Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes mkuu... hapo nimekanyagaInteresting gearing... 170kmph at 2500rpm
Asubuh niendelee to mbambabay23:03 ngoma ishapaki songea mitaa ya bombambili....
Welldone mkuu,Bombambili loo23:03 ngoma ishapaki songea mitaa ya bombambili....
Nilifanikiwa vichache mkuu.... View attachment 2336019View attachment 2336020View attachment 2336021View attachment 2336022View attachment 2336023Welldone mkuu na travel safely, ukifika Namtumbo pls piga piga picha nyingi ,na vijiji vyote kati ya Namtumbo na Songea hasa,Lwegu, Kumbara, Litola, Namabengo na Lumecha, pls pls mkuu na tupia humu au PM me
tena kama unakimbiza ndio kabisaa hatari kucheza na tyre la 50/50 unaweza kuizika gari au wote kuzikwa 😬😬😬Safari nje ya mkoa hutakiwi kubahatisha kwenye matairi
Mkuu, Nashukuru Mungu nilifika salama,Mkuyu ulifika salama?
Hapo kuna raia alikuwa anaachwa mkuu....Speed imekuweka upande wa pili wa barabara, yes mkuu
Unamwacha huku DRS yako ipo wide open, ni moto mkali mnoHapo kuna raia alikuwa anaachwa mkuu....
National Anthem umeona mipasuko hio ya 3GR halafu RPM zimepoa kabisa.Lindi moja hiyoView attachment 2335601
Chuma in Sport modeLindi moja hiyoView attachment 2335601
RPM zimepoa haswaaaa mkuu.... jana ilikuwa ni show show huko raod...National Anthem umeona mipasuko hio ya 3GR halafu RPM zimepoa kabisa.
Mkuu, Nashukuru Mungu nilifika salama,
Nilichelewa kuondoka not as planned.
Nimetoka posta sa 10 kasoro, hadi nafika bunju sa 11 na nusu.
Nimetembea mwendo wa kifaza max speed 120, nimeingia Arusha sa 8 usiku.
Ni DSU mkuu..... hapo ilikuwa vanguard inasomeshwa namba...Unamwacha huku DRS yako ipo wide open, ni moto mkali mno
RPM zimepoa haswaaaa mkuu.... jana ilikuwa ni show show huko raod...
Ina sport mode, cruise control na pedal shifter...Chuma in Sport mode
Eeh hio ndio tofauti ya 256HP na 170HP ilipo, highway ndio msema kweli. Sema kwa RPM hizo hata ukipasuka wese sio sana.Ni DSU mkuu..... hapo ilikuwa vanguard inasomeshwa namba...
Ina sport mode, cruise control na pedal shifter...
Hapo ilikuwa ni mwendo kuchoma mafuta tu, ilipigwa show ya kibabe sana... somanga pale tulisimama jamaa wa gxr akasema hapo mbele nakupoteza nikamwambia ok sawa... ila mwisho wa siku ilikuwa ni chupi na tako mwanzo mwisho...Naona jamaa wa GXR aliifurahia show, mwendo wa weka niweke tu[emoji23]