Ndio maana nilitaka nijue unatumia gari gani 540km Dar-Moshi utumie masaa matano. Maanake kuna Dar-Msata hapa pana usumbufu, utoke Msata hadi uimalize Wami hapajatulia. Wami hadi Segera kuna vimiji kibao. Sehemu ambayo utatembea kwa raha ni Mombo-Same na mbele kidogo. Kwa gari za kawaida hizi sijui Wish,Kluger siamini kama kuna mtu anaweza kutumia masaa 5 tu.Njia ya Dar mpk Arusha nimepita mara 3 tu, na kiukwel nilikuwa natembea mwendo wa kitalii maana nilikuwa na wageni nimetoka kuwapokea.
Ila njia ya kuanzia Shelui(Singida) mpaka Dodoma almost (338 KM) huwa natumia masaa 3 tu wakat wa usiku.
Unataka umuue dingi kwa presha.[emoji23][emoji28]Hujaziosha Vizuri Kamanda.
Ngoja niku invite siku moja.
Tukitumia zaidi ya Masaa 5 nakupa Laki.
Mguu mguu chief.[emoji2][emoji3][emoji3][emoji3] kuna siku nilikuwa natoka Dom naenda Singida, nimetoka zangu babalanga pale saa moja nampigi boss simu asubuhi natoka hapa dodoma nakuja hapo kumalizi kazi, hakuamini saa mbili na nusu nipo Singida nilitumia saa moja na nusu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hakuna mahala nilisimama hadi natia nanga
Ulikuwa na gari gani Baba?maanake 243kms Kwa 1.5hr[emoji3][emoji3][emoji3] kuna siku nilikuwa natoka Dom naenda Singida, nimetoka zangu babalanga pale saa moja nampigi boss simu asubuhi natoka hapa dodoma nakuja hapo kumalizi kazi, hakuamini saa mbili na nusu nipo Singida nilitumia saa moja na nusu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hakuna mahala nilisimama hadi natia nanga
Semi akishaona gari dogo anakuletea mazima, Semi anaogopa magari makubwa maana hatambana afe. Vidogo ana uhakika wa kuvipandaMnapeana salamu za pongezi na semi [emoji23][emoji23][emoji23]
Bima wanalia, maana wanahesabiwa hizo gharamaHuwa wanawapiga fine? Maeneo mengi naona barabara zimeyuyuka kwasababu ya magari yanayoungua.
Watu wanatembea na noah dume masaa 5 😂Ndio maana nilitaka nijue unatumia gari gani 540km Dar-Moshi utumie masaa matano. Maanake kuna Dar-Msata hapa pana usumbufu, utoke Msata hadi uimalize Wami hapajatulia. Wami hadi Segera kuna vimiji kibao. Sehemu ambayo utatembea kwa raha ni Mombo-Same na mbele kidogo. Kwa gari za kawaida hizi sijui Wish,Kluger siamini kama kuna mtu anaweza kutumia masaa 5 tu.
😂😂😂😂😂😂😂😂Kamba tu hizo hamna kitu.
Nishapiga Himo - Tegeta saa 12.30 jioni mpaka saa 5.15 usiku - Forester XTKwa gari hio,usiku may be. Maybe.
Kutoka Tegeta njia panda ya wazo hadi Msata ni 1hour. Msata mpaka Segera 1hour.20minutes Segera to Tanga 1hour. Mara kwa mara natumia muda huo kutoka Hapo njia panda ya wazo kwenda Tanga. Muda wa usiku lakiniNdio maana nilitaka nijue unatumia gari gani 540km Dar-Moshi utumie masaa matano. Maanake kuna Dar-Msata hapa pana usumbufu, utoke Msata hadi uimalize Wami hapajatulia. Wami hadi Segera kuna vimiji kibao. Sehemu ambayo utatembea kwa raha ni Mombo-Same na mbele kidogo. Kwa gari za kawaida hizi sijui Wish,Kluger siamini kama kuna mtu anaweza kutumia masaa 5 tu.
Unaweza ukawa Tomasso lakini hivi vitu vipo, 500km kwa around 5hrs unakwenda vizuri kabisa. Tulikuwa tumeongozana na Hilux D4D, inatembea balaa. XT sio mashine ya kuchezea, siku nyingine tumetoka Tukuyu saa 9:30 asubuhi, saa 1.00 tulikuwa Iringa tunapata breakfast.Masaa 4 dakika 45. Chai. Himo mpaka Korogwe ulitumia muda gani? Korogwe Hadi Msata ulitumia Muda gani? Msata-Tegets ulitumia muda gani?
Kama umeongozana na D4D hakuna mwendo hapo.Unaweza ukawa Tomasso lakini hivi vitu vipo, 500km kwa around 5hrs unakwenda vizuri kabisa. Tulikuwa tumeongozana na Hilux D4D, inatembea balaa. XT sio mashine ya kuchezea, siku nyingine tumetoka Tukuyu saa 9:30 asubuhi, saa 1.00 tulikuwa Iringa tunapata breakfast.
Kuna siku nimepanda IT, tumetoka Misugusugu saa 5.30 usiku, by 12.30 tulikuwa Nanenane Mbeya. Watu wanatembea mkuu.
Nasubiri mwingine anaetumia masaa 2 hadi Tanga.Kutoka Tegeta njia panda ya wazo hadi Msata ni 1hour. Msata mpaka Segera 1hour.20minutes Segera to Tanga 1hour. Mara kwa mara natumia muda huo kutoka Hapo njia panda ya wazo kwenda Tanga. Muda wa usiku lakini
Jaribu siku moja ndio utakuja kusemaKama umeongozana na D4D hakuna mwendo hapo.
Fact mkuu, nilishapanda moja zile za gazeti nilifika mguu unauma kwa kufunga brake! [emoji23][emoji23]Kamba tu hizo hamna kitu.
Gari ya muingereza mkuu, kisahani chasoma 260Ulikuwa na gari gani Baba?maanake 243kms Kwa 1.5hr
Kwa masaa mawili itakuwa uongo labda barabara iwe imenyooka kama rula au upo kwenye msafara wa raisi barabara imesafishwa. Mtu akijitahidi sana ni 3hrs. 30mins from DAR ES SALAAM to TANGA nayo iwe ni usiku kuanzia saa 2.Nasubiri mwingine anaetumia masaa 2 hadi Tanga.