Mmh! Huo mwendo wa escort .. kwa mbio ndefu mjapan lazima awe na shughuli pevu sana kwa wazungu
Watakuja Wajapani wa 2JZ kusema hivi.. hizo Landcruiser zilikuwa zinaenda mdogo mdogo.. Dereva hajaamua.. Ndio maana zimepitwa..!
Wakati Mimi full tank ya crown saiv laki2 na ktu Yani Hali mbaya mafuta kwakweli.Duh mna Raha sana
Jamaa wa BMW akaona usinitanie
Ooh sikuiona hii vip ulimpata mrangi au bado unalo?Mie nina hili jiwe, sijuwi ni aina gani
View attachment 2237414
View attachment 2237415
Cc: mrangi , msukuma fekero
bmw gani hio mzee baba naona kaamua kuwala watawala 😁 😁 😁
Bosi wa hizo Landcruiser hajawaambia wafike Dodoma saa 3..wapo mdogo mdogo..ndio maana wamepitwa..!bmw gani hio mzee baba naona kaamua kuwala watawala 😁 😁 😁
Nimeshangaa yani maana hizo V8 ukikuta zinaeleka Dodoma na zile cruiser zenye namba za SKU97294L moto wake huwa sio wa masihara😅Bosi wa hizo Landcruiser hajawaambia wafike Dodoma saa 3..wapo mdogo mdogo..ndio maana wamepitwa..!
Hahaha Era na heshima ya hizo V8 inaenda kuisha sasa.. Siku hizi Bandarini wanashuka Wajerumani wakutosha..!Nimeshangaa yani maana hizo V8 ukikuta zinaeleka Dodoma na zile cruiser zenye namba za SKU97294L moto wake huwa sio wa masihara😅
Extrovert hakuna VX itagusa moto huu hata aambiwe na nani...VW for life....300kph Bongo 🙌🙌🙌
View attachment 2244956
Umehama na ili bango kutoka kwenye ule uzi.. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Bosi wa hizo Landcruiser hajawaambia wafike Dodoma saa 3..wapo mdogo mdogo..ndio maana wamepitwa..!
Sure.. Ngoja tuone hizi LC300 zikipewa maelekezo ya kufika Dodoma mambo yanakuwaje..Heshima imebaki kwa wenzie tu....huyo anachapwa na vidude vyenye uzito tani 1.5
Heshima inaenda kuisha kivipi mkuuHahaha Era na heshima ya hizo V8 inaenda kuisha sasa.. Siku hizi Bandarini wanashuka Wajerumani wakutosha..!
Vyote vinaenda kuhappen.. 1. Zitakuwa nyingi private.. Yakiingia magari mapya kuna ya serikali yatauzwa..!Heshima inaenda kuisha kivipi mkuu
Kwamba siku hizi watu wengi wanaziafford ama
Au heshima ya gari ipo kwenye mabio tu pekee
Hahaa zitakuwa kama ist siyoVyote vinaenda kuhappen.. 1. Zitakuwa nyingi private.. Yakiingia magari mapya kuna ya serikali yatauzwa..!
2. Heshima yake ilikuwa ni mbio.. Ndio maana mtaani zinaitwa Landcruiser V8 wakati hilo sio jina lake..!
Hii ni Tz?
Raha ya hivi vidude, hata ukiwa 250kph, unaweza usihisi kama upo speed kubwa.VW for life....300kph Bongo [emoji119][emoji119][emoji119]
View attachment 2244956