Ni kweli kabisa mkuuTabia mbaya kuliko zote ni kumfuata wa mbele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisa mkuuTabia mbaya kuliko zote ni kumfuata wa mbele
With high risk mkuu, barabara zenyewe ni shida, umbali sio mrefu sana Moro to Tunduma almost 900km, mendoza wa 10hr pamoja na mapumziko kwa wastani wa 100km/hrtoka saa1 jioni uingie tunduma saa 11 alfajiri its not a joke, ulitembea kweri kweri
Ni balaa hawa jamaa,ila fungal kazi ni za magazeti, wale ni vichaahahahahahaha jamaa wanatembea mwendo wa Ambulance
Ni kama km 730 around hapo.With high risk mkuu, barabara zenyewe ni shida, umbali sio mrefu sana Moro to Tunduma almost 900km, mendoza wa 10hr pamoja na mapumziko kwa wastani wa 100km/hr
Hii nasikia ipo Mbeya? Sijawahi kufikaWazee wa road trips kama kawa kama dawa [emoji109]View attachment 2236795
Hii mitaa ya Same not Mbeya mkuuHii nasikia ipo Mbeya? Sijawahi kufika
Ahsante mkuu kwa kuniweka sawa, hizi speed limit zetu zinashangaza sana,if max speed kwenye barabara zetu ni ngapi?,Zambia ni 100km/hr,Botswana, Namibia na SA ni 120km/hr,je kwetu ni ngapi?Ni kama km 730 around hapo.
Kutoka DAR ndiyo 900km, mwendo wa kawaida tena kwa usiku hakuna 50
Jihadhari na matuta ndani ya mbuga ya mikumi, yanatia hasira mnoKesho road trip to mikumi… dua zenu… mlioko njia hiyo tutasomana road.
Hahah angepiga za 140-170 zile angewahi zaidiNi kama km 730 around hapo.
Kutoka DAR ndiyo 900km, mwendo wa kawaida tena kwa usiku hakuna 50
Jihadhari na matuta ndani ya mbuga ya mikumi, yanatia hasira mno
Kwetu kama hamna 50kph zone unatembea uwezavyo 😎😎Ahsante mkuu kwa kuniweka sawa, hizi speed limit zetu zinashangaza sana,if max speed kwenye barabara zetu ni ngapi?,Zambia ni 100km/hr,Botswana, Namibia na SA ni 120km/hr,je kwetu ni ngapi?
LembeniAhaaa ukipita Same kuelekea lembeni au mwanga? Hii njia tamu sana haina vurugu
Nakukumbusha tu faini ya kugonga twiga ni 35m...[emoji41][emoji41]
Get la kuingia TundumaWazee wa road trips kama kawa kama dawa [emoji109]View attachment 2236795
Mcheki bwana mrangi ndio uwanja wake huo.