Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Nikionaga mwanamke anaijua vizuri manyo namuheshimu sana; anyway so we Mnyamwezi bado upo mkoani Tanga!? Sorry kwa kuchangia UZI wa zamani

Yaani nikiwa nabadili gia na kuchezesha/kubalansisha mguu kwenye clutch na breki yaani huwa napata raha sana.

Na akili yangu ilivyo, huwa nalinganisha kuendesha manual na kugegedana, weeh mkikutana mnajua kukabana kama watu wa Sumo, balaaah....😅😅😅

Ila tuu kusiwe na foleni....🙂.

Tanga nilikiwa kipindi hicho, siishi huko nilienda tuu kuka bata.

Kweli ume quote quote ya kitambo sana, nimeukimbia huu uzi maana nimekuwa natoka nje ya mada, kutoka Road trip hafi Mahaba trip...😜😜.

Sitaki kumkwaza Bataraingaya and the Co..

Cheers 🍻everyone.

Kasie Mahaba Matata.
 
Jana nimepiga Dar - moshi, moshi - dar. Niliondoka dar saa kumi na moja alfajiri saa saba nikafika noshi bila cheti chochote. Saa kumi na mbili nikaondoka moshi kurudi dar nikala cheti over speed 63. Kuna watu huwa wana zichukulia poa sana hiv vi baby woka vyetu. Jana nimewatoa povu jamaa wa wanne walileta dharau ford ranger nyeusi, tako la nyani jeupe na stk mbili hilux nimewapoteza toka mombo, ford na tako la nyani wamekuja kunipita msata mizani nilisimama muda mrefu hapo kuangalia koloni. Nimeingia dar saa nane na dakika 13. 1000km. SPIDI INAUA… wa ford na matako ya nyani kama mpo nawasalimu.
 
Ulikuwa na kigari gani.?
Ukute ulipiga ligi na mtu ambaye hajui kama mnashindana mkuu.

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
 
Ulikuwa na kigari gani.?
Ukute ulipiga ligi na mtu ambaye hajui kama mnashindana mkuu.

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app

Walikua wanajua kwa sababu ya mambo waliyokua wananifanyia. Walikua wakinikuta nimesimamishwa mahali na polisi wanapiga hon nyingi. Wao walinikuta natembea na 120kmp wakawa wananiwashia taa nitembee, nikapunguza wakatpita wote gari nne sasa na mm ndo nikaanza kufwata mpaka nilipo wakata hapo mombo. Vitz rs 1.5 manual.
 
Ila Vitz inategemeana na uendeshaji wa mtu, nakumbuka nimewahi kupakiwa na mzee wangu kiukoo (almost 50 years) kutokea Geita kuja mwanza, daah tulitoka kule jioni saa 12 saa 7:30 tukawa ferry busisi.

Aiseeeh ule mwendo sitakaa nisahu na huwa namsifia kila siku, maana nilikuwa naidharau sana ile gari.
 
Io gar uhakika sana napigaga Dar Moshi.


Same kule huwa nalaza 180
 
Kuendesha usiku kunahitaji uzoefu mkubwa na kuijua barabara husika kuliko watu wanavyofikiria, kutembea speed ya 120-150 kph usiku ni tofauti sana na mchana
Ni kweli tatizo siro anadhani mabasi makubwa yako salama kumbe tatizo ni uendeshaji,anapotaka mabasi makubwa yaanze safari za usiku badala ya coaster haliwezi kuwa suluhisho.Wazipe vibali hizo coaster na kuzifatilia.
 

Rs [emoji91][emoji91]
 
LC200 zinachakazwa na gari nyingi sana.. nilikuwaga naziona VXR hatari ila ... kuna siku nimeichapa kama mtoto na Muingereza .. LC300 zinahitaji kifua juzi nilifatana nayo moja ya ubalozi ile gari ni matusi
LC300 ni bad news, hilo halipingiki sababu ina horsepower za kutosha😂😂😂 na speed iko juu. Yani akikaza mguu hutoboi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…