Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Kuna watu wenye pesa na Kuna watu wenye mshaharaImeisha hiyo...
Karibuni mjipatie magari mazuri.View attachment 1669949
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu wenye pesa na Kuna watu wenye mshaharaImeisha hiyo...
Karibuni mjipatie magari mazuri.View attachment 1669949
| Reference Number: | 20213098418 |
| Make: | TOYOTA |
| Model: | IST - NCP 60/61/65 |
| Body Type: | HATCHBACK |
| Year of Manufacture: | 2003 |
| Country: | JAPAN |
| Fuel Type: | PETROL |
| Engine Capacity: | 1001 - 1500 CC |
| Customs Value CIF (USD): | 2,360.33 |
| Import Duty (USD): | 590.08 |
| Excise Duty (USD): | 147.52 |
| Excise Duty due to Age (USD): | 885.13 |
| VAT (USD): | 760.95 |
| Custom Processing Fee (USD): | 14.16 |
| Railway Dev Levy (USD): | 35.41 |
| Total Import Taxes (USD): | 2,433.25 |
| Total Import Taxes (TSHS): | 5,618,685.08 |
| Vehicle Registration Fee (TSHS): | 450,000.00 |
| TOTAL TAXES (TSHS): | 6,068,685.08 |
Hatimae na madalali watazipandisha hizi IST za mikononi kwa watu.Kabla hujaagiza gari,stay informed CIF zimepanda
Reference Number: 20213098418 Make: TOYOTA Model: IST - NCP 60/61/65 Body Type: HATCHBACK Year of Manufacture: 2003 Country: JAPAN Fuel Type: PETROL Engine Capacity: 1001 - 1500 CC Customs Value CIF (USD): 2,360.33 Import Duty (USD): 590.08 Excise Duty (USD): 147.52 Excise Duty due to Age (USD): 885.13 VAT (USD): 760.95 Custom Processing Fee (USD): 14.16 Railway Dev Levy (USD): 35.41 Total Import Taxes (USD): 2,433.25 Total Import Taxes (TSHS): 5,618,685.08 Vehicle Registration Fee (TSHS): 450,000.00 TOTAL TAXES (TSHS): 6,068,685.08
Upo sahihi sana kaka.Hatimae na madalali watazipandisha hizi IST za mikononi kwa watu.
Tayari wameshazipandishaHatimae na madalali watazipandisha hizi IST za mikononi kwa watu.
Mbona wamekanushaTayari wameshazipandisha
Hakuna kipindi kibaya kuagiza gari kama December. Ukiagiza December utapata makadirio fulani ila ikiingia tu January jamaa wanabadilisha calculator yao gari yako ikifika cha moto utakiona!Naona baada ya Short break ya December mmetuletea breaking news "Alisema awali kodi ya IST ilikuwa ni Sh4.3 milioni sasa imeongezeka hadi Sh6.4 milioni."Source Gazeti la Mwananchi
"Kwa watu waliopanga kununua gari kipindi hiki watapaswa kujikung’uta zaidi mfukoni kutokana na kuongezeka kwa bei hadi Sh3 milioni kwa baadhi ya magari ikilinganishwa na wiki iliyopita"
Kiufupu ni kwamba CIF za baadhi ya magari kwenye calculator ya TRA zimepanda....
Angalia Dualis uone balaa1Kabla hujaagiza gari,stay informed CIF zimepanda
Reference Number: 20213098418 Make: TOYOTA Model: IST - NCP 60/61/65 Body Type: HATCHBACK Year of Manufacture: 2003 Country: JAPAN Fuel Type: PETROL Engine Capacity: 1001 - 1500 CC Customs Value CIF (USD): 2,360.33 Import Duty (USD): 590.08 Excise Duty (USD): 147.52 Excise Duty due to Age (USD): 885.13 VAT (USD): 760.95 Custom Processing Fee (USD): 14.16 Railway Dev Levy (USD): 35.41 Total Import Taxes (USD): 2,433.25 Total Import Taxes (TSHS): 5,618,685.08 Vehicle Registration Fee (TSHS): 450,000.00 TOTAL TAXES (TSHS): 6,068,685.08
Sasa hii gari yetu wanyoge itakuaje?!!Naona baada ya Short break ya December mmetuletea breaking news "Alisema awali kodi ya IST ilikuwa ni Sh4.3 milioni sasa imeongezeka hadi Sh6.4 milioni."Source Gazeti la Mwananchi
"Kwa watu waliopanga kununua gari kipindi hiki watapaswa kujikung’uta zaidi mfukoni kutokana na kuongezeka kwa bei hadi Sh3 milioni kwa baadhi ya magari ikilinganishwa na wiki iliyopita"
Kiufupu ni kwamba CIF za baadhi ya magari kwenye calculator ya TRA zimepanda....
Upo sahihi sana kaka,yani hii tofauti ya gharama ya hadi 3M inaweza kuwapelekea watu magari yao yakauzwa kwa mnada kwa kushtukizwa na mamlaka.Hakuna kipindi kibaya kuagiza gari kama December. Ukiagiza December utapata makadirio fulani ila ikiingia tu January jamaa wanabadilisha calculator yao gari yako ikifika cha moto utakiona!
3m nyingi sana, watafanya gari za mkononi zipande bei. Ila nawahurumia walioagiza magari kwa kutegemea hesabu za DecemberUpo sahihi sana kaka,yani hii tofauti ya gharama ya hadi 3M inaweza kuwapelekea watu magari yao yakauzwa kwa mnada kwa kushtukizwa na mamlaka.
Uchumi naona umepanda,namba zinatembea sasa hivi.Imeisha hiyo...
Karibuni mjipatie magari mazuri.View attachment 1669949
Mnyama kama mnyama! Hii na Y62 V8 nikizikuta barabarani hata kupita napita kwa adabu sitaki ligi...Dar to Tanga boda ya horohoro to Mombasa
Road kulikua na moment nyingi
Ngoma imerudi Dar salama kabisa njiani challenge. Ilikua yakawaida san team cruiser tulikua wengi
Hongera kwa BMW mlitupa Challenge yakutosha
View attachment 1671987
Carwosh need
Noma sana ndinga za kibabeDar to Tanga boda ya horohoro to Mombasa
Road kulikua na moment nyingi
Ngoma imerudi Dar salama kabisa njiani challenge. Ilikua yakawaida san team cruiser tulikua wengi
Hongera kwa BMW mlitupa Challenge yakutosha
View attachment 1671987
Carwosh need
11M+ what a joke? Tujiandae kupanda punda for real! TRA wakishaona gari zinaagizwa kwa wingi ndipo changamoto inapoanzia.My worst fear ni pale watakapoanza kudeal na biashara ya spare parts kwa kuitoza kodi kubwa.Angalia Dualis uone balaa1