ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Nimeacha mbio na ligi. Its too expensive kwa bei hizi za mafuta. Sahizi naweka snow mode on muda wote.Hizo sio kubwa jinga....you are just too quick!
Plus kuna majinga ukifanya nayo ligi yanakosa umakini yanakuja kukuvaa from behind.