Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Naona baada ya Short break ya December mmetuletea breaking news "Alisema awali kodi ya IST ilikuwa ni Sh4.3 milioni sasa imeongezeka hadi Sh6.4 milioni."Source Gazeti la Mwananchi
"Kwa watu waliopanga kununua gari kipindi hiki watapaswa kujikung’uta zaidi mfukoni kutokana na kuongezeka kwa bei hadi Sh3 milioni kwa baadhi ya magari ikilinganishwa na wiki iliyopita"
Kiufupu ni kwamba CIF za baadhi ya magari kwenye calculator ya TRA zimepanda....
 
Kabla hujaagiza gari,stay informed CIF zimepanda
Reference Number:20213098418
Make:TOYOTA
Model:IST - NCP 60/61/65
Body Type:HATCHBACK
Year of Manufacture:2003
Country:JAPAN
Fuel Type:PETROL
Engine Capacity:1001 - 1500 CC
Customs Value CIF (USD):2,360.33
Import Duty (USD):590.08
Excise Duty (USD):147.52
Excise Duty due to Age (USD):885.13
VAT (USD):760.95
Custom Processing Fee (USD):14.16
Railway Dev Levy (USD):35.41
Total Import Taxes (USD):2,433.25
Total Import Taxes (TSHS):5,618,685.08
Vehicle Registration Fee (TSHS):450,000.00
TOTAL TAXES (TSHS):6,068,685.08
 
Kabla hujaagiza gari,stay informed CIF zimepanda
Reference Number:20213098418
Make:TOYOTA
Model:IST - NCP 60/61/65
Body Type:HATCHBACK
Year of Manufacture:2003
Country:JAPAN
Fuel Type:PETROL
Engine Capacity:1001 - 1500 CC
Customs Value CIF (USD):2,360.33
Import Duty (USD):590.08
Excise Duty (USD):147.52
Excise Duty due to Age (USD):885.13
VAT (USD):760.95
Custom Processing Fee (USD):14.16
Railway Dev Levy (USD):35.41
Total Import Taxes (USD):2,433.25
Total Import Taxes (TSHS):5,618,685.08
Vehicle Registration Fee (TSHS):450,000.00
TOTAL TAXES (TSHS):6,068,685.08
Hatimae na madalali watazipandisha hizi IST za mikononi kwa watu.
 
Naona baada ya Short break ya December mmetuletea breaking news "Alisema awali kodi ya IST ilikuwa ni Sh4.3 milioni sasa imeongezeka hadi Sh6.4 milioni."Source Gazeti la Mwananchi
"Kwa watu waliopanga kununua gari kipindi hiki watapaswa kujikung’uta zaidi mfukoni kutokana na kuongezeka kwa bei hadi Sh3 milioni kwa baadhi ya magari ikilinganishwa na wiki iliyopita"
Kiufupu ni kwamba CIF za baadhi ya magari kwenye calculator ya TRA zimepanda....
Hakuna kipindi kibaya kuagiza gari kama December. Ukiagiza December utapata makadirio fulani ila ikiingia tu January jamaa wanabadilisha calculator yao gari yako ikifika cha moto utakiona!
 
Kabla hujaagiza gari,stay informed CIF zimepanda
Reference Number:20213098418
Make:TOYOTA
Model:IST - NCP 60/61/65
Body Type:HATCHBACK
Year of Manufacture:2003
Country:JAPAN
Fuel Type:PETROL
Engine Capacity:1001 - 1500 CC
Customs Value CIF (USD):2,360.33
Import Duty (USD):590.08
Excise Duty (USD):147.52
Excise Duty due to Age (USD):885.13
VAT (USD):760.95
Custom Processing Fee (USD):14.16
Railway Dev Levy (USD):35.41
Total Import Taxes (USD):2,433.25
Total Import Taxes (TSHS):5,618,685.08
Vehicle Registration Fee (TSHS):450,000.00
TOTAL TAXES (TSHS):6,068,685.08
Angalia Dualis uone balaa1
 
Naona baada ya Short break ya December mmetuletea breaking news "Alisema awali kodi ya IST ilikuwa ni Sh4.3 milioni sasa imeongezeka hadi Sh6.4 milioni."Source Gazeti la Mwananchi
"Kwa watu waliopanga kununua gari kipindi hiki watapaswa kujikung’uta zaidi mfukoni kutokana na kuongezeka kwa bei hadi Sh3 milioni kwa baadhi ya magari ikilinganishwa na wiki iliyopita"
Kiufupu ni kwamba CIF za baadhi ya magari kwenye calculator ya TRA zimepanda....
Sasa hii gari yetu wanyoge itakuaje?!!
 
Hakuna kipindi kibaya kuagiza gari kama December. Ukiagiza December utapata makadirio fulani ila ikiingia tu January jamaa wanabadilisha calculator yao gari yako ikifika cha moto utakiona!
Upo sahihi sana kaka,yani hii tofauti ya gharama ya hadi 3M inaweza kuwapelekea watu magari yao yakauzwa kwa mnada kwa kushtukizwa na mamlaka.
 
Upo sahihi sana kaka,yani hii tofauti ya gharama ya hadi 3M inaweza kuwapelekea watu magari yao yakauzwa kwa mnada kwa kushtukizwa na mamlaka.
3m nyingi sana, watafanya gari za mkononi zipande bei. Ila nawahurumia walioagiza magari kwa kutegemea hesabu za December
 
Dar to Tanga boda ya horohoro to Mombasa

Road kulikua na moment nyingi


Ngoma imerudi Dar salama kabisa njiani challenge. Ilikua yakawaida san team cruiser tulikua wengi



Hongera kwa BMW mlitupa Challenge yakutosha

northerns_cruiser-___CBVft5JgGIU___-.jpg

Carwosh need
 
Dar to Tanga boda ya horohoro to Mombasa

Road kulikua na moment nyingi


Ngoma imerudi Dar salama kabisa njiani challenge. Ilikua yakawaida san team cruiser tulikua wengi



Hongera kwa BMW mlitupa Challenge yakutosha

View attachment 1671987
Carwosh need
Mnyama kama mnyama! Hii na Y62 V8 nikizikuta barabarani hata kupita napita kwa adabu sitaki ligi...
 
Back
Top Bottom