Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Lazima uwakute wa kutosha wameshakula xmas na mwaka mpya..Wakati nakuja Arusha nilikuwa na mdogo angu.
Yeye anapenda amshaamsha.
Nikamwambia hizo 30K tutakazopigwa zikifika 5 tu ni full tank kabisa ya kututoa Dar mpaka Arusha.
Akawa mpole ila njiani hatukukuta trafic. Ndo tukajiachia haswa.
Nadhani wakati wa kurudi ndo ntawakuta wa kutosha.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Inaonekana yako unaitumia kwenda sokoni tu. Na soko lenyewe liko mtaa wa pili.Mimi nina C ila naikubali kuliko D.
Gari ina miaka 7 haijafikisha hata 80K km.
Maintainance ni top notch, service ni kwa wakati.
Hata wenye D wengi zimeshachoka ila yangu ni sawa na itoke Japan leo.
Plate number zinazuzua tu.
Nikitaka kuiuza napunguza 2M kwa ile mpya inayotoka Japan.
Kama mpya itauzwa 20M yangu nauza 18M.
Sitaki kelele.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Inaonekana yako unaitumia kwenda sokoni tu. Na soko lenyewe liko mtaa wa pili.Mimi nina C ila naikubali kuliko D.
Gari ina miaka 7 haijafikisha hata 80K km.
Maintainance ni top notch, service ni kwa wakati.
Hata wenye D wengi zimeshachoka ila yangu ni sawa na itoke Japan leo.
Plate number zinazuzua tu.
Nikitaka kuiuza napunguza 2M kwa ile mpya inayotoka Japan.
Kama mpya itauzwa 20M yangu nauza 18M.
Sitaki kelele.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] hapo ndio huwa unaisikia, kanyaga break, washa wiper, Sasa ole wako maji yakatae kutumia kwenye kioo[emoji23][emoji23]Lazima uwakute wa kutosha wameshakula xmas na mwaka mpya..
Sasa hivi watakuwa na njaa za aina mbili
1.Kiwi.
2.Januari wanatafuta hela za magegi ya shule,madaftari, ada na matumizi mengine ya watoto wao wanaorudi shule...
Hapa watakagua gari mpk ambavyo havijawahi kukaguliwa
Huwa najaribu kuvunja record zangu mwenyewe. Kuna moja nataka nilijaribu kama nitaivunja soon.Duh trip zako za kibabe
Kupumzika muhimu,uchovu na long trip ni hatari.Huwa najaribu kuvunja record zangu mwenyewe. Kuna moja nataka nilijaribu kama nitaivunja soon.
2014 niliwahi kupiga KM 1000+ kutoka Arusha mpaka Kampala bila kusimama na bila kuwa na co driver.
Nategemea kuvunja hiyo record mwezi huu. Katikati
Anakwambia washa taa wakati ni mchana!Lazima uwakute wa kutosha wameshakula xmas na mwaka mpya..
Sasa hivi watakuwa na njaa za aina mbili
1.Kiwi.
2.Januari wanatafuta hela za magegi ya shule,madaftari, ada na matumizi mengine ya watoto wao wanaorudi shule...
Hapa watakagua gari mpk ambavyo havijawahi kukaguliwa
Zangu za kiume zaidi. Hapo town tu nagonga 100 kwa siku hapo jinkuhama Hama vijiwe vya [emoji481] tuHa ha ha sio road trip zako
Nikweli hiyo trip ilinipa hasara, kwa sababu nilipiga go and return ndani ya wiki Sasa siku nimerudi asubuhi nikaenda kwa fundi moja kulipia kitu, nilipo maliza kulipa wakati naondoka nikaacha bahaha yenye 1.2 M mezani kwake. Hiyo yote ni kwa sababu ya uchovuKupumzika muhimu,uchovu na long trip ni hatari.
Sasa hiyo kwa wastani unapiga 126K in 7 years. Sasa yule aliekuambia garibyaki anayo for 7 years na ndio kwanza iko 80K ananishangaza. Nina Hakika hakununua 0KMTown huwa napiga at least 50km per day.
Una uhakika gani hakuchukua brand new? Ila kuna watu hawana misele au wanatumia sana gari za ofisi/kampuni.Sasa hiyo kwa wastani unapiga 126K in 7 years. Sasa yule aliekuambia garibyaki anayo for 7 years na ndio kwanza iko 80K ananishangaza. Nina Hakika hakununua 0KM
Mikoa ya kilimo hio mkuu,mambo ya bata huko sio mahala Pake.Asanteni Sana katavi nimekuka kuku Sana.
Baada ya mapumzziko hapa sumbawanga nikisubiri tiny yangu isawazishe gori Sasa naitafuta Mbeya.
Wwnye kujua viwanja vizuri Mbeya nijuzeni nalala Mbeya asubuhi naanza safariView attachment 1663996
Au wameshafikisha target?[emoji23][emoji1635][emoji1635][emoji1635]Huenda wamechoka kukamata.. majuzi sikukusimamishwa na trafic hata mmoja na nimerudi jana pia jioni hadi alfajiri sijasimamishwa hata na mmoja... na nilikuwa natembea lafu kweli kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mikoa ya kilimo hio mkuu,mambo ya bata huko sio mahala Pake.
Unaweza kukuta roundabout ya mkoa imepandwa michicha,tembele,ina kashamba darasa hapohapo.
Samahani lkn.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah wana Mbeya wakija hapa watanirushia mawe hatari,ngoja nivae helmet tayari kwa mapambano mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo ni ramli chonganishi mkuu
Mbeya bata lipo boss wangu. Ushindwe wewe tu.
Kama ni kweli.. umeuza mechi tayari 😀😀Uncle wangu huwa ni mtu wa maspeed sana. Hiwa safari zake za dar to moshi masaa matano mpk nyumbani kbs. Lakini huwa tunashangaa sana inakuaje anatoboa bila vyeti. Akatufundishaga mbinu yake. Huwa anapanga CD pape mbele kwenye dashboard anatandaza. Anasema trafiki akipiga camera anaambulia sifuri. Kuna anayeijua hii mbinu? Kuna ambaye amewahi jaribu?
Ajitokeze mtu aijaribu basi [emoji28]
Hivi kuna matrafiki kwani huku? Tusiharibiane mbinu zingine jamani
[emoji28][emoji28][emoji28] sijui yaani. Sasa hata sikawahi test jamaniKama ni kweli.. umeuza mechi tayari [emoji3][emoji3]