Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Na consumption nzuri. Kutoka Moro mpaka Musoma nimeenda 9.5 kmpl, nilikuwa naishi kwenye 130 na 140, mara moja moja akitaka mtu kuleta dharau ndo nilikuwa namaliza kisahani.

Kuna GRS200 iliniletea dharau jioni Karibu na Singida, akaomba ligi. Kuna jambo kajifunza.
Hahahahahahah ulimpa kipindi😅
 
Heri ningemalizia hizi km200 jana nikafika Musoma. Kiherehere changu kusafiri asubuhi nimeliwa fine mbili back to back zimepishana nusu saa.

Shikamooni wakurya, mmenikaribisha vilivyo kanda maalum

View attachment 2135114
Kwa mchana mkeka ilikuwa lazima upewe yani mi ndio maana hao ma swine siwapendagi yani😅 ndio maana natakaga nitembee usiku
 
..ina maana bongo ukitrade fx, ukapata faida kubwa, sirikali ya thithiemu inakufuatilia..!?[emoji19]

Kama ndivyo, mbona hii mchi ni ya ajabu sana.....vijana wanagraduate, ajira hakuna...wakijiajiri huko kwenye mitandao, nongwa..
Hamna sio kwa sasa mkuu! Ilikuwa awamu ya mzee ndio hela za watu walikuwa wanazitolea macho! Ila kwa sasa hali ni tulivu
 
😃😃😃 hapa mzee naenda na Ferrari F12 Berlineta

Power: 730 hp at 8,250 RPM.
Torque: 509 lb-ft at 6,000 RPM.
Top Speed: 211 mph.
0-62 mph: 3.1 seconds.

Nitatumia masaa 4.. mwendo wangu utakuwa ni 250-300 😎😎😎

View attachment 2123941
Ni hatari sana mzee gari zote hizo utakimbiaje kwa 250-300
 
Wakuu tupambane sana. Jioni at least mara tatu kwa wiki huwa nafanya jogging along Toure drive. Huku barabarani kuna watoto wa kihindi wanatoa carbon gari zao ni balaa. Kuna G55 mbili za 2021, cayenne GT, Infinity lile kama Y62 BMW M5 na RR ya 2019 hivi. Wanakimbizana hawa jamaa naishia kuvuta harufu ya coil tu
Huko siwezi jogg ntaumia roho tu aisee😅
 
Back
Top Bottom