MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Zile ngoma zinatembea mkuu... kuna jamaa namjua alitoka Mwanza saa 6 mchana, akafika Dodoma saa 12 jioni, walikuwa wanawahi site kabla ya jua kuzama! Zile mashine ni noma sana.... ingawa hazifiki kwa Amarok 🤣 🤣 🤣 🤣Hilux watu wanaichukulia poa, ikiwa na 1KD inatembea tena ikiwa turbo charged huwa haisinzii milimani inapanda na kushuka kama tambarare.
Gari ya 17OHP sio ya kinyonge highway hasa mtu akiikalia vizuri. Kuipata 18Okph ni muda mchache tu.
Sawa ilinganisheni na hao wenzie.Humo kwa GR series one on one drag race 1KD haiwezi imezidiwa nguvu ila kwa michezo ya tailing na kukimbizana highway still ina power. Sio ya kuibeza. Engine za kichovu ni 3RZ na 2TR.
Subaru XT yenyewe ya 15OHP ikimkuta hilux yuko above 150 mshaleni itafanya kazi ya ziada kuikimbiza.
Okay... ukweli ni kwamba inawezakana isiweze kwenda na Mark X, lakini unawahi vizuri tu.Okay kumbe ulifikiri nakwambia haifiki 170 au 180kph? Sina maana hio.
Hivi XT si ndio yenye turbo? Sasa 150hp inakuwaje?Humo kwa GR series one on one drag race 1KD haiwezi imezidiwa nguvu ila kwa michezo ya tailing na kukimbizana highway still ina power. Sio ya kuibeza. Engine za kichovu ni 3RZ na 2TR.
Subaru XT yenyewe ya 15OHP ikimkuta hilux yuko above 150 mshaleni itafanya kazi ya ziada kuikimbiza.
Kaka kama unanunua hilux latest 2020-Present utaikuta ina 2.8L 1GD-FTV which makes 201HP. Hii engine ni successor wa 3.0L 1KD-FTV.Sawa ilinganisheni na hao wenzie.
Zingine zina ileile 15OHP tu mbona, Yenye turbo huwa ina kipua cha intercooler.Hivi XT si ndio yenye turbo? Sasa 150hp inakuwaje?
Kuchapwa na 4GR ni lazima, kuna tofauti ya 4OHP btn them which is significant enough.Okay kumbe ulifikiri nakwambia haifiki 170 au 180kph? Sina maana hio.
Yeah gari inayofikisha top speed 180 bila shida inakimbia mkuu, ishu ya kukatwa na gari zingine highway ipo tu. Kuzidiana kupo.Okay... ukweli ni kwamba inawezakana isiweze kwenda na Mark X, lakini unawahi vizuri tu.
Amarok inategemea sababu za 2.0L diesel ni 179HP ila ile 3.0L V6 ya petrol ndio inafika 250HP. It means Diesel ikiwekwa na Hilux 1GD-FTV inakula moto vizuri tu. Petrol ndio atamnyanyasa Hilux.Zile ngoma zinatembea mkuu... kuna jamaa namjua alitoka Mwanza saa 6 mchana, akafika Dodoma saa 12 jioni, walikuwa wanawahi site kabla ya jua kuzama! Zile mashine ni noma sana.... ingawa hazifiki kwa Amarok 🤣 🤣 🤣 🤣
Hata hivi vibao vya 50 inabidi watafute namna kwenye hizi highway, ni mambo ya kizamani sana. Sahivi mikoa mingi inaungana, unakuta makazi ya watu kutokana mkoa mmoja hadi mwingine.. Sasa sijui tutakua tunatembea 50 mkoa kwa mkoa.Sasa mituta ya nini highway yani bongo wakandarasi wana ukichaa mno. Njia inajazwa matuta na zebra crossing badala ya kuweka vivuko na madaraja ya kuvushia raia side A to B
Solution pale ilitakiwa ile kipande iwe barabara ya juu tu. Hizi solution nyingine ni kusumbuana tuUtawanyima uhuru wanyama wetu, pia kule porini ni kwao sisi tumewaingilia na vyombo vyetu. Ila fine ya kugonga mnyama wapunguze kwa kweli.
Amarok top speed yake iko juu sana.... Amarok inaweza kunyanyasa gari nyingi za Japan. Tena kama ni V6, wacha kabisaAmarok inategemea sababu za 2.0L diesel ni 179HP ila ile 3.0L V6 ya petrol ndio inafika 250HP. It means Diesel ikiwekwa na Hilux 1GD-FTV inakula moto vizuri tu. Petrol ndio atamnyanyasa Hilux.
Point of correction kidogo...Humo kwa GR series one on one drag race 1KD haiwezi imezidiwa nguvu ila kwa michezo ya tailing na kukimbizana highway still ina power. Sio ya kuibeza. Engine za kichovu ni 3RZ na 2TR.
Subaru XT yenyewe ya 15OHP ikimkuta hilux yuko above 150 mshaleni itafanya kazi ya ziada kuikimbiza.
Inabidi kuwe na by-pass na wahakikishe wanakijiji hawafuati barabara na kujenga pembezoni.Hata hivi vibao vya 50 inabidi watafute namna kwenye hizi highway, ni mambo ya kizamani sana. Sahivi mikoa mingi inaungana, unakuta makazi ya watu kutokana mkoa mmoja hadi mwingine.. Sasa sijui tutakua tunatembea 50 mkoa kwa mkoa.
Hizo ni 2.OL au?Point of correction kidogo...
Subaru XT ya SG5 version ni 220hp
Subaru XT ya SH5 version ni 230hp
Muda uliotoka... Umetoka jioni wakati bado una hofu ya maafande.Nimetoka Moshi 1630 sasa hivi 2100 nipo Msata, wale wanasema Dar Moshi masaa matano huwa mnaendeshaje? Maana nimetembea balaa!
2.0L za kawaida ni 140hpHizo ni 2.OL au?