Utundu raha sana! Ukiwa mzembemzembe sana utaonewa mno!
Yes. Unapaswa kuwa mbunifu. Unakua na matukio ya utundu mpaka watu wanasema umedanganya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] kwamfano kama hapa unaweza fanya matukio barabarani huko mpk wanaume wanauliza we ni mwanamke kweli?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Najisikia kucheka jaman. Unakamatwa unasema naenda mochwari kutambua maiti jamani eeh.... ilaaaa... mpk trafiki anakuambia nimeshachoka makosa yako kuna siki utaniua na mimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] napenda jaman haya matukioooo.

Kuna siku trafiki anaitaa magari upande wetu kwenda town. Tumekaaa weee hatuiti. Pale pale kwenye mataa mawazo yalabadilika nikawa nabonyezea nichepuke palepale ghafla akawa ameita magari yetu na akatuona, sasa akawa anaita akatuita na sisi kwa ishara ya mkono teena kwa dharau sana yaan nyie njooni hapaaa kwa ishara. Na mm nikasema nakomaa yaan hapa naigeuza kama yaan anatuvuta. Nikanyoosha. Si mbele akatuibukia na bodaboda pale mataa ya chang'ombe. Bahati mbaya milango iko wazi. Akawa anafungua ila ulikua mbovu. Nikameuliza unapanda gari la nani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yule boda anasubiria maaana anadai chake kufukuzia. Tukaeleweshana pale wee wapi. Akagoma akasema lazima tugeuze turudi tulipofanyia makosa. Ubaya sasa mpk boda anatumika kama shahidi lkn kwakua yule kijana ni mhuni akamwambia lkn mzee mbona hivyo ni kuvuta magari afandee? Basi tukamwambia tunageuka ila hapandi gari yetu. Ikabidi arudi na boda yake. Kumbuka gharama zinazidi kwa boda. Pale tulimpa ten akagoma, 15 akagoma. Basi tukasema twende rurudi. Yule boda bwana Mungu ambariki sana[emoji23][emoji23] alikua anaenda mwendo wa kunyata kusudi. Trafki anamwiliza unawaona kweli. Anamwambia si hao hapo... basi bana tukawa tunaenda mwendo wa kupitezana. Mpaka tazara. Yule boda anamcheleweshea trafiki kwa mwendo mdogo[emoji23][emoji23][emoji23] pale tazara tukapiga cross barabara ya buguruni. Trafki naye akatimba tazara. Hatuoni[emoji23] qkaanza pagawaa. Akasema hawa wametobolea la bugurun lzm. Akaja bana. Sasa pale sisi tulichofanya tukapiga zetu ruti la Ilala. Nyoosha sana gotiii[emoji23][emoji23][emoji23]. Trafiki kufika buguruni pale ndo akachanganyikiwa. Akajiuliza wameelekea wapi sasa. Ilala ama ubungo? Hapo akachoka. Basi akakasirka sana akawa amechoka kweli. Akataka kumrelease bodaboda aende hajamlipa. Bodaboda alikiamshaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] trafiki akatoa elf 15 ya watu. Mpk kesho sitaki kimbuka. Nilijaenda kijiweni kwa huyo boda tukapiga sana story nikamtoa bwana kama furaha na shukrani
 
Ah matraffic huwa wanakera sana aise! Halafu huwa wanasimamisha watu fulani fulani tu wengine hawawasimamishi!

Ndiyo maana wanajeshi huwa wanawaonea sana! Kuna mwanajeshi mmoja aliwaambia live "na nitawasumbua sana nyie"!
 
Ulipigwa GX 100 haizidi 3.5m
In my view,this is totally incorrect!
Price ya gari inategemea mambo mengi ikiwemo quality, privilege and maintenance issues; For instance Japan, Crown old model inaweza kuwa very expensive zaidi ya crown ambayo ni ya very recently, The question of why inategemea mambo mengi ikiwemo preference ya mteja juu ya gari husika na availability ya gari husika sokoni and the willingness of the customer to pay for it.
Based on my experience-Binafsi sipendi driving sana na maintainance ya gari kwangu ni a top priority and within a year on average gari huwa natembea nalo on average 3000-4000km per year.How on earth utakuja kuniambia let's say nina GX 100 which is well maintained na imekaa tanzania for 5years,haina quality issues,ipo equivalent na grade 4 na haijaendeshwa more than 15'000 kms ikiwa nchini and i dont need urgent money nikuuzie for 3.5M???You must be joking.
Point to note.
*Nimeshawahi kuuza gari lililokaa Tanzania kwa muda mrefu ambalo lipo well maintained kwa price kubwa inayoshahabiana na bei ya magari used ya recently ya model hiyo yanayouzwa mkononi nchini.
*Mteja alipoiona gari alikuwa suprised na quality yake na maintainance records kutokana na muda iliyoingia nchini na hali iliyokuwa nayo, na wala hakutaka ku bargain bei,na alilipia gari on the same day na hela ya pongezi ya utunzaji alinipa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…