ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Kubwa jinga hilonashangaa watu wanaozibeza hizo hilux mi naonaga zinatembea mno pamoja na kuwa ni diesel GD6
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kubwa jinga hilonashangaa watu wanaozibeza hizo hilux mi naonaga zinatembea mno pamoja na kuwa ni diesel GD6
Kuingia kichwa kichwaTabia mbaya kuliko zote ni kumfuata wa mbele
Ahaa kumbe wewe Una mipango yako ya kufukizana na ITSafari ya kukimbiza T1 kwangu huwa ninaianza saa 14:00hrs,mdogo mdogo hadi morogoro niingie saa 18:00hrs, hapo sasa ndio safari inaanza maana mabus karibu yote yamesha kuwa cleared, touch zote zipo mfukoni, barabara inakua imetulia na ligi na ITs inaanza, alfajiri ndani ya Tunduma border!!
Hauko mbali na ukweli maana ITs zinakufanya usilale, they put u at the edge!Ahaa kumbe wewe Una mipango yako ya kufukizana na IT
Na wakikosea hesabu wakajikuta wanakaribia kuumana na semi inayoshuka upande wa pili unawaona wanavyohenya kurudiYaani ukisafiri utawaona hao wakulungwa mpaka unajiuliza huyu papara ya nini? Si asubiri sekunde 30 atapita.
Wapi hii mkuu
Bmw r1200gs
Hiyo sasa njaa itakuwa imezidi.Mbona hawakai na tochi kutumulika tunaopita na 160kph?
Yaani ni tabu tupu; hizo overtaking za kijinga pia huwa sizipendi maana unaweza kutana na kitu kizitoHahahahaha unaendesha gari watu wanachungulia majira ya kph[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni mzigo kuwa na abiria waoga namna hio nachopinga ni overtakes za kiboya na kutanua bila taadhari tu ila kama mbele peupe hata ukigonga 180 sio swala.
As Isee hicho ki IST ilijipiga kweli kweliIgawa ileeeeeee...
iT uelekeo KasumuluView attachment 2238728View attachment 2238729
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Ni crown ilitokea liniWakuu,mdogo mdogo wakuu, barabara zinaua zaidi ya UKIMWI.
RIP msoja,kuna picha hazifai kuwekwa hapa ni zinatisha mno.
View attachment 2241242View attachment 2241243
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Ni Toyota AxioAs Isee hicho ki IST ilijipiga kweli kweli