Hiyo ni worry yangu kubwa. Gari inakutesa mmiliki.Nimeicheki, ni proper merc grille. Inavutia. Jirani yangu ana 2011 E350, namwonaga anavyohenya kunegotiate barabara mbovu ya huku kitaa. Mita kama 200 tu kutoka lami ila ni mtiti haswa. Anatoka nalo mara moja moja sana, siku nyingine anatumia probox. Nadhani hayo ndio matumizi sahihi ya gari kama hizo.
Ukikaa humo mzee lazima utaijua idadi na aina ya matuta yote kwenye njia unazotumia. Kuna aina ya matuta yanagusisha gari chini na matuta mengine ni safe kuyapanda straight on. Usiwakasirikie tu makandarasi
Asante kwa ushauri mzee baba.Chukua E250 au kubwa zaidi. Achana na C
Yeye ni dalali kama wale wa mcityKuna gari kuuza ni KAZI sana
Hivi total wanachakachua nn?Ungeweka Total mjini usingefika ingebidi ujaze tena mahali[emoji28]
Sielewi ila naona wese lao jepesi zaidiHivi total wanachakachua nn?
Kwaiyo mostly unajazaga lake oil?Sielewi ila naona wese lao jepesi zaidi
Kuna pisi kali[emoji848]
Wachaaa..!Sijajua shift ya leo yupo nani.
Nenda utazikuta nyingine kali[emoji847]
Hapa sasa tunaweza kunena kwa lugha[emoji1787]Kituo kimejaa pisi tu.
Ukiondoka mikono mitupu ni uzembe wako.
[emoji1787]Gari ndogo zina centre bolt? Ninazizungumzia hapa ni gari ndogo, Gx100,Harrier etc
Safari njema boss.Kumbe Mbezi Dar to Msamvu Morogoro inawezekana chini ya masaa mawili bila hata ya kufika 160kmph
SGR itaweza?
View attachment 2080088
Na vituo vyote?
View attachment 2080087
Uniform kali + pisi kali.Hapa sasa tunaweza kunena kwa lugha[emoji1787]
Pisi kweli ama ndio zile yunifomu mnazowavesha[emoji848]
Ilete tu,inaingia vizuri.Kuna pisi kali[emoji848]
Semi trailer itapenya pale[emoji848]
Nijibu chap
[emoji16]Hahaa umenikumbusha yule traffic anayetabasamu [emoji3][emoji3]
Hawataki utani[emoji16][emoji119][emoji16][emoji16]View attachment 2079670
Wanapenda magari wale[emoji1787]Saint Anne Yap kipini nimemkuta. Akatoka kwenye pump yake kaja ya mwenzie nilikokuwa nimefikia,
(blackie kishepu kapole) akaniuliza 'unajaza'?
Mtongwe huyo[emoji23]Nikiona hivi najua Saint Anne Offshore Seamen na mtongwe washafanya yao [emoji23][emoji23]
View attachment 2079661