Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo upuuzi nani anafanya?😅😅😅
Kila service ni gari ya kuhonga kabisaa 😂😂😂Huo upuuzi nani anafanya?😅😅😅
Kuna mambo ukifanya hata Ndugai anaweza akakushangaa japo ana cheti Milembe!
Nilipata forester XT ,ingawa kwa tabu na madeni ya hapa na pale ,yote kwasababu ya huu uzi.Tumekuwa motivational speakers 😛😛😛
Sidhani kama huyo dereva anahisi hivyo kwasababu ameshazoea hiyo setting. Ukimtoa kwenye hiyo gari kwa muda mrefu let say 6 months, ukimrudisha ndo ataona tofauti. Ila kwasasa sio rahisi.Hivi ni mara ngapi ushaona gari ya mbele yako inaenda upande? Yaani matairi na body vina uelekeo tofauti. Mara nyingi sana nimeona GX100,Brevis,Harrier tako la nyani. Yaani inaendda upande upande. Hivi dereva anakuwa hajui? Gari haimvuti upande mmoja? Gari inayonishangaza nayo ni LC mkonga,naona kama haijanyooka hivi.
ISO M.CodD 9.8ms squared Bavaria Boeing 747 Extrovert
Hii ni pamoja na kodi au nje ya kodi?Aseee $ 100,000 gari gani itanifaaa.. achana na 80M.. hela ya kumuhonga Kajala hiyo [emoji16][emoji16]
Bila kodi mkuuHii ni pamoja na kodi au nje ya kodi?
Hivi unanunua Tesla mafundi hapa bongo unawatoa wapi?Hahahahaha hio nunua Tesla tu hamna namna ingine! Nikuwanyoosha raia wote hamna anaesumbua!
Model S Plaid unapata hapo Beforward!
Utofauti kwa lita ni tsh ngapi?Yeah....Total,Puma wako juu
😅😅😅😅😅😅😅😅 dealership gani bongo wana know how ya EV?Hivi unanunua Tesla mafundi hapa bongo unawatoa wapi?
Si bora ununue EV za BMW au Mercedes, ambapo ukipata changamoto, hata dealership wanakusaidia?
Tatizo la EVs sio kama Simu, hakuna uniformity kwenye charging. Kila kampuni ina setup yake.Ingekuwa hivyo maisha yangekuwa simple. Wenzetu kuna charging port street. Charger yake bei gani?
Ni ada ya first installment kwa wale wa installment nneKwa huu mwezi kujaza mswaki sheli lazma upewe heko! Full bashasha ni jambo la kishujaa sana maana hio ni pesa ya bag na madaftari ya mtoto[emoji28]
Na leo limemeza lita 70 ndugu [emoji31]Tena mswaki wa jamaa ni ule hadi pump inakata!
Kuna sehemu nilisoma wanasema kubadili ile battery pack ya tesla, gharama yake ni almost 50% ya thamani ya gari.Hamna battery nzuri sana tu sababu zimetengenezwa ku last a million miles! Kabla hazija deplete to 80%
Kwa uendeshaji wa kibongo kuzipata 200K kilometres ni zaidi ya 5 yrs gari lazma ulibadilishe bado unakuwa umeacha lina extra 800,000kms za kuendesha. Battery bado inakuwa nzima tu sana.
Ishawahi kunitapikia ikamwaga karibu lita nzima chini. Nozzle ikishakataga kurudisha chenchi ni chapItakuwa tank ilitapika kabisa wakaichekecha ili ijae vizuri!