Mi naogopa ban aisee😅Kuna nini tena?
Hii nchi kila siku linazuka jipya.
Hawakupigi tenaMi naogopa ban aisee[emoji28]
Maweee[emoji23][emoji23][emoji23]Hata ligi sasa hivi naziangalia tu.. maana hazina kulipwa.. kuna VXR mmoja ina minamba meusi.. alinikuta sehemu wakaanza kunipigia ile mioni ya twende twende acha kutembea kimama.. waliiningiza kingi na kuharibu bata langu lote.. ilinilazimu kuingia kituo cha mafuta upyaaa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]..
Ndoto zinafariji sana aseeDaah [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hii ndio hasara ya ligiLigi zinamaliza wese balaa. Kuna watu hawana adabu unajikuta unawanyoosha tu huku wese linakunyoosha na wewe[emoji23][emoji23]
Sijui napiga sana shimo na matuta [emoji1787][emoji1787]Umeamua kung’oa mpk viti mzee
[emoji28] punguza speed
Hii ni kama unaenda darajani? Hawa ndo wana bei ya chini always, lakini ile kama unaenda kibada pale kwa mkorea bei tofauti ipo juu, ndipo ambapo siwaelewi hawa jamaaLake Oil 2,480 petrol
View attachment 2146521
Labda walikupiga tu,zote bei sawa. Bei hii niliona hapo njia ya Kibada kwanza.Hii ni kama unaenda darajani? Hawa ndo wana bei ya chini always, lakini ile kama unaenda kibada pale kwa mkorea bei tofauti ipo juu, ndipo ambapo siwaelewi hawa jamaa
Hii ipo siku nyingi zaidi ya miaka miwili huwa ipo HVT first floor.Leo nimekutana na fortuner mbichi namba T 999 FGP nimeshangaa sana mzee
Mkuu, fuatilia utaona. Ni njia yangu ya kila siku na ninaweka sana hivi vituo.Labda walikupiga tu,zote bei sawa. Bei hii niliona hapo njia ya Kibada kwanza.
RRONDO niaje mazee, leo jioni niko home O/Bay nafanya mazoezi ile nimefika Elements nimekutana na Mercedes Maybach S 580 au S680 sikumbuki vizuri, lakini ni 4Matic V-12. Unajua ni kama huamini kama kuna wabongo wanaweza kuwa na chuma kama hiki. Iko kama hii hapa kwenye picha, hadi rangi, nimewaza sana ila acha tuu.Labda walikupiga tu,zote bei sawa. Bei hii niliona hapo njia ya Kibada kwanza.
Naifahamu ya mtu mkubwa mmoja anakaa Kinondoni. Kwa privacy yake siwezi kutaja jina lake. Watu wana fedha ndugu yangu.RRONDO niaje mazee, leo jioni niko home O/Bay nafanya mazoezi ile nimefika Elements nimekutana na Mercedes Maybach S 580 au S680 sikumbuki vizuri, lakini ni 4Matic V-12. Unajua ni kama huamini kama kuna wabongo wanaweza kuwa na chuma kama hiki. Iko kama hii hapa kwenye picha, hadi rangi, nimewaza sana ila acha tuu.
View attachment 2148330
Naaam, watu wana fedha....Naifahamu ya mtu mkubwa mmoja anakaa Kinondoni. Kwa privacy yake siwezi kutaja jina lake. Watu wana fedha ndugu yangu.
Wabongo Wana mawe sio kitoto Ila huwa Wana keep it Low Key sanaRRONDO niaje mazee, leo jioni niko home O/Bay nafanya mazoezi ile nimefika Elements nimekutana na Mercedes Maybach S 580 au S680 sikumbuki vizuri, lakini ni 4Matic V-12. Unajua ni kama huamini kama kuna wabongo wanaweza kuwa na chuma kama hiki. Iko kama hii hapa kwenye picha, hadi rangi, nimewaza sana ila acha tuu.
View attachment 2148330
Wanazo mkuu huwa ndiyo natumia...Hawa jamaa kumbe nao wana hizi za 5w pia nilizoea kuona zile za 20W na SAE nikajua hawanaga hizi za kina Castrol na Liqui Molly
Bei ni rafiki kiasi....Duh kumbe zipo hata bei itakuwa rafiki kidogo
Total natumia kiroho safi kabisa....cha msingi kuimwaga kwa wakati....Wanyonge tutaishi nazo tu! Kuna mahali niliuliza juzi 5w 30 ni 60K...
Nilishangaa kweli[emoji28] wakati kwa wazee wa Bonn na Frankfurt Liqui Molly oil ni bei ya battery ya Gari![emoji23]
Hio sio mbaya kwa sisi wenye i4 engines tutapeta 😅 ukiwa na 80 tu unagonga service ya oil na filter.Bei ni rafiki kiasi....
Lita4 Chuga kwa sasa ni 70000 mpaka 65000 kwenye vituo vya total