Karibu sana 🙂 🙂Wacha hizo[emoji1787]
Hadi umenileta kwenye huu Uzi.
Unanikaribishaje kienyeji hivi sasa...Karibu sana 🙂 🙂
Hebu angalia namna....Boss jamani 🙂 🙂
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ahasante RR....Kwa niaba ya wanachama wote wa JF Road trip group naomba nichukue nafasi hii kukukaribisha rasmi chamani, humu ni road trips tu haijalishi umetumia Vits au VX-R kama Hadde muhimu ni updates zako za road trip tu. Karibu sana.
Imepita hiyo, lipo kwenye mchakato jambo hili 🙂 🙂 🙂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na seat Cover unibadilishie...Nimechoka aibu[emoji1].
Check na Maboss hao...Ijumaa/Jumamosi jioni mnipeleke 25...
Waiting!!!!!!Imepita hiyo, lipo kwenye mchakato jambo hili 🙂 🙂 🙂
Mimi na VX-R wapi na wapi [emoji1][emoji1]Kwa niaba ya wanachama wote wa JF Road trip group naomba nichukue nafasi hii kukukaribisha rasmi chamani, humu ni road trips tu haijalishi umetumia Vits au VX-R kama Hadde muhimu ni updates zako za road trip tu. Karibu sana.
Inaonekana unalipenda sana hilo chimbo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na seat Cover unibadilishie...Nimechoka aibu[emoji1].
Check na Maboss hao...Ijumaa/Jumamosi jioni mnipeleke 25...
Kwa kishua[emoji28]Inaonekana unalipenda sana hilo chimbo
Hebu tutafute siku twende asee
Walau kuosha Macho tu [emoji16][emoji16]
Tutakupitia...jiandae[emoji1]Msiniache....