Labda serikali ianze kuziagiza kwa wingi na kwa sasa wataagiza zaidi GR version maana ndio ngumu kama ilivyokuwa GX-R. Wakurugenzi ndio watatungua VX-R za kutosha.Bado lakini zina probability Kubwa ya kuanza kuzagaa kuliko wajerumani wengi wa 2010s and co
Mark X 2012 imeisha taari, humo sidhani kama suka kachomokaWakuu,mdogo mdogo wakuu, barabara zinaua zaidi ya UKIMWI.
RIP msoja,kuna picha hazifai kuwekwa hapa ni zinatisha mno.
View attachment 2241242View attachment 2241243
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Uzembe ni ule ule overtake za kijinga, mbele hapako clear mtu anapanda mlima anajitutumua kuzikata semiMambo ya kukimbia hovyo ili ujisifu.
Chuma za kwenda, all about the Benjamins tu sio unaambiwa sensor 1 ni laki 9 unatumbua macho! Hapo ukute zinatakiwa 3 mpya😂😂😂Kuna muhuni anamiliki madude hatari hizi mbil pichan kaendesha cku cku 1View attachment 2245198
Maeneo ninayozungukia ziko kama tano!Kuna moja ya mkurugenzi wa Railway ina plate ya RAC ndio naiona iko road ila bado hazijakuwa nyingi. Nahisi ndio mwamba alipambana nayo maana ile ni Dom-Dar kwa sana
Vipi VX.S MkuuLabda serikali ianze kuziagiza kwa wingi na kwa sasa wataagiza zaidi GR version maana ndio ngumu kama ilivyokuwa GX-R. Wakurugenzi ndio watatungua VX-R za kutosha.
Ila kwa sasa ni ma Don wachache ndio wanazo.
Tuseme inshaallah maana Masaki itakuwepo hioVipi VX.S Mkuu
Wapi huko wanalamba asali hivyoMaeneo ninayozungukia ziko kama tano!
Haha maana niliishia kuziona dubai tu kwenye desert safariTuseme inshaallah maana Masaki itakuwepo hio
Mwarabu ashazoeleka we nenda kamalizane nae tu mkuu. Cha msingi fuata Sheria na hakikisha chombo haiumwiMiguu inawasha...
Reliability tu. Kakiwa reliable kanapendeka.Hakuna kitu nakubali kama kamnyama kangu haka,hapa natoboa home kwa likizo fupi, chap kwa haraka from A townView attachment 2272877View attachment 2272878
Nipo kanda ya Ziwa nikaona Fuga nyeusi ikabidi niitafute hii comment. Ila sio ISO M.CodD maana hii pia 250GTUkiona ya 350 mtag
Ndinga inatunzwa safi kabisaHakuna kitu nakubali kama kamnyama kangu haka,hapa natoboa home kwa likizo fupi, chap kwa haraka from A townView attachment 2272877View attachment 2272878
UnyamaaNdinga inatunzwa safi kabisa
Mbona mmesimama wote? Mmepigwa tochi?3gr kifuani, mtwara to mbeyaView attachment 2273406