miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
[emoji23][emoji23][emoji23] na mwisho wa siku atakuta watu wamechimba chini kwa chini mpaka wametokea hukohuko handaki kuuHahaha kuna mtu alicomment akasema akiziba mlango wanafungua madirisha akiziba madirisha wanatoboa dari sijui ni nani. Aisee nilicheka tena ni humu humu.
Oohh basi nilicheka aisee..[emoji38][emoji38][emoji38]aliekoment vile nadhani ni Boeing 747 kama sikosei...
[emoji23][emoji23][emoji23] pole mkuu. Hiyo barabara naiogopaa balaa. Ina suprise mno. Hii barabara bado haijakamilika hivyo vipande?Hawa vijana wa Malori makubwa wakati mwingine wanapewa Malori mabovu hivyo anakuarifu usikae mbele yake mita chache km anakujali.
Niliovertake mlori upo tupu kati ya Magubike na Dumila wakati kwa mbele kuna jingine linakuja umbali km wa kiwanja cha mpira ile hamadi nimemaliza kukipita kichwa kumbe mbele barabara ni tuta la viazi, sasa uyapande ili ajae mbele apite site yake,
kile kitendo nikiwa gia ya chini kikapunguza mwendo kumbe mlori wa nyuma mteremko breki zimefaeli mwenzangu ni honi na kupangua magear
nilikanyaga na kuhamisha gear mpaka Dumila TRA chooni nikajisaidia napumua
jamaa kafika akaniambia usirudie kuOvertake halafu ukarudi ghafla au ukapunguza mwendo mm breki manati navutaa sana ndio zikubali ningekuingiza uvunguni na familia yako.
Kama kuna dereva anajua huo mshtuko wake ni tumbo la kuendesha kwenye kiti
Hahaha once a mafia always a mafia aiseee[emoji23][emoji23][emoji23] na mwisho wa siku atakuta watu wamechimba chini kwa chini mpaka wametokea hukohuko handaki kuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamanii.. me? Ila utundu una raha nyie.... me napenda sana. Mnakutana ndani unakunywa chai na kikombe chake on his royal chair[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Hahaha once a mafia always a mafia aiseee
Utundu raha sana! Ukiwa mzembemzembe sana utaonewa mno![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamanii.. me? Ila utundu una raha nyie.... me napenda sana. Mnakutana ndani unakunywa chai na kikombe chake on his royal chair[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Yeah watu wa mafuso wamenisaidia sana...ndio naingia IringaPole mkuu, umepata msaada?
Yes. Unapaswa kuwa mbunifu. Unakua na matukio ya utundu mpaka watu wanasema umedanganya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] kwamfano kama hapa unaweza fanya matukio barabarani huko mpk wanaume wanauliza we ni mwanamke kweli?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utundu raha sana! Ukiwa mzembemzembe sana utaonewa mno!
Pole na hongera sana Mkuu. Ufike salama uendakoYeah watu wa mafuso wamenisaidia sana...ndio naingia Iringa
Sishangai Maana mtu kasajiiri 812 Leo na Mwisho Ni 999, Maaninah zinakimbia kama upepoNimeona DVE leo!
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Sishangai Maana mtu kasajiiri 812 Leo na Mwisho Ni 999, Maaninah zinakimbia kama upepo
Sio Mbaya tunafungia Mwaka 2020 na DVE, sijua tutafungia 2021 na ipi ?View attachment 1663246
Ah matraffic huwa wanakera sana aise! Halafu huwa wanasimamisha watu fulani fulani tu wengine hawawasimamishi!Yes. Unapaswa kuwa mbunifu. Unakua na matukio ya utundu mpaka watu wanasema umedanganya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] kwamfano kama hapa unaweza fanya matukio barabarani huko mpk wanaume wanauliza we ni mwanamke kweli?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Najisikia kucheka jaman. Unakamatwa unasema naenda mochwari kutambua maiti jamani eeh.... ilaaaa... mpk trafiki anakuambia nimeshachoka makosa yako kuna siki utaniua na mimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] napenda jaman haya matukioooo.
Kuna siku trafiki anaitaa magari upande wetu kwenda town. Tumekaaa weee hatuiti. Pale pale kwenye mataa mawazo yalabadilika nikawa nabonyezea nichepuke palepale ghafla akawa ameita magari yetu na akatuona, sasa akawa anaita akatuita na sisi kwa ishara ya mkono teena kwa dharau sana yaan nyie njooni hapaaa kwa ishara. Na mm nikasema nakomaa yaan hapa naigeuza kama yaan anatuvuta. Nikanyoosha. Si mbele akatuibukia na bodaboda pale mataa ya chang'ombe. Bahati mbaya milango iko wazi. Akawa anafungua ila ulikua mbovu. Nikameuliza unapanda gari la nani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yule boda anasubiria maaana anadai chake kufukuzia. Tukaeleweshana pale wee wapi. Akagoma akasema lazima tugeuze turudi tulipofanyia makosa. Ubaya sasa mpk boda anatumika kama shahidi lkn kwakua yule kijana ni mhuni akamwambia lkn mzee mbona hivyo ni kuvuta magari afandee? Basi tukamwambia tunageuka ila hapandi gari yetu. Ikabidi arudi na boda yake. Kumbuka gharama zinazidi kwa boda. Pale tulimpa ten akagoma, 15 akagoma. Basi tukasema twende rurudi. Yule boda bwana Mungu ambariki sana[emoji23][emoji23] alikua anaenda mwendo wa kunyata kusudi. Trafki anamwiliza unawaona kweli. Anamwambia si hao hapo... basi bana tukawa tunaenda mwendo wa kupitezana. Mpaka tazara. Yule boda anamcheleweshea trafiki kwa mwendo mdogo[emoji23][emoji23][emoji23] pale tazara tukapiga cross barabara ya buguruni. Trafki naye akatimba tazara. Hatuoni[emoji23] qkaanza pagawaa. Akasema hawa wametobolea la bugurun lzm. Akaja bana. Sasa pale sisi tulichofanya tukapiga zetu ruti la Ilala. Nyoosha sana gotiii[emoji23][emoji23][emoji23]. Trafiki kufika buguruni pale ndo akachanganyikiwa. Akajiuliza wameelekea wapi sasa. Ilala ama ubungo? Hapo akachoka. Basi akakasirka sana akawa amechoka kweli. Akataka kumrelease bodaboda aende hajamlipa. Bodaboda alikiamshaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] trafiki akatoa elf 15 ya watu. Mpk kesho sitaki kimbuka. Nilijaenda kijiweni kwa huyo boda tukapiga sana story nikamtoa bwana kama furaha na shukrani
Yes. Ile kuitisha sana mataa upande mmoja ndo kuponzana hukoAh matraffic huwa wanakera sana aise! Halafu huwa wanasimamisha watu fulani fulani tu wengine hawawasimamishi!
Ndiyo maana wanajeshi huwa wanawaonea sana! Kuna mwanajeshi mmoja aliwaambia live "na nitawasumbua sana nyie"!
Na kwako pia bossNiwatakie heri ya mwaka mpya road trippers wote...2021 iwe ya mafanikio makubwa kwenu! Happy New year
In my view,this is totally incorrect!Ulipigwa GX 100 haizidi 3.5m
Crown majesta ni hatariNimepata kampani ya crown majesta na land Cruiser tx naona sasa tunatembea mwendo wa ndege