Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Hahahaaaaaa nimecheka sana
 
Kuna gari zinatoka bandarini zimechoka kuliko namba B sijui shida nini
 
Huu mwaka natazamia kuingia kwenye mabus Rasmi
 
Camera unaweza pigwa kwa nyuma.

Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
 
Kwa afya ya gari ni bora gari yenye high km za kutembelewa highway kuliko gari yenye low km za kutembelewa town trip.
 
Highway hawakagui.

Labda hawa wa mjini kati.

Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Poliso wa Arusha wamezidi unoko.....kwa experience, kwa mfano kama unatoka Arusha kwenda Moshi....ukifika Kuanzia KIA askari wa huko mbele wapo humble kidogo.....Hawa wa Arusha unaweza ukasema wametumwa kufanya operesheni maalumu....
Sijui wanajua kila mtu anasafirisha bangi za kisimiri..?[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Hahahahah kwahiyo mkuu nimeuza raman.

Au jamaa yako alipanga vibaya? Basi nutakua sileti tena humu.

Matrafiki wa humu tunawamaindoo sana. Nyie mna roho nzurimoo[emoji28][emoji28][emoji28]
Hahaha...ndiyo hivyo mkuu jamaa wakibana mlango inabidi kutokea dirishani.
Jamaa alishauriwa aining'inize pale kwenye Kioo cha kutazamia nyuma...
Akala cheti chenye nembo ya Polisi Tanzania..
 
Kuna gari zinatoka bandarini zimechoka kuliko namba B sijui shida nini
Nahisi ni zile zinazotelekezwa baada ya waagizaji kushindwa kuzikomboa...

Mtu anaambiwa magari Japani ni bei rahisi, anaingia kichwa kichwa...

Likitua bongo anakutana na bandari wamekinga mkono, grace period ikiisha bandari wanaaza kuhesabu tu, clearing and forwarding agent amekinga mkono, TRA hawa wanakinga kikapu kabisa, Bima wanakinga mkono..

Basi muagizaji anaaza kutoa laana, lakini ndiyo hivyo tena serikali hailaaniki..[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji26][emoji26]
 
Balimi hapana. Ile pombe imekaa kisukuma sana.

Safari itabaki kuwa juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…