Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Umeona sasa mambo yao Extrovert RRONDO ISO M.CodD mtongwe Bavaria
Screenshot_20220113_162935.jpg
 
Hivi ni mara ngapi ushaona gari ya mbele yako inaenda upande? Yaani matairi na body vina uelekeo tofauti. Mara nyingi sana nimeona GX100,Brevis,Harrier tako la nyani. Yaani inaendda upande upande. Hivi dereva anakuwa hajui? Gari haimvuti upande mmoja? Gari inayonishangaza nayo ni LC mkonga,naona kama haijanyooka hivi.
ISO M.CodD 9.8ms squared Bavaria Boeing 747 Extrovert
Sidhani kama huyo dereva anahisi hivyo kwasababu ameshazoea hiyo setting. Ukimtoa kwenye hiyo gari kwa muda mrefu let say 6 months, ukimrudisha ndo ataona tofauti. Ila kwasasa sio rahisi.

Ila wewe ukiigusa hiyo gari ndo utaona hilo tatizo.
 
Hamna battery nzuri sana tu sababu zimetengenezwa ku last a million miles! Kabla hazija deplete to 80%

Kwa uendeshaji wa kibongo kuzipata 200K kilometres ni zaidi ya 5 yrs gari lazma ulibadilishe bado unakuwa umeacha lina extra 800,000kms za kuendesha. Battery bado inakuwa nzima tu sana.
Kuna sehemu nilisoma wanasema kubadili ile battery pack ya tesla, gharama yake ni almost 50% ya thamani ya gari.
 
Back
Top Bottom