Wanachangamsha soko la pickup ๐๐๐๐,,, Nafikiri malengo ni kuwawezesha ma injinia wazembe waweze kuwahi site haraka iwezekanavyo kabla ya boss akiwa anaelekea site.Hawa nao wana mambo ya ajabu. Pick up kazi yake kuu kubeba tools na vitu kama hivyo, sasa ma HP yote hayo ya nini?
Ni confirmed wanaingia 2026. Na juzi wameweka tangazo la drivers.Bado mkuu hata audi wenyewe wanasema 'they are considering to enter'.
Asee safari ndefu hii. Itakuwa na km 1200+Safari ni Dar - lindi - mnazi mmoja - masasi - tunduru - namtumbo - songea - mbinga na kituo ni mbambabay... Total filling station shekilango hapa nakunywa mafuta.. muda 10:14
3gr kifuani... View attachment 2335209
1223 km mkuu... so lazima umwage moto tuAsee safari ndefu hii. Itakuwa na km 1200+
Pole mkuu yes speed ni safi ila inakuja na responsibility kubwa, muhimu ni kufika salama anakokwendaWakuu leo nimetoka alfajiri safari ilikuwa kutoka Singida kwenda Mwanza then nirudi Kahama. Nilikuwa natembea 150kph ila baada ya kukaribia Nzega nikakuta Landcruiser Amazon imekulana na Raum zipo pemben ya road.
Asee ikanibidi niende kwa heshima zote.View attachment 2338932
Hizo gari ni kwa big money guys sio za shamba ila ni kama vile vifaa vidogo vidogo yani anatupiamo injini ya boti ndogo hapo akiwa anenda mtoniWanachangamsha soko la pickup [emoji23][emoji23][emoji23][emoji37],,, Nafikiri malengo ni kuwawezesha ma injinia wazembe waweze kuwahi site haraka iwezekanavyo kabla ya boss akiwa anaelekea site.
Pick up sasa hivi nyingi ni zimechangamka kwenye mwendo na ndio maana nyingi ziko 200km/h au zaidi wakati sedan nyingi hasa za japan ni 180km/h,zamani hilux 2.8 3L ilionekana ina ubavu huku mshale ukigota 160!Hawa nao wana mambo ya ajabu. Pick up kazi yake kuu kubeba tools na vitu kama hivyo, sasa ma HP yote hayo ya nini?
Kabisa kiongozi.Pole mkuu yes speed ni safi ila inakuja na responsibility kubwa, muhimu ni kufika salama anakokwenda
Ya kawaida sana sema Mzungu ni mzungu tu highway limetulia.Ivi wakuu kuna anae jua show za hii mashine View attachment 2340075
Hio show zake kubebea maharusi tu๐Ivi wakuu kuna anae jua show za hii mashine View attachment 2340075
Bei haishuki leo wala kesho.Soko la dunia wese down, huku kwetu hakuna dalili ya kuondoa jelo [emoji2361][emoji2361]View attachment 2341607
Haina namnaaa tutavumilia tu, wameisha chagua maisha ya kuishi watanzaniaBei haishuki leo wala kesho.
Huyo mama wamemuweka mtu kati.
Nununua tu mengine utakabiliana nayo yakianza jitokezaHabari za wakuu, tafadhalini naomba msaada wa kiushauri kwa mwenye kuijua mazda demio ya 2004 -2006 upande wa running cost zake , magonjwa yake na je kuja uwezekano wa kudumu kwa miaka angalau 10 kwa mazingira yetu ya tanzania?
NB: SIjawai kumiliki gari nimeona bei ya mazda demio ipo chini kuliko IST, je na huu ugeni ninunue au nitakuwa nimejipa ugonjwa moyo?
Hizi gari zisifahamu kabisa.Habari za wakuu, tafadhalini naomba msaada wa kiushauri kwa mwenye kuijua mazda demio ya 2004 -2006 upande wa running cost zake , magonjwa yake na je kuja uwezekano wa kudumu kwa miaka angalau 10 kwa mazingira yetu ya tanzania?
NB: SIjawai kumiliki gari nimeona bei ya mazda demio ipo chini kuliko IST, je na huu ugeni ninunue au nitakuwa nimejipa ugonjwa moyo?
Kama unaagiza Japan sawa...Nununua tu mengine utakabiliana nayo yakianza jitokeza