Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

U turn za kutosha na S turn kibao.... Hapa ndipo wajerumani wanashine
Screenshot_20220123-150938_Maps.jpg
 
Hio njia huwa naweka cruise control at 50kph na matuta yote napita na 50kph na sedan. Matuta fulani friendly
vipande vyenye rasta za kutosha na pakiwa pamenyooka, huwa naona nikiwa mdogo mdogo kama naumiza gari, huwa natembea above ya 150km.. rim og na viatu vya kweli.. huwa hata sisikii nikiwa na speed hiyo
 
Na wameweka matuta na Rasta za kutosha 😂 wakati ilitakiwa ukiwa pale Tengeru unateleza tu shaaaa walau mpaka maeneo ya philips
Hio njia huwa naweka cruise control at 50kph na matuta yote napita na 50kph na sedan. Matuta fulani
Mashamba ya chai barabara ya Njombe -Ludewa, kuelekea ziwa Nyasa.

Kuna mlima mmoja wameweka barabara ya zege wachina sasahivi, yani uko kama test tracks. Kona za kutosha kupima stability na straights za kutosha kupima msuli. Plus adrenaline junkies unawafaa maana kona zake japo ni pana ila kuna points nyingi tu ambazo ukikosea unaporomoka.

Naifananisha kwa utamu na ile ya Dodoma Babati, hasa mle mlimani ila hii pana zaidi na ina kona kali mithili ya Nyangoro.

Hii nchi tamu sana, pigeni trip wakuu

View attachment 2092718
Hili zege au vumbi?😎
vipande vyenye rasta za kutosha na pakiwa pamenyooka, huwa naona nikiwa mdogo mdogo kama naumiza gari, huwa natembea above ya 150km.. rim og na viatu vya kweli.. huwa hata sisikii nikiwa na speed hiyo
Rasta ukipita taratibu hata wewe utahisi gari inaumia, dawa yake kuosha tu. Ila jaribu kufungua kioo usikie mlio wa tairi ukipiga rasta!
 
Hio njia huwa naweka cruise control at 50kph na matuta yote napita na 50kph na sedan. Matuta fulani

Hili zege au vumbi?😎

Rasta ukipita taratibu hata wewe utahisi gari inaumia, dawa yake kuosha tu. Ila jaribu kufungua kioo usikie mlio wa tairi ukipiga rasta!
hahaha! Kufungua dirisha upo kwenye above ya 150+ ni ngumu.. huwa naosha tu kama hakuna kitu
 
Hio njia huwa naweka cruise control at 50kph na matuta yote napita na 50kph na sedan. Matuta fulani

Hili zege au vumbi?[emoji41]

Rasta ukipita taratibu hata wewe utahisi gari inaumia, dawa yake kuosha tu. Ila jaribu kufungua kioo usikie mlio wa tairi ukipiga rasta!
Ukishakula vumbi lililoshindiliwa na tanroads kilomita karibu 50 ndio unakutana na mkeka wa zege unakupooza machungu
 
Back
Top Bottom