Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiyo sio SUV mkuu... ila kama vipi naitupia mwiba mwingine huuuAu Nissan gtr
Huyo anaveshwa Lexus LX6OO inamtosha kabisa na akileta kiburi basi atatiwa LC5OO ili iweze kumtia adabu vizuri zaidi.Acha niite wajapan kutoka Tanzania Extrovert na dugu yake wa kupuliza .. watakuambia SUV gani kutoka kwao ambayo ni powerful na inaweza mchakaza GLS600 😁
LX atanyanyua kichwa .. ila hana ubavu wa kutumisha misuli hapo 😀😀😀😀.. atalamba mchanga vizuri hasa akutane na dereva roho mbaya... kama tukiwapa gls 63 Amg mtalia sana kwamba sio fairHuyo anaveshwa Lexus LX6OO inamtosha kabisa na akileta kiburi basi atatiwa LC5OO ili iweze kumtia adabu vizuri zaidi.
Toyota hawana suv yakushindana na hii aisee hii ni ndegeLX atanyanyua kichwa .. ila hana ubavu wa kutumisha misuli hapo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].. atalamba mchanga vizuri hasa akutane na dereva roho mbaya... kama tukiwapa gls 63 Amg mtalia sana kwamba sio fair
😀😀😀😀😀 labda team toyota wataunganisha nguvi wajaribu jaribuToyota hawana suv yakushindana na hii aisee hii ni ndege
Labda waungane Toyota/nissan[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] labda team toyota wataunganisha nguvi wajaribu jaribu
Hizo performance cars sio za kupambanisha na Toyota ziko way beyond bars. Ila ukiweka parling kwa LX6OO na GLS6OO inakalishwa on fair groundsLX atanyanyua kichwa .. ila hana ubavu wa kutumisha misuli hapo 😀😀😀😀.. atalamba mchanga vizuri hasa akutane na dereva roho mbaya... kama tukiwapa gls 63 Amg mtalia sana kwamba sio fair
Hizo performance cars sio za kupambanisha na Toyota ziko way beyond bars. Ila ukiweka parling kwa LX6OO na GLS6OO inakalishwa on fair grounds
Amini kwamba mzee😀 in real time experiences lazma akaeLX600 amkalishe GLS600 kwa kipi ?
Hamna pa kutokea 😀😀😀 GLS600 mnalamba tu miguuu hasa mkutane na dereva roho mbaya..Amini kwamba mzee😀
Mzee mie huwezi nisumbua kwa uzito wa hio GLS nakwambia inasumbuliwa vizuri sana na LX6OOHamna pa kutokea 😀😀😀 GLS600 mnalamba tu miguuu hasa mkutane na dereva roho mbaya..
😀😀😀 wazee wa kutafuta machaka ya kujifichia mnapokula stick za wajerumani.. zito ila mchonoko wake ni hatari kuliko LX600 unaweza fanya review huko ndio utaelewaMzee mie huwezi nisumbua kwa uzito wa hio GLS nakwambia inasumbuliwa vizuri sana na LX6OO
Nimepita kuwasalimia[emoji1787]Makiwendo naona uwepo wako [emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 2301280
Nimetamani kitu... ila siyo hicho[emoji28]Makiwendo naona uwepo wako [emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 2301280
acha basi 😀😀😀 mteja mwenzanguNimetamani kitu... ila siyo hicho[emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]acha basi [emoji3][emoji3][emoji3] mteja mwenzangu