Huyo wa VX atakuwa hakuamua. Hivi majuzi hivyo vi baby walker vilinitunishia misuri Moro - Dom alafu sasa nikawa na jamaa waoga, basi roho ilikuwa inaniuma.IST akiamua kufanya mashindano anatembea [emoji1787] sema mie humo ndani sitakaa
Kuna IST tulitembea nayo sambamba SGD to ARU.. tunaingia town tunaikuta IST ile [emoji28][emoji28][emoji28]
IST alivimbia VX, yule sijui alikuwa anatembea speed ngapi…
Jitahidi ulale Singida kesho yake umalizieWakuu kwema,
Nmenyanyua ist juzi bandarin sasa nataka nikapulize hadi mwanza wiki ijayo nipeni maujuz kama katafika kutoka dar pia niende moja kwa moja au niweke vituo mfano nikitoka dar nilale dom then kesho niunge had mwanza….
Karibun kwa mawazo ni vitu gani vya kuzingatia kabla,wakati na baada ya safari.
NB:Sitafanya mashindano yoyote road naenda kistarehe kabisa sina haraka[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wale wa V8 300 series,vanguard,bmw,toureg VW, njia nyeupeee nendeni tu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hakuamua sana hata hivyo baada ya wakati wa kwenda kupata vyeti…Huyo wa VX atakuwa hakuamua. Hivi majuzi hivyo vi baby walker vilinitunishia misuri Moro - Dom alafu sasa nikawa na jamaa waoga, basi roho ilikuwa inaniuma.
Kimoyo moyo nikajisema; raia wakijidai kulala tu hivyo vi IST vitasoma namba.
Ile nafika tu Kongwa raia wakawa wamelala hapo nikaanza fujo roho yangu sasa ikatulia [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila Huwa wanakomaa na vile vigari barabarani.
Au ndio zile Wigelekelo anaita VX bwege? Mtaani niliwasikia vijana wakiita 'kubwa jinga' nikamkumbuka ndugu yangu Wige!Huyo wa VX atakuwa hakuamua. Hivi majuzi hivyo vi baby walker vilinitunishia misuri Moro - Dom alafu sasa nikawa na jamaa waoga, basi roho ilikuwa inaniuma.
Kimoyo moyo nikajisema; raia wakijidai kulala tu hivyo vi IST vitasoma namba.
Ile nafika tu Kongwa raia wakawa wamelala hapo nikaanza fujo roho yangu sasa ikatulia [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila Huwa wanakomaa na vile vigari barabarani.
Hawa wenye IST na wenzao nikumona anataka ligi huwa namsubiri kwenye matuta, tukishuka tuta nakamua mpaka 160kph naganda hapo kwa dakika kadhaa halafu narudi 120-130 hanioni tena maanake itabidi afikishe 150kph kunitafuta ambalo ni zoezi gumu kwake.Hakuamua sana hata hivyo baada ya wakati wa kwenda kupata vyeti…
Kuna watu mna drive mpaka abiria tunashika mioyo 😎
Juzi kati trip tu fupi LC hardtop driver anaispeedisha mpaka nikamwambia siku ukigonga ukaua. Utajifunza
Napenda speed, ila sio kivile… ukiwa mwendokasi sana mimi utanishusha kwa ambavyo uwa nalalamika 🤣🤣🤣
Hardtop sio gari ya kukimbia kabisa.Hakuamua sana hata hivyo baada ya wakati wa kwenda kupata vyeti…
Kuna watu mna drive mpaka abiria tunashika mioyo 😎
Juzi kati trip tu fupi LC hardtop driver anaispeedisha mpaka nikamwambia siku ukigonga ukaua. Utajifunza
Napenda speed, ila sio kivile… ukiwa mwendokasi sana mimi utanishusha kwa ambavyo uwa nalalamika 🤣🤣🤣
Wanakimbiza afu sasa zina ngao basi ndio tafrani.Hardtop sio gari ya kukimbia kabisa.
😃😃😃 tunapishana tu banaNikija Arusha wewe unakimbilia mkoa mwingine 😛😛
Qumermae LC LX hii,ni vd series au?Tuendelee kuzunguka
View attachment 2213584
MkuuAu ndio zile Wigelekelo anaita VX bwege? Mtaani niliwasikia vijana wakiita 'kubwa jinga' nikamkumbuka ndugu yangu Wige!
Haha aahh wapi, Wote tunaisoma namba.Wenye mnapeleka gari yard inajazwa full tank sasa hivi mmeyapatia maisha.... 😎
Kuna watu wakiwa wamelala huwa wanahisi gari ikiwa inakimbia sana.Huyo wa VX atakuwa hakuamua. Hivi majuzi hivyo vi baby walker vilinitunishia misuri Moro - Dom alafu sasa nikawa na jamaa waoga, basi roho ilikuwa inaniuma.
Kimoyo moyo nikajisema; raia wakijidai kulala tu hivyo vi IST vitasoma namba.
Ile nafika tu Kongwa raia wakawa wamelala hapo nikaanza fujo roho yangu sasa ikatulia [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila Huwa wanakomaa na vile vigari barabarani.
[emoji23][emoji23] kama speed ngapi vile ndio roho inabidi inakuchonoka.Hakuamua sana hata hivyo baada ya wakati wa kwenda kupata vyeti…
Kuna watu mna drive mpaka abiria tunashika mioyo [emoji41]
Juzi kati trip tu fupi LC hardtop driver anaispeedisha mpaka nikamwambia siku ukigonga ukaua. Utajifunza
Napenda speed, ila sio kivile… ukiwa mwendokasi sana mimi utanishusha kwa ambavyo uwa nalalamika [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
YawezekanaAu ndio zile Wigelekelo anaita VX bwege? Mtaani niliwasikia vijana wakiita 'kubwa jinga' nikamkumbuka ndugu yangu Wige!