Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Hiyo ni worry yangu kubwa. Gari inakutesa mmiliki.

I'm still researching bro.
 
Analysts wengi wanatoa projections za oil kufika na kutoboa $100 kwa pipa kwa mwaka huu. Huku bei inaweza cheza 2800 - 3500.

In 5 years inaweza cheza kwenye $200 kwa pipa. Ambapo huku bei inaweza fika 5000 - 6000.

Tuongeze juhudi za kuzisaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…