MWEMBEKIUNO
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 1,877
- 2,489
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinasoma ngapi?Kuna ki RAV 4 kinasoma MPH kilitoka India cha kipuuzi kweli kweli.. MPH za EUROPE sawa
Karibu mkuu, umefika wap nije kukupokea tufanye drag race hadi Skyway Pub.Shinyanga mpja hiyo.
Nalala Singida wenyeji hodi hodi
Singida hiyo; ni,eingia hapa Rwezahula pub hata msosi hakunaKaribu mkuu, umefika wap nije kukupokea tufanye drag race hadi Skyway Pub.
Ungesogea serengeti serengeti au kilima 😎😎Singida hiyo; ni,eingia hapa Rwezahula pub hata msosi hakuna
wapo wapo serious sana na maisha na pesa nazo zipo serious sana kuwafatawatu na pesa zao za madiniView attachment 2217492
Niliweka 100k huwezi amini nilipata 24 litres jana
Hapo ni kujaza full, kila baada ya siku 3 unaongezea tena mpaka full.Niliweka 100k huwezi amini nilipata 24 litres jana
Niko road narudi Dar hivyo kika ninavyozidi kusogea bei inashuka ndio maana nimeamua kufanya hivyoHapo ni kujaza full, kila baada ya siku 3 unaongezea tena mpaka full.
Ukisubiri mpaka ngoma iwe empty kabisa, utakata tamaa.
Kubwa jinga kwenye list yangu ni new models za Hilux na Prado.Au ndio zile Wigelekelo anaita VX bwege? Mtaani niliwasikia vijana wakiita 'kubwa jinga' nikamkumbuka ndugu yangu Wige!
Sasa kama unaendesha siku tatu unaweka tena unatofauti gani na huyu anaeweka lita 20 or less? Utaratibu wangu ni full to empty ambayo inanifikisha wiki moja. Hata nikisafiri trip zisizozidi 600km naweka full mpaka destination yangu ndio naweka full tena.Hapo ni kujaza full, kila baada ya siku 3 unaongezea tena mpaka full.
Ukisubiri mpaka ngoma iwe empty kabisa, utakata tamaa.
Pesa ni ile ile [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa kama unaendesha siku tatu unaweka tena unatofauti gani na huyu anaeweka lita 20 or less? Utaratibu wangu ni full to empty ambayo inanifikisha wiki moja. Hata nikisafiri trip zisizozidi 600km naweka full mpaka destination yangu ndio naweka full tena.