Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Ahaa kumbe wewe Una mipango yako ya kufukizana na IT
 
Hahahahaha unaendesha gari watu wanachungulia majira ya kph[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni mzigo kuwa na abiria waoga namna hio nachopinga ni overtakes za kiboya na kutanua bila taadhari tu ila kama mbele peupe hata ukigonga 180 sio swala.
Yaani ni tabu tupu; hizo overtaking za kijinga pia huwa sizipendi maana unaweza kutana na kitu kizito
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…