Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwangu ni Jeep Grand Cherokee Trackhawk hapo nipeni masaa 4.5 tu ntakuwa Sengerema!Barabara kama hii unapewa unlimited speed.
Chagua gari utakayotumia na useme utatumia masaa mangapi Dar to Mwanza.View attachment 2123060
Bora hao kuliko wale wazee wa ving'ora na vibendera wanaotakaga wapishwe hadi kwenye highways! Wangekuwa wanaunga tela kwenye ligi tu kama watu wengine zile gari si zinakimbia wanachojifanya kusubiri barabara iwe nyeupe kitu gani kucheleweshana tu!Hamna bana nimetembea hio njia ya Dom juzi kati wengi mnatanua bila uoga yani gari inatanua iko 130KPH.
Gari nyingi zina plate namba za ajabu zile SKP18425 inasemekana ni za wakushi[emoji28]
Wale wanazingua😅Bora hao kuliko wale wazee wa ving'ora na vibendera wanaotakaga wapishwe hadi kwenye highways! Wangekuwa wanaunga tela kwenye ligi tu kama watu wengine zile gari si zinakimbia wanachojifanya kusubiri barabara iwe nyeupe kitu gani kucheleweshana tu!
unyama mwingiUnyama sana
Dodoma nimejaza puma 2565 fresh tu, nikaanzisha ligi sasa wese limekataHio bei ya Total ni kisanga😅 mafuta yana bei kuliko kilo ya sukari
Hahahahah jiandae kununua bei ya juu zaidi ukifika mjiniDodoma nimejaza puma 2565 fresh tu, nikaanzisha ligi sasa wese limekata
Huezi tumia huo muda hata iweje.Kwangu ni Jeep Grand Cherokee Trackhawk hapo nipeni masaa 4.5 tu ntakuwa Sengerema!
Mkuu njia nyeupe haina tuta? Unachukulia kitoto wewe! Hio nusu saa ni ya kusimama sheli dakika 5/5 kutia full tank ingine.Huezi tumia huo muda hata iweje.
Labda uende moshi arusha.
Hii misafara hata haikimbii.Bora hao kuliko wale wazee wa ving'ora na vibendera wanaotakaga wapishwe hadi kwenye highways! Wangekuwa wanaunga tela kwenye ligi tu kama watu wengine zile gari si zinakimbia wanachojifanya kusubiri barabara iwe nyeupe kitu gani kucheleweshana tu!
Juzi sgd to kahama nimetii sheria bila shuruti cjasimamishwa na trafic kbs[emoji120]Kwa hiyo mkuu hapo ni wewe tu kunyoosha goti...naona wamefuta kibao cha 50..[emoji85][emoji85][emoji1787][emoji1787]
naishia matakoni huku hukuHahahahah jiandae kununua bei ya juu zaidi ukifika mjini
Mpira pasi kaka[emoji848][emoji23][emoji23][emoji23]nimechukua namba ya trafic mmoja mkali kinoma.. [emoji16][emoji16]
Hahahahahah unatamba na D4-D hukonaishia matakoni huku hukuView attachment 2143955
Ndio.Mkuu njia nyeupe haina tuta? Unachukulia kitoto wewe! Hio nusu saa ni ya kusimama sheli dakika 5/5 kutia full tank ingine.
Hatari sn yakupasa uwe njema kwa mfuko!Ndio.
Kutembea 300kph non stop sio kazi ndogo ujue?
Hamna obstacle ni wewe kuchomoa na kuweka tu kisha sheli! Mkuu njia yetu ilivyo hatari na matuta na wembamba ila kuna watu wanakill 150MPH almost 250kph ndio ije kuwa hio 16 lane road!Ndio.
Kutembea 300kph non stop sio kazi ndogo ujue?
SUV ikiwa busy inakimbia huwa inavutia sana halafu ukute kwa pembeni au nyuma ina muonekano wa kibabe! Hizo sports cars and the likes wengine tunapenda tuishie kuziona kwenye racing na drifting games tu ila vikiwa kwenye public roads vinachekesha hasa bongo ukute kiko kwenye foleni pale mwenge yaani kinaonekana very odd labda kwa wenzetu huko ambako viko shazi kama mchele!Tuko pamoja mkuu, gari ni SUV bana hizi Toy Cars hapana[emoji28]
Yeah ndiyo maana nasema kwanini nao wasijiingize kwenye ligi zile gari si zina uwezo wa kukimbia kwanini nao wasiwe wanaovertake na kufuta visahani tu! Wasisubiri kupishwa!Hii misafara hata haikimbii.
Inatembea speed za kawaida sana.
Vile wanatengenezewa barabara nyeupe ndo mnaona wanakimbia sana.
Tuacheni na sports car zetu.. bakini na SUV zenuSUV ikiwa busy inakimbia huwa inavutia sana halafu ukute kwa pembeni au nyuma ina muonekano wa kibabe! Hizo sports cars and the likes wengine tunapenda tuishie kuziona kwenye racing na drifting games tu ila vikiwa kwenye public roads vinachekesha hasa bongo ukute kiko kwenye foleni pale mwenge yaani kinaonekana very odd labda kwa wenzetu huko ambako viko shazi kama mchele!