OnePlus Nord CE
Senior Member
- Feb 5, 2019
- 176
- 347
Chuga?Kama Ulaya vile. [emoji39][emoji39]View attachment 2092709
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chuga?Kama Ulaya vile. [emoji39][emoji39]View attachment 2092709
Alafu wanakuambia tembea 50!!!!!Kama Ulaya vile. [emoji39][emoji39]View attachment 2092709
Ndiyo mkuuChuga?
[emoji28][emoji28][emoji28]Alafu wanakuambia tembea 50!!!!!
Na wameweka matuta na Rasta za kutosha 😂 wakati ilitakiwa ukiwa pale Tengeru unateleza tu shaaaa walau mpaka maeneo ya philipsAlafu wanakuambia tembea 50!!!!!
Walishanichukua na 58 hapa, sipapendi [emoji1787]Na wameweka matuta na Rasta za kutosha [emoji23] wakati ilitakiwa ukiwa pale Tengeru unateleza tu shaaaa walau mpaka maeneo ya philips
Mafuta siyo ishu huko; na kukubali kuwa environmental and climate responsible ni kugumu huko!Masoko kama middle east, russia, US, bado wanahitaji hizo gas guzzlers.
Ulaya ndo wanahamia kwenye EVs. Na ndo maana unaona kasi kubwa ya haya makampuni kutengeneza Hybrids na EVs.
Break muhimu mkuu
Inabidi uzitumie kwa akili la sivyo unapata kitu kinaitwa brake fade... Zinapata moto then zinakuwa useless hazishiki. Usiombe ikukute.Break muhimu mkuu
Unakula maisha mkuu..[emoji39][emoji39]
Yani unaendesha na bonge la tabasamu, mpaka nywele zinasisimka utamu wa road.Unakula maisha mkuu..[emoji39][emoji39]
Tena nakugeuzia upande wako.Haha undava undava tu siyo [emoji28][emoji28]
Hio njia huwa naweka cruise control at 50kph na matuta yote napita na 50kph na sedan. Matuta fulani friendlyNa wameweka matuta na Rasta za kutosha 😂 wakati ilitakiwa ukiwa pale Tengeru unateleza tu shaaaa walau mpaka maeneo ya philips
vipande vyenye rasta za kutosha na pakiwa pamenyooka, huwa naona nikiwa mdogo mdogo kama naumiza gari, huwa natembea above ya 150km.. rim og na viatu vya kweli.. huwa hata sisikii nikiwa na speed hiyoHio njia huwa naweka cruise control at 50kph na matuta yote napita na 50kph na sedan. Matuta fulani friendly
Hio njia huwa naweka cruise control at 50kph na matuta yote napita na 50kph na sedan. Matuta fulaniNa wameweka matuta na Rasta za kutosha 😂 wakati ilitakiwa ukiwa pale Tengeru unateleza tu shaaaa walau mpaka maeneo ya philips
Hili zege au vumbi?😎Mashamba ya chai barabara ya Njombe -Ludewa, kuelekea ziwa Nyasa.
Kuna mlima mmoja wameweka barabara ya zege wachina sasahivi, yani uko kama test tracks. Kona za kutosha kupima stability na straights za kutosha kupima msuli. Plus adrenaline junkies unawafaa maana kona zake japo ni pana ila kuna points nyingi tu ambazo ukikosea unaporomoka.
Naifananisha kwa utamu na ile ya Dodoma Babati, hasa mle mlimani ila hii pana zaidi na ina kona kali mithili ya Nyangoro.
Hii nchi tamu sana, pigeni trip wakuu
View attachment 2092718
Rasta ukipita taratibu hata wewe utahisi gari inaumia, dawa yake kuosha tu. Ila jaribu kufungua kioo usikie mlio wa tairi ukipiga rasta!vipande vyenye rasta za kutosha na pakiwa pamenyooka, huwa naona nikiwa mdogo mdogo kama naumiza gari, huwa natembea above ya 150km.. rim og na viatu vya kweli.. huwa hata sisikii nikiwa na speed hiyo
hahaha! Kufungua dirisha upo kwenye above ya 150+ ni ngumu.. huwa naosha tu kama hakuna kituHio njia huwa naweka cruise control at 50kph na matuta yote napita na 50kph na sedan. Matuta fulani
Hili zege au vumbi?😎
Rasta ukipita taratibu hata wewe utahisi gari inaumia, dawa yake kuosha tu. Ila jaribu kufungua kioo usikie mlio wa tairi ukipiga rasta!
Ukishakula vumbi lililoshindiliwa na tanroads kilomita karibu 50 ndio unakutana na mkeka wa zege unakupooza machunguHio njia huwa naweka cruise control at 50kph na matuta yote napita na 50kph na sedan. Matuta fulani
Hili zege au vumbi?[emoji41]
Rasta ukipita taratibu hata wewe utahisi gari inaumia, dawa yake kuosha tu. Ila jaribu kufungua kioo usikie mlio wa tairi ukipiga rasta!