Hizi mbinu zinaweza kukuponzaKuna jamaa moja aliniambia eti ukiwasha taa to hi aisomi, nikajarubu, buku 5 yangu ukaenda[emoji23][emoji23]
Huku ndipo maisha yanapoelekea..Hakuna jambo hatarishi kama kununua gari lenye Cc nyingi awamu hii,manake linaweza kukugeuza wakala wa mapato ya serikali hasa kwenye kodi ya mafuta na bado unakuwa huna uhakika kama hiyo tozo itaongezwa au lah! ni very risk project kwa haya mazingira ya sasa-Nilikuwa nataka ninunue mojawapo ya gari lenye 6 cylinder ila for now it's a big no na wala sishauri mtu.Ni swala la mda tu mtaanza kuona watu wanapak magari nyumbani bila kupenda
Hapana mkuu usihofu. Hizi kodi za magari huwa wanaangalia yale yanayonunuliwa sana ndio wanapandisha lakini yapo mengine wanayaacha vile vile ndio na sisi wanyonge tunahamia huko.Huku ndipo maisha yanapoelekea..
Cha msingi kila mtu alipende sana gari alilonalo kwa sasa.
Dalili zinaonesha wazi kwa sasa wachache ndiyo watakuwa na uwezo wa kuagiza moja kwa moja kutoka Japan.
Picha ndiyo limeanza hivyo... sterling hata sijui ni nani wa hii movie..
Sukari bei elekekezi ya Srikali ilitamkwa 1800 kwa kila ila kwa sasa ni wastani wa 2400-2600 na watu wamezoea..
Mafuta ya kupikia sisemi neno
Cement nayo mambo siyo mabaya..
Kodi ya kitanda kwa Watalii....pamekucha huko..
Kodi ya magari inakuja juu
Uchumi unalenga vitu na si maisha ya watu wakati huo thamani ya Shilingi imelala kama hili doro hapa chini
View attachment 1672450
Huenda Mazda demio ikaipiku IST soon..[emoji119][emoji119][emoji119]Hapana mkuu usihofu. Hizi kodi za magari huwa wanaangalia yale yanayonunuliwa sana ndio wanapandisha lakini yapo mengine wanayaacha vile vile ndio na sisi wanyonge tunahamia huko.
Kuna Gari ilifanya ligi na nyie kweliiiiDar to Tanga boda ya horohoro to Mombasa
Road kulikua na moment nyingi
Ngoma imerudi Dar salama kabisa njiani challenge. Ilikua yakawaida san team cruiser tulikua wengi
Hongera kwa BMW mlitupa Challenge yakutosha
View attachment 1671987
Carwosh need
Hujamsoma anakwambia BMW ilimpa challenge?!! Ameongea kiufundi tu ni kwamba BMW ilimchapa!Ligi na hio V8 inabidi uwe na gari ya level hizo iwe ya Mzungu au Mjapan.Kuna Gari ilifanya ligi na nyie kweliiii
Wapi Germany machine waje watoe mitazamo yao hapa juu ya team cruiser V8
Walitolea maelezo Hilo mbonaWaliopanga kununua magari mwaka huu wajipange vilivyo tra hawataki mchezo kuelekea kuboresha uchumi wa Kati
Hii ni kweli. Mfano jana niliangalia ushuru wa Mazda Demio ya 2003, ushuru wake ni 3.3mil.Hapana mkuu usihofu. Hizi kodi za magari huwa wanaangalia yale yanayonunuliwa sana ndio wanapandisha lakini yapo mengine wanayaacha vile vile ndio na sisi wanyonge tunahamia huko.
Duh ndio maana Boeing 747 alisema tutahamia huko!Hii ni kweli. Mfano jana niliangalia ushuru wa Mazda Demio ya 2003, ushuru wake ni 3.3mil.
Yes, huko na kwenye Honda Fit.Duh ndio maana Boeing 747 alisema tutahamia huko!
Walitolea maelezo Hilo mbona
Huenda Mazda demio ikaipiku IST soon..[emoji119][emoji119][emoji119]
Imeisha hio mkuu.Duuhhh, aisee, hii ilikuq dualis ko sahivi imeongezeka 4m, ilikua agust
Ni kweli.Hapana mkuu usihofu. Hizi kodi za magari huwa wanaangalia yale yanayonunuliwa sana ndio wanapandisha lakini yapo mengine wanayaacha vile vile ndio na sisi wanyonge tunahamia huko.
Hapo unacheza na Horsepower na horsepower to weight ratio.Hujamsoma anakwambia BMW ilimpa challenge?!! Ameongea kiufundi tu ni kwamba BMW ilimchapa!Ligi na hio V8 inabidi uwe na gari ya level hizo iwe ya Mzungu au Mjapan.