Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

IST average speed 100kms/hr ni uongo ambao unathibitishwa na muda wa masaa manne uliyotumia kusafiri toka Dakawa mpaka Dodoma 210kms. Hapo huwa tunatumia masaa mawili tu. Morogoro Dodoma ni 260kms na huwa tunatumia masaa mawili na nusu
 
IST average speed 100kms/hr ni uongo ambao unathibitishwa na muda wa masaa manne uliyotumia kusafiri toka Dakawa mpaka Dodoma 210kms. Hapo huwa tunatumia masaa mawili tu. Morogoro Dodoma ni 260kms na huwa tunatumia masaa mawili na nusu
Morogoro to Dodoma 260km huwa mnatumia masaa mawili na nusu wewe na nani?
 
Ha ha ha umetisha!
 
Ulinunua samaki?
 
Dah...Ila kuna vipande mwaka 2018 nilikuwa napishana na matrekta yamebeba watu...mwaka huu nimepishana na Passo....hongera zake JK/JPM na walipakodi [emoji23][emoji23]
Kuna ajali imetokea mitaa ya Saweni/Hedaru
mida ya saa moja asubuhi

Sijui wana hali gani, tatizo gari nyingi wanajazana mno plus ndizi na maparachichi
 
IST average speed 100kms/hr ni uongo ambao unathibitishwa na muda wa masaa manne uliyotumia kusafiri toka Dakawa mpaka Dodoma 210kms. Hapo huwa tunatumia masaa mawili tu. Morogoro Dodoma ni 260kms na huwa tunatumia masaa mawili na nusu
Hata sikubishii mkuu. Ila usiwe unakurupuka... nisome tena vizuri utajua hayo masaa mawili niliyapotezea wapi na safari ilikua nyakati gani?
 
Dah...Ila kuna vipande mwaka 2018 nilikuwa napishana na matrekta yamebeba watu...mwaka huu nimepishana na Passo....kuna zege la maana..hongera zake JK/JPM na walipakodi [emoji23][emoji23]
Safi sana
 
Hizo unazoona wanatembea na namba za SA hawajalipia ushuru. Wanakata kibali cha miezi mitatu. Ikiisha inabidi gari itoke border ila hapa mjini mambo mengi siwezi kuweka hapa jamvini miezi mitatu ikiisha wanafanyaje bila gari kutoka waendelee kutumia.
Hao wengi ni wajanja wa mjini ndio wanakaa mpaka mwaka na namba za bondeni.
Kuna Mzee ni mtu wa serikalini alikuwa na Land Rover Defender 110 ina namba za South Africa katumia kama miaka 3, siku kapata shida kila akitaka auze watu wanataja dau la bajaji used, Mzee alienda kuweka bond Kwa wakopeshaji nako watu wakawa wanaogopa gari mpaka akakata tamaa na kuuza gari ya mkewe.
 
Huyu ndio wale wanaotumia Formula ya Speed kwa Kilomita bila kuzingatia hali ya hewa na ubora wa barabara.
Kumbuka unazungumzia average speed ambayo hupatikana baada ya kugawanya umbali uliotembea kwa muda uliotumia
 
Unaweza kupanga kuwa niwe na average speed 100kph? How do you do it?
Unagawanya umbali uliotembea kwa muda uliotumia ndo unapata average speed. Nakumbuka nilishawahi tumia 2hrs Singida Dodoma na average speed ilikuwa around 110kms/hr. Ili upate average speed ya 110kms/hr lazima gari itembee zaidi ya 140kms/hr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…