Zipo.. Na muda uanvyozidi kwenda zinaongezeka.. Kwahiyo ni swala la muda hiyo title atavuliwa..Mkuu hapa bongo ni wangapi wenye hizo bimmer ulizozitaja maana bandarini kwetu zinazoshuka ni zile zile tulizozizoea
My point was hawakosei kuiita LC V8 since inatumia V8 engine labda ungeniambia wanachokosea ni kudhani V8 ndiyo jina la gari
Engine ya V8 kutumika na gari nyingi sidhani kama ndiyo sababu ya LC kutoitwa V8 labda ungesema wawe wanaspecify ila hawakosei
Umerudi kule kule kwenye point yangu mkuu, sijui hata tunaposhindwa kuelewana ni wapiZipo.. Na muda uanvyozidi kwenda zinaongezeka.. Kwahiyo ni swala la muda hiyo title atavuliwa..
Sio sawa..
Kuna Landcruiser 100 series zinatumia V8 engines pia..
Kusema LC V8 itachanganya kujua unamaanisha LC100 V8 au LC200 V8..!
Kula vichwa kipengele sana, ila kama utaamua kula vichwa usiache dalali akusanye hela, hela kusanya mwenyewe dalali mpe buku kwa kila kichwa au buku mbili inategemeq unaenda wapi.. mie vichwa hapana nilijaribu ila nime failItabidi nijifunze kula vichwa kupunguza makali
LC200 zinachakazwa na gari nyingi sana.. nilikuwaga naziona VXR hatari ila ... kuna siku nimeichapa kama mtoto na Muingereza .. LC300 zinahitaji kifua juzi nilifatana nayo moja ya ubalozi ile gari ni matusiUmerudi kule kule kwenye point yangu mkuu, sijui hata tunaposhindwa kuelewana ni wapi
Mwanzo ulisema kwa wajerumani wanaoshuka bandarini basi soon heshima ya LC 200 itashuka, ndiyo nikakuambia kama hao wajerumani wanaoshuka huko bandarini ni wale wale tuliowazoea basi heshima ya LC 200 bongo kushuka bado sana, labda wakianza kuja wajerumani wengine wenye uwezo zaidi ambao bongo wako chache
Ndiyo maana nikasema kuziita V8 hawajakosea, labda ungesema wanatakiwa waspecify zaidi ni V8 gani
Kula vichwa kwangu ni ngumu coz huwa sipigi trip solo.Kula vichwa kipengele sana, ila kama utaamua kula vichwa usiache dalali akusanye hela, hela kusanya mwenyewe dalali mpe buku kwa kila kichwa au buku mbili inategemeq unaenda wapi.. mie vichwa hapana nilijaribu ila nime fail
Ni tabu sana, privacy inapotea kabisa. Niliaribu kula vichwa mala moja na ikawa mwishoKula vichwa kwangu ni ngumu coz huwa sipigi trip solo.
😄😄😄 Zipo ila za kuotea sana, huwa nikipita kwenye vituo vile nazionaga zimesimama kweli kweliKwenye maeneo ya Kula vichwa hamna pisi kali?
Kuna moja ambayo nilichukuaga ilikuwa iantoka Dom kuja dar.. sema noma ilikuwa inakunywa hela zangu, nikanyoosha mikono ...Unaziangalia tu huchukui hatua?! Maeneo gani Dar huwa mnakula vichwa?
Haha bila shaka ni ile jaguarLC200 zinachakazwa na gari nyingi sana.. nilikuwaga naziona VXR hatari ila ... kuna siku nimeichapa kama mtoto na Muingereza .. LC300 zinahitaji kifua juzi nilifatana nayo moja ya ubalozi ile gari ni matusi
LC300 ni machine sio gari nyonge hata kidogo, inategemea LC300 unataka ipambanisha na gari gani sasa hapo..Haha bila shaka ni ile jaguar
Ofcourse LC huko duniani si kitu kuna gari kibao tu zinaichakaza ila hapa bongo bado mashine inaonekana mwamba sababu ya european cars tulizo nazo huku
Hata hivyo LC kiujumla kushuka heshima kwa bongo bado sana sababu hata zikishuka hizo 200 bado mmeletewa 300 ambazo ndiyo hizo mnahangaika kupambana nazo
Haha bila shaka ni ile jaguar
Ofcourse LC huko duniani si kitu kuna gari kibao tu zinaichakaza ila hapa bongo bado mashine inaonekana mwamba sababu ya european cars tulizo nazo huku
Hata hivyo LC kiujumla kushuka heshima kwa bongo bado sana sababu hata zikishuka hizo 200 bado mmeletewa 300 ambazo ndiyo hizo mnahangaika kupambana nazo
Haha nafikiri tuendelee kumdharau mjapan hana ishuLC300 ni machine sio gari nyonge hata kidogo, inategemea LC300 unataka ipambanisha na gari gani sasa hapo..
LC200 zina heshima yake .. gari ukisha zungumzia 150 million and above ina heshima yake
Hakuna madharau hata. Japan ana gari nzuri sana na bei zake kubwa, ila tech za japan sio sawa na tech za ulaya na mwisho wa siku tuna choice kutokana na mahitaji yetuHaha nafikiri tuendelee kumdharau mjapan hana ishu
Bado lakini zina probability Kubwa ya kuanza kuzagaa kuliko wajerumani wengi wa 2010s and coHivi lc300 zishazagaa mitaani na kwenye highway?
Tayari ila sio nyingi sana, binafsi nimebahatika kama nne tofauti tofauti kuzikuta ila Range Rover ya 2021 wala SVR ya 2021 mbadooo 😄😄😄Hivi lc300 zishazagaa mitaani na kwenye highway?
Wiki iliyopita nilikuwa nipo Kahama na niliziona LC 300 kama 7 hivi za watu binafsi, kule Toyota amefungua branch kabisa.Hivi lc300 zishazagaa mitaani na kwenye highway?