Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Subaru Legacy dah tulienda Lushoto kumzika Kamanda Mohamedi Mtoi nikiwa na Kaka yangu MANI kwa masaa matatu na dakika 45....Wataalamu naombeni msaada juu ya hizi gari mbili
Kati ya Alteza na Subaru legacy ipi ni gari bora zaidi kwa mishe mishe za mjin namaanisha kuanzia bajeti ya kununua, ulaji wa mafuta, upatikanaji wa spea kwa bei nafuu na kuvumilia mikiki ya barabarani?? View attachment 2088874View attachment 2088873
Kumbe siku hizi ndio ID yako hiiSubaru Legacy dah tulienda Lushoto kumzika Kamanda Mohamedi Mtoi nikiwa na Kaka yangu MANI kwa masaa matatu na dakika 45....
Masaa matatu kutokea wapi? Mombo?Subaru Legacy dah tulienda Lushoto kumzika Kamanda Mohamedi Mtoi nikiwa na Kaka yangu MANI kwa masaa matatu na dakika 45....
Sure mkuu watu hawajali kabisa maana mtu anaweza kuwa anaendesha vizuri kwa kufuata sheria ila akaponzwa na wenzie wazembe wanaojifanya wajanja. Hawa ndiyo wanafanya mtu ulazimike kuendesha magari matatu kwa wakati mmoja.Im sorry to say this lakini Bongo tunaishi tu ili mradi ndio maana ajali za hovyo hovyo ni nyingi.
Exactly tulikuwa ni sisi na vanguard Nyeupe ingawa tulikuwa wabishi dhidi yenu but mlitutesa japo tuliwabishia SanaTarehe 2/1???
Wali tutesa Sana na European car ingawa na sisi tulikuwa wamoto dhidi yao maana ilikuwa 160,170 mwendo mdundoIlikuwaje mtanange ni kweli jamaa walikugalagaza?
Ilikuwa ni kurudi Dar siku ya j,pili hapo barabarani ni ligi sio ya kitoto Kabisa .Heshima ziende kwa BMW,Land cruiserTarehe 2/1???
Hahah kama hujanyanyua crown kila tuta lazma ukate maunoHuwa nabaki kusema tuta hili kaweka mtu asie na gari @##__&&&& zake! Gari ikikwaruza hadi utumbo unageuka! Hadi tumejifunza trick ya kupanda kiupandeupande. ILA Dar-Arusha, Dar-Dom sijapita tuta lolote gari ikagusa chini. Kilikuwepo kituta kimoja kabla ya kuingia Korogwe ILA wamekitoa kilikuwa kama Gogo la mnazi!
Hapa wajerumani weusi meno 32 njeIlikuwa ni kurudi Dar siku ya j,pili hapo barabarani ni ligi sio ya kitoto Kabisa .Heshima ziende kwa BMW,Land cruiser
Sent using Jamii Forums mobile app
Cc Saint Anne
Hujapitwa na Crown moja ya silver? Maanake alienipita na wala sikuhangaika nae ni C350 au C400 tuIlikuwa ni kurudi Dar siku ya j,pili hapo barabarani ni ligi sio ya kitoto Kabisa .Heshima ziende kwa BMW,Land cruiser
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa na Crown au Vanguard mtu kukupita inabidi awe 200+ maanake Crown kwenye ligi mara nyingi inacheza 160+Wali tutesa Sana na European car ingawa na sisi tulikuwa wamoto dhidi yao maana ilikuwa 160,170 mwendo mdundo
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaupiga mwingi
Hahahaaa Dar!Masaa matatu kutokea wapi? Mombo?
Akiyanani🤣🤣🤣🤣🤣🤣Duuh pole mkuu mimi wakati najifunza niliwahi kugonga hadi ng'ombe wa watu kwenye kona ila cha kushukuru hakufa. Alianguka tu number plate ikamkata kidogo kwenye mguu.
👏Keep your identity mzee at any cost.
Ushaanza figisu! Hahahaha Yale yameshapita!Kumbe siku hizi ndio ID yako hii
Na sisi wa passo unatuzungumziaje?😀Siwasemi vibaya ila madereva wa IST wamechangamka sana kama wa subaru watata sana..