Niliwahi kusema, mpaka mwaka huu uishe pipa moja linatoboa $200.hali ya soko ni mbaya sana.. Mafuta yanazidi kukweee kama hayana breki.. dah! sijui yataenda ishia wapi.. au yanatafuta R ya 2008
Gari yenye mph au mpg inabidi kichwa kiwe kinapiga mahesabu muda mwingi.MPH can fool you especially on Germany thing!
Miaka mitano ijayo utajikuta wewe ndo unaongoza kwa fujo barabarani.30, natamani kuishi aisee. Kwa ujumla naogopa safari na nikiwa na safari hua naumwa kwa woga, kwa ndege ndio kabisa hua naumwa had homa. At least kwa bus nakua na amani zaidi kwasababu mwendo wa bus ni mzuri sana
Hiyo gari yako inabidi nije kuizibua rafiki[emoji23]Ngoja tuone
Kama imezama hapo hurusiwi kusogea kutoa chochote hapo inahesabika kama Wreck (salia la meli iliyozama) Marine authority ya Portuguese watawekea Mark au alama Kwa ajili ya usalama wa watumiaji wengine wa Bahari.Mkaokoe magari jamani.View attachment 2137033
Ngano,Mbolea na Kemikali za viwandani zitapaa Bei.Huu mgogoro unaleta athari kwenye mambo mengi basi tu ☹️
Acha uoga jumamosi tuitoe mafua hiyo ndinga mkuu[emoji23]Heeee labda nikupe funguo uizibue pekeyako😀😀😀😀
Na hivi hizi speed cameras za polisi wa TZ, uwa zinanasa mph ama kph? Maana kuna wakati mmoja nilikuwa zaidi ya 120kph (around 80mph) polisi akanipiga tochi na kuniambia natembea kwa 80 sehemu yenye kibao cha 50.MPH can fool you especially on Germany thing!
Yes mkuu ngano tuna import kwa wingi kutoka urusi na australia kama sijakosea.Aiseee had ngano tunaimport
Ndio, tuna import Kutoka Ukraine,Russia, Canada na Australia.Aiseee had ngano tunaimport
Mkate, andazi, chapati,tambi vitapaa Bei muda si mrefuHatarious
Mkate upande mara ngapi?Mkate, andazi, chapati,tambi vitapaa Bei muda si mrefu
HahaaaaaaWatu wana madharau huko mabarabarani [emoji1787]
Palikuwa na mtu kapack ractis service road nyembamba ile anashuka kuna vanguard ikawa inaingia, sehemu ndogo ikabidi aingie kwa kujibana sana.
Driver wa vanguard karopoka “ wewe gari yenyewe mbaya na bado unaipack vibaya [emoji16]
Nimecheka kwa masikitiko [emoji16][emoji16]
Nb. Wenye ndinga kali na nzuri nzuri jamani msitunyanyapae wengine [emoji2088][emoji2088]
View attachment 2138595