Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Unagawanya umbali uliotembea kwa muda uliotumia ndo unapata average speed. Nakumbuka nilishawahi tumia 2hrs Singida Dodoma na average speed ilikuwa around 110kms/hr. Ili upate average speed ya 110kms/hr lazima gari itembee zaidi ya 140kms/hr
Average najua inapatikana vipi. Nataka nijue wewe unaepanga kabla kuwa uwe na average 100kph unafanyaje kujua ni mwendo gani uende ili upate hio average? Mind you barabarani kuna matuta,malori,50kph zone?
 
Dah...kihisabati...kibongobongo....kama avarage speed unataka iwe 100km/hr..basi inabidi utembee at least 120km/hr unapopata upenyo...hii ni kwa uzoefu......labda uwe na barabara yako[emoji2960]
Kwa barabara hizi zenye matuta,malori,50kph zone unatakiwa ukipata upenyo utembee 140kph na kuendelea.
Kuna kipande cha 200km niliwahi kupiga 2hrs huko katikati nilikuwa natembea mpaka 170kph ilikuwa usiku. Kupata average ya 100kph sio kazi ndogo
 
Kumbuka unazungumzia average speed ambayo hupatikana baada ya kugawanya umbali uliotembea kwa muda uliotumia
Hiyo everage speed nimeizungumzia jwa mujtadha upi?

" ila mwendo wa wastani niliokua natembea ni speed 100 kwa 120."

Sijasema mwendo wa wastani nilioutumia, na hapo ndipo tunapopishana uelewa.
 
Unagawanya umbali uliotembea kwa muda uliotumia ndo unapata average speed. Nakumbuka nilishawahi tumia 2hrs Singida Dodoma na average speed ilikuwa around 110kms/hr. Ili upate average speed ya 110kms/hr lazima gari itembee zaidi ya 140kms/hr
Na mtu akiamua kutumia av speed ya 50kph hapo Singida-dodoma kuna ubaya? Akatumia 4hrs badala ya 2hrs?
 
Mkuu SA crime rate iko juu no matter how you wanna paint it! Inabidi uwe mwenyeji ili ujue mitaa salama, btw nina rafiki zqngu washawahi kuwa robbed kwa bunduki Sandton can you imagine.
Mkuu mm nipo Jhb na nimeishi pia Cape Town kwa muda mrefu ndio maana ninasema cape maeneo yao ya mjini ni salama kuliko jhb na kumbuka kule jiji linaongozwa na kaburu jhb jiji limeshikwa na watu weusi na Cape ndio kitovu chao cha utalii kuanzia maeneo niliyoyaja crime yao ipo mtaani tena kwa kiwango cha juu kwa sababu wana ugenster wa east na west sasa mtu mpaka aende Hannover park au Manning berg anafata nn ni nje ya mji...PTA unaweza kukabwa hata nje ya ikulu achilia mbali sandton sasa mtu akakabe hapo waterfront ndio sandton yao Cape...
 
Mkuu mm nipo Jhb na nimeishi pia Cape Town kwa muda mrefu ndio maana ninasema cape maeneo yao ya mjini ni salama kuliko jhb na kumbuka kule jiji linaongozwa na kaburu jhb jiji limeshikwa na watu weusi na Cape ndio kitovu chao cha utalii kuanzia maeneo niliyoyaja crime yao ipo mtaani tena kwa kiwango cha juu kwa sababu wana ugenster wa east na west sasa mtu mpaka aende Hannover park au Manning berg anafata nn ni nje ya mji...PTA unaweza kukabwa hata nje ya ikulu achilia mbali sandton sasa mtu akakabe hapo waterfront ndio sandton yao Cape...
Nimekupata mkuu.
 
Na mtu yeyote alieishi Cape hapo Jozi anapaogopa kuliko unavyodhania hata Mtanzania kupita tuu Jozi anajifikiria mno...Jozi robbery wanafanya huku wana mabomu na siraha nzito na kumbuka yapo magari yana detect vilipuzi vyote pamoja na siraha wanayo hao HAWKS ila watu wanajilipua kutembea navyo ili wakabe...
 
Na mtu yeyote alieishi Cape hapo Jozi anapaogopa kuliko unavyodhania hata Mtanzania kupita tuu Jozi anajifikiria mno...Jozi robbery wanafanya huku wana mabomu na siraha nzito na kumbuka yapo magari yana detect vilipuzi vyote pamoja na siraha wanayo hao HAWKS ila watu wanajilipua kutembea navyo ili wakabe...
Na wengi tunatafsiri crime ya SA based on Jozi
 
Na wengi tunatafsiri crime ya SA based on Jozi
Mnakosea maana cape ndio wanaongoza kwa crime SA ila ni kwenye makazi yao kama Langa,Phillip,Hanover Park Phillip na Langa ndio wanaongoza kila mwaka kwa kiwango cha crime rate kuwa juu...sema huko ni nje ya mji kwa wageni hakuna madhara sana tofauti na jozi crime ipo mjini au maeneo ya shughuli zako..wakati Jozi kupita tembisa, mamelodi au Soweto unaweza kama hauko kwenye target yao ila Cape hivyo vitongoji uwe kwenye target au mpya hukatizi huko wanakwita crossroad labda uwe na gari inayokimbia mno kuwazidi wao...
 
Mnakosea maana cape ndio wanaongoza kwa crime SA ila ni kwenye makazi yao kama Langa,Phillip,Hanover Park Phillip na Langa ndio wanaongoza kila mwaka kwa kiwango cha crime rate kuwa juu...sema huko ni nje ya mji kwa wageni hakuna madhara sana tofauti na jozi crime ipo mjini au maeneo ya shughuli zako..wakati Jozi kupita tembisa, mamelodi au Soweto unaweza kama hauko kwenye target yao ila Cape hivyo vitongoji uwe kwenye target au mpya hukatizi huko wanakwita crossroad labda uwe na gari inayokimbia mno kuwazidi wao...
Kuna kipindi tuliplan tupige road trip Dar-Jozi ila xenophobia na car crime ilitufanya tuahirishe.
 
Kuna kipindi tuliplan tupige road trip Dar-Jozi ila xenophobia na car crime ilitufanya tuahirishe.
Na pia hawaibi gari za Japan watafanyia nini na sasa hivi hawatoi permit kienyeji kama zaman hapo boarder mtakayoingilia wazimbabwe na wazambia wanatumia gari zao mara nyingi kuingia SA na pia inaondoa gharama za kukodi taxi ambayo ipo juu kuwa na gari yako mna enjoy Ila muwe na mwenyeji ili mzunguke maeneo mengi mimi nimetoka mara nyingi tena huwa sirudi na gari zao naamua kurudi hata na primio ili wasiitolee macho Kama Kuna mtu anahitaji roli kadhas tunatumia hiyo na madereva kuingia SA...
 
Unagawanya umbali uliotembea kwa muda uliotumia ndo unapata average speed. Nakumbuka nilishawahi tumia 2hrs Singida Dodoma na average speed ilikuwa around 110kms/hr. Ili upate average speed ya 110kms/hr lazima gari itembee zaidi ya 140kms/hr
Mkuu mimi nilitoka dodoma saa tisa na nusu alfajiri nikafika bunju saa mbili na nusu asubuhi tena nimepitia mbezi nikatokea masana hapo nilitembea kwa average ya speed ngapi?
 
Mkuu mimi nilitoka dodoma saa tisa na nusu alfajiri nikafika bunju saa mbili na nusu asubuhi tena nimepitia mbezi nikatokea masana hapo nilitembea kwa average ya speed ngapi?
Hapo inaonekana ulitumia masaa matano kwa kilomita 460,average speed ni 92kms/hr. Ili upate wastani wa mwendo huo inakupasa utembee zaidi ya 120kms/hr
 
Average najua inapatikana vipi. Nataka nijue wewe unaepanga kabla kuwa uwe na average 100kph unafanyaje kujua ni mwendo gani uende ili upate hio average? Mind you barabarani kuna matuta,malori,50kph zone?
Si rahisi kuwa exact na muda utakaotumia lakini unaweza tu kuestimate based on past experience that Morogoro Iringa 300kms ntatumia masaa matatu na nusu,inaweza kuongezeka qu kupungua kidogo.
 
Poliso wa Arusha wamezidi unoko.....kwa experience, kwa mfano kama unatoka Arusha kwenda Moshi....ukifika Kuanzia KIA askari wa huko mbele wapo humble kidogo.....Hawa wa Arusha unaweza ukasema wametumwa kufanya operesheni maalumu....
Sijui wanajua kila mtu anasafirisha bangi za kisimiri..?[emoji848][emoji848][emoji848]
Kweli kbs me nimetembea hii nchi bd kdg niimalize cjaona mkoa wenye trafick wanoko km Arusha afu wako kibao kila kona unawakuta sita mpk nane[emoji848]
 
Hodi Dom...
IMG_20210103_031252.jpg
 
Back
Top Bottom