Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Nimepaki hapa dakika 20. Imepita Toyota Progres moja imeiva vibaya mno. Ndio gari pekee iliyopita hapa muda wote huo.

Kuna kimeo nakisolve then nianze trip kuupanda mlima

View attachment 2094113
Dah inaelekea Barabara Haina magari.
Kama unaweza Leo ungelala tu kesho asubuh ndo upande mlima, utalii vizuri Tanganyika yetu😂
 
Hii ni barabara ya Njombe Ludewa...

Zege linaanzia pale LUSITU/MADOPE ni kama km 50 hv na bado ipo kwenye ujenzi.

Zile kona si za kukimbiza gari utajikuta korongoni....

Ni 3 lane but ni hatari.

Maximum speed nadhani utafika 80 tu tena ni hatari.....
 
Nimepaki hapa dakika 20. Imepita Toyota Progres moja imeiva vibaya mno. Ndio gari pekee iliyopita hapa muda wote huo.

Kuna kimeo nakisolve then nianze trip kuupanda mlima

View attachment 2094113
Ukiwa unarudi simama hapo MADOPE zege linapoaanzia ukitokea njombe..


Ila kule mbele barabara ni mbaya sana kama unaelekea ludewa. Kokoto za kutosha...
 
Maximum speed what? Hayo ni matumizi mabovu ya hili zege mkuu

 
Ukiwa unarudi simama hapo MADOPE zege linapoaanzia ukitokea njombe..


Ila kule mbele barabara ni mbaya sana kama unaelekea ludewa. Kokoto za kutosha...
Ndio nilikuwa narudi jana nikapiga hizo picha.

Hapo zege linapoanzia kuna view tamu sana ya mashamba ya chai. Sikuweza kusimama maana nilikuwa na safari ndefu kidogo mpaka mikumi na ilikuwa tayari jioni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…