Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wakati nakuja Arusha nilikuwa na mdogo angu.

Yeye anapenda amshaamsha.

Nikamwambia hizo 30K tutakazopigwa zikifika 5 tu ni full tank kabisa ya kututoa Dar mpaka Arusha.

Akawa mpole ila njiani hatukukuta trafic. Ndo tukajiachia haswa.

Nadhani wakati wa kurudi ndo ntawakuta wa kutosha.

Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Lazima uwakute wa kutosha wameshakula xmas na mwaka mpya..

Sasa hivi watakuwa na njaa za aina mbili

1.Kiwi.
2.Januari wanatafuta hela za mabegi ya shule,madaftari, ada na matumizi mengine ya watoto wao wanaorudi shule...

Hapa watakagua gari mpk ambavyo havijawahi kukaguliwa
 
Mimi nina C ila naikubali kuliko D.

Gari ina miaka 7 haijafikisha hata 80K km.

Maintainance ni top notch, service ni kwa wakati.

Hata wenye D wengi zimeshachoka ila yangu ni sawa na itoke Japan leo.

Plate number zinazuzua tu.

Nikitaka kuiuza napunguza 2M kwa ile mpya inayotoka Japan.

Kama mpya itauzwa 20M yangu nauza 18M.

Sitaki kelele.



Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Inaonekana yako unaitumia kwenda sokoni tu. Na soko lenyewe liko mtaa wa pili.
 
Mimi nina C ila naikubali kuliko D.

Gari ina miaka 7 haijafikisha hata 80K km.

Maintainance ni top notch, service ni kwa wakati.

Hata wenye D wengi zimeshachoka ila yangu ni sawa na itoke Japan leo.

Plate number zinazuzua tu.

Nikitaka kuiuza napunguza 2M kwa ile mpya inayotoka Japan.

Kama mpya itauzwa 20M yangu nauza 18M.

Sitaki kelele.



Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Inaonekana yako unaitumia kwenda sokoni tu. Na soko lenyewe liko mtaa wa pili.
 
Lazima uwakute wa kutosha wameshakula xmas na mwaka mpya..

Sasa hivi watakuwa na njaa za aina mbili

1.Kiwi.
2.Januari wanatafuta hela za magegi ya shule,madaftari, ada na matumizi mengine ya watoto wao wanaorudi shule...

Hapa watakagua gari mpk ambavyo havijawahi kukaguliwa
[emoji23][emoji23][emoji23] hapo ndio huwa unaisikia, kanyaga break, washa wiper, Sasa ole wako maji yakatae kutumia kwenye kioo[emoji23][emoji23]
 
Lazima uwakute wa kutosha wameshakula xmas na mwaka mpya..

Sasa hivi watakuwa na njaa za aina mbili

1.Kiwi.
2.Januari wanatafuta hela za magegi ya shule,madaftari, ada na matumizi mengine ya watoto wao wanaorudi shule...

Hapa watakagua gari mpk ambavyo havijawahi kukaguliwa
Anakwambia washa taa wakati ni mchana!
 
Asanteni Sana katavi nimekuka kuku Sana.
Baada ya mapumzziko hapa sumbawanga nikisubiri tiny yangu isawazishe gori Sasa naitafuta Mbeya.

Wwnye kujua viwanja vizuri Mbeya nijuzeni nalala Mbeya asubuhi naanza safariView attachment 1663996
Mikoa ya kilimo hio mkuu,mambo ya bata huko sio mahala Pake.

Unaweza kukuta roundabout ya mkoa imepandwa michicha,tembele,ina kashamba darasa hapohapo.

Samahani lkn.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mikoa ya kilimo hio mkuu,mambo ya bata huko sio mahala Pake.

Unaweza kukuta roundabout ya mkoa imepandwa michicha,tembele,ina kashamba darasa hapohapo.

Samahani lkn.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo ni ramli chonganishi mkuu

Mbeya bata lipo boss wangu. Ushindwe wewe tu.
 
Uncle wangu huwa ni mtu wa maspeed sana. Hiwa safari zake za dar to moshi masaa matano mpk nyumbani kbs. Lakini huwa tunashangaa sana inakuaje anatoboa bila vyeti. Akatufundishaga mbinu yake. Huwa anapanga CD pape mbele kwenye dashboard anatandaza. Anasema trafiki akipiga camera anaambulia sifuri. Kuna anayeijua hii mbinu? Kuna ambaye amewahi jaribu?

Ajitokeze mtu aijaribu basi [emoji28]

Hivi kuna matrafiki kwani huku? Tusiharibiane mbinu zingine jamani
 
Uncle wangu huwa ni mtu wa maspeed sana. Hiwa safari zake za dar to moshi masaa matano mpk nyumbani kbs. Lakini huwa tunashangaa sana inakuaje anatoboa bila vyeti. Akatufundishaga mbinu yake. Huwa anapanga CD pape mbele kwenye dashboard anatandaza. Anasema trafiki akipiga camera anaambulia sifuri. Kuna anayeijua hii mbinu? Kuna ambaye amewahi jaribu?

Ajitokeze mtu aijaribu basi [emoji28]

Hivi kuna matrafiki kwani huku? Tusiharibiane mbinu zingine jamani
Kama ni kweli.. umeuza mechi tayari 😀😀
 
Back
Top Bottom