Jamaa alishangaa mmewahi kufika kuliko anavyoendaga yeyeKuna siku nilipanda IT , jamaa nahisi alikuwa kachoka, tulikuwa wawili tu akaniambia mwana unajua kuendesha gari , nikamuambi kimtindo.. akaniachia chuma πππ niliwasha moto jamaa hakuamini, akasema ikitokea mchongo nitakuunganisha uje u push hizi IT.. nachopendea gari zinazopita hapa nyingi zipo na hali nzuri sana tofauti na tunazobaki nazo
Shida sijui nitakuka V8 gani maana wakodiji wengi πππ ikipendeza nachukua hata RR wana gari nzuriHahahah unataka ukiwashe na VX-R au sio,
Kazi ya kwanza huwa nakalili barabara, barabara ikishakaa kichwani nimemaliza kazi hapo.. ni bati bati tuuu kutumia mda mfupu inakuwa kama pie tuJamaa alishangaa mmewahi kufika kuliko anavyoendaga yeye
Ukichukua RR hio safari tutaenda pamoja ili nifanye utafiti wangu flaniShida sijui nitakuka V8 gani maana wakodiji wengi πππ ikipendeza nachukua hata RR wana gari nzuri
Nasaka saka hapa pesa za kukodi na wese, maana ni mwendo wa escort 1 tu ππUkichukua RR hio safari tutaenda pamoja ili nifanye utafiti wangu flani
Sema njia ya Dar Mwanza iko kichwani maana unaenda mara kwa maraKazi ya kwanza huwa nakalili barabara, barabara ikishakaa kichwani nimemaliza kazi hapo.. ni bati bati tuuu kutumia mda mfupu inakuwa kama pie tu
Gari inapiga mluzi kama ipo mawindoni πππHakuna D4D inaweza kushindana na gari ninazotumia kusafiri. Take this to the bank.
ile njia kuanzia matuta mashimo, vituo vya trafic maaeneo yenye tochi yapo kwenye kichwa na wapi kuna trafic wanoko sijui kona, kama nime i download kwenye kichwa ππSema njia ya Dar Mwanza iko kichwani maana unaenda mara kwa mara
Siku moja utakutana na kichaa ndani ya manuaal 1GD ndio utaelewa kinachoongelewa humuHakuna D4D inaweza kushindana na gari ninazotumia kusafiri. Take this to the bank.
Mzee huupendi mluzi ule ndio kiboko ya road trips πππGari inapiga mluzi kama ipo mawindoni πππ
Hio ndio silaha kubwa ya uderevaile njia kuanzia matuta mashimo, vituo vya trafic maaeneo yenye tochi yapo kwenye kichwa na wapi kuna trafic wanoko sijui kona, kama nime i download kwenye kichwa ππ
Humu ndio jeuri ya mjerumani ilipoNaichukulia poa kwasababu anapoishia D4D Mimi ndio naanza kuendesha
View attachment 2333161
1KD tuu inatosha, kama gari inaweza kufika speed 200 sasa kwa barabara zetu utaachwa na gari ngapi zaidi ni kuwa labda hizo za europ zenye 260 na hauwezi kuifikia hiyo speed kwa barabara zetu mimi najilipua sana kufika 200 iwe kuna sababu maalum au aina ya kazi iliyohitajika kwa wakati huo.Siku moja utakutana na kichaa ndani ya manuaal 1GD ndio utaelewa kinachoongelewa humu
Inapiga mluzi ipo pale pale tuu ππππ kuna siku nilishwai kuchapa ligi na hiyo gari ndio nika ziondolewa nyota πππ nilikuwa nazikubali sana, ila siku hiyo nikaona hamna kitu hapaMzee huupendi mluzi ule ndio kiboko ya road trips πππ
D4D nenda nayo kwenye miradi boss ukija kwenye ligi tutakunyoosha.1KD tuu inatosha, kama gari inaweza kufika speed 200 sasa kwa barabara zetu utaachwa na gari ngapi zaidi ni kuwa labda hizo za europ zenye 260 na hauwezi kuifikia hiyo speed kwa barabara zetu mimi najilipua sana kufika 200 iwe kuna sababu maalum au aina ya kazi iliyohitajika kwa wakati huo.
Kwenye barabara zetu ukitoa mombo same kuna sehemu unaweza kuendesha 260?kwa zaidi ya lisaa limoja?Naichukulia poa kwasababu anapoishia D4D Mimi ndio naanza kuendesha
View attachment 2333161
ππMkuu nitake radhi aisee hizo IST kwanza ata kuisogeza sijawahi zaidi ni defender PUMA 2.4 nipo nayo muda mrefu sana.Mtu anataka kwenye IST anaingia kwenye Hilux anakuja kutupigia kelele hapa.