Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Kutoka dodoma magari alikuwa mengi nimeingia saa 12,nilikuwa na chuma hiyo
 
Ni kweli mkuu ukiwa full yani gari haina maseke ni raha kutembea.
 
Mfatiliaji sana wa huu uzi. Naona kuna ma exparts wengi wa kulenga madaraja. Natamani siku lipigwe battle la kimyakimya yaani kama marathon zao zile mnapoint mkoa na start line na siku kimya kimya afu tunakiwasha just for fun.
Itakua poa sana.
 
Mfatiliaji sana wa huu uzi. Naona kuna ma exparts wengi wa kulenga madaraja. Natamani siku lipigwe battle la kimyakimya yaani kama marathon zao zile mnapoint mkoa na start line na siku kimya kimya afu tunakiwasha just for fun.
Itakua poa sana.
Tukamwage moto Mbeya,lets prepare a tour to MATEMA BEACH wazee mpo tayariiiiiiiiiiiiii?

Matema Beach ni sehemu nzuri sana ,ufukwe wa ziwa Nyasa,ipo Kyela,nje kidogo ya mji wa Kyela kama unaelekea Ipinda,unavuka Fubu Talatala,Mto Mbaka pia.


Waliotayari tunyooshe mikono juu tupeane utaratibu.
 
Kuna watu mtawaonea mkuu [emoji16] maana najua hakutakua na mwendo mdogo ni kupimiana tu Road.
 
Pa kiboya sana njia ina mashimo sana hio ishanikatiaga uzi wa tyre nikafika tairi ina vinundu kama imeng'atwa na nyuki [emoji23][emoji23][emoji23] af kuna zile bus za Hino madereva wake wanaendesha kama wamekula ndumu!
Hino zile ziko vizuri natamani nione mpepetano na 1hd-fte,sijabahatika ile ligi hasa.
 
Toka igawa hadi tunduma hakuna barabara hapo, mshimo yakutosha na ina magema ya kutosha, kama ni mgeni wa njia hiyo sikushauri uzidi 120kmph
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…