Gari mbovu kabisa hio-Alisikika Mtoyota mmoja akisemaKipindi wengine wanasubiri number E, walio na mawe yao hawajali hata
Extrovert kitu GLS 600 Maybach ๐View attachment 2300302
๐๐๐๐ Wanapata sana taabu wakiona vyuma kama hivi vimevimba ...Gari mbovu kabisa hio-Alisikika Mtoyota mmoja akisema
Mashine ya kwenda, hii sindio ile inayonyemka nyemka ๐๐๐Kipindi wengine wanasubiri number E, walio na mawe yao hawajali hata
Extrovert kitu GLS 600 Maybach ๐View attachment 2300302
Hii ilibidi aipe usajili wa jina lake asee.Kipindi wengine wanasubiri number E, walio na mawe yao hawajali hata
Extrovert kitu GLS 600 Maybach [emoji16]View attachment 2300302
Wazee wa 2GR ๐๐๐ wanaaminia sana hiyo machine yao.. kama mtetezi wao..Eti mtu anatoa half a billion kununua chuma kama hicho halafu mtaalam wa JF anakwambia hio takataka kabisa!
Matajiri wengine hawapendi showoffHii ilibidi aipe usajili wa jina lake asee.
Unyama sanaaa hii kitu.. hizo LC300 zinachakwazwa zinaishia kuona vumbi tu๐๐๐Mashine ya kwenda, hii sindio ile inayonyemka nyemka ๐๐๐
Lakini iyo Benz Lazima ipate tabu kidogo[emoji75] au naongopa.Unyama sanaaa hii kitu.. hizo LC300 zinachakwazwa zinaishia kuona vumbi tu[emoji16][emoji16][emoji16]
Kwa hizi spec ipate taabu gani.. LC300 inachakazwa ndani second 4.9 za kwanza tu.. kama kumla mkeo usivyopata tabu ndivyo GLS600 isivyopata tabu kumuachia vumbi LC300.. ๐๐Lakini iyo Benz Lazima ipate tabu kidogo[emoji75] au naongopa.
Duu kweli hanusi hata kunusa nimeamini gari ina umbo dogodogo ila ndani ni balaa hapo kwenye fuel sasa[emoji1019][emoji1019][emoji1019]Kwa hizi spec ipate taabu gani.. LC300 inachakazwa ndani second 4.9 za kwanza tu.. kama kumla mkeo usivyopata tabu ndivyo GLS600 isivyopata tabu kumuachia vumbi LC300.. [emoji16][emoji16]View attachment 2300645
Anae nunu hiyo gari, alishatoka kwenye habari ya malalamiko ya mafuta ๐๐๐Duu kweli hanusi hata kunusa nimeamini gari ina umbo dogodogo ila ndani ni balaa hapo kwenye fuel sasa[emoji1019][emoji1019][emoji1019]
Kwaiyo mkuu tuweke msumari upi wa kijapani utaweza kufiti kwa specs za ndani sisemei price najua price kwa msumari wowote wa kijapani haufikii nasemea mbio tuweke na ipi?Kwa hizi spec ipate taabu gani.. LC300 inachakazwa ndani second 4.9 za kwanza tu.. kama kumla mkeo usivyopata tabu ndivyo GLS600 isivyopata tabu kumuachia vumbi LC300.. [emoji16][emoji16]View attachment 2300645
Acha niite wajapan kutoka Tanzania Extrovert na dugu yake wa kupuliza .. watakuambia SUV gani kutoka kwao ambayo ni powerful na inaweza mchakaza GLS600 ๐Kwaiyo mkuu tuweke msumari upi wa kijapani utaweza kufiti kwa specs za ndani sisemei price najua price kwa msumari wowote wa kijapani haufikii nasemea mbio tuweke na ipi?
[emoji81] nataka nioneAcha niite wajapan kutoka Tanzania Extrovert na dugu yake wa kupuliza .. watakuambia SUV gani kutoka kwao ambayo ni powerful na inaweza mchakaza GLS600 [emoji16]
Itajaribu jaribu kufatia ๐๐๐ ila itachakazwa mapema kama ikakutana na dereva katiliNimecheki kidogo iyo Gl haiwezi kusumbuana na hiii?? Nations View attachment 2300983View attachment 2300984
[emoji81][emoji81][emoji81]Itajaribu jaribu kufatia [emoji3][emoji3][emoji3] ila itachakazwa mapema kama ikakutana na dereva katili