Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Hakuna jambo hatarishi kama kununua gari lenye Cc nyingi awamu hii,manake linaweza kukugeuza wakala wa mapato ya serikali hasa kwenye kodi ya mafuta na bado unakuwa huna uhakika kama hiyo tozo itaongezwa au lah! ni very risk project kwa haya mazingira ya sasa-Nilikuwa nataka ninunue mojawapo ya gari lenye 6 cylinder ila for now it's a big no na wala sishauri mtu.Ni swala la mda tu mtaanza kuona watu wanapak magari nyumbani bila kupenda
Huku ndipo maisha yanapoelekea..
Cha msingi kila mtu alipende sana gari alilonalo kwa sasa.

Dalili zinaonesha wazi kwa sasa wachache ndiyo watakuwa na uwezo wa kuagiza moja kwa moja kutoka Japan.

Picha ndiyo limeanza hivyo... sterling hata sijui ni nani wa hii movie..

Sukari bei elekekezi ya Srikali ilitamkwa 1800 kwa kila ila kwa sasa ni wastani wa 2400-2600 na watu wamezoea..

Mafuta ya kupikia sisemi neno

Cement nayo mambo siyo mabaya..

Kodi ya kitanda kwa Watalii....pamekucha huko..

Kodi ya magari inakuja juu

Uchumi unalenga vitu na si maisha ya watu wakati huo thamani ya Shilingi imelala kama hili doro hapa chini
FB_IMG_16069283068677749.jpg
 
Huku ndipo maisha yanapoelekea..
Cha msingi kila mtu alipende sana gari alilonalo kwa sasa.

Dalili zinaonesha wazi kwa sasa wachache ndiyo watakuwa na uwezo wa kuagiza moja kwa moja kutoka Japan.

Picha ndiyo limeanza hivyo... sterling hata sijui ni nani wa hii movie..

Sukari bei elekekezi ya Srikali ilitamkwa 1800 kwa kila ila kwa sasa ni wastani wa 2400-2600 na watu wamezoea..

Mafuta ya kupikia sisemi neno

Cement nayo mambo siyo mabaya..

Kodi ya kitanda kwa Watalii....pamekucha huko..

Kodi ya magari inakuja juu

Uchumi unalenga vitu na si maisha ya watu wakati huo thamani ya Shilingi imelala kama hili doro hapa chini
View attachment 1672450
Hapana mkuu usihofu. Hizi kodi za magari huwa wanaangalia yale yanayonunuliwa sana ndio wanapandisha lakini yapo mengine wanayaacha vile vile ndio na sisi wanyonge tunahamia huko.
 
Dar to Tanga boda ya horohoro to Mombasa

Road kulikua na moment nyingi


Ngoma imerudi Dar salama kabisa njiani challenge. Ilikua yakawaida san team cruiser tulikua wengi



Hongera kwa BMW mlitupa Challenge yakutosha

View attachment 1671987
Carwosh need
Kuna Gari ilifanya ligi na nyie kweliiii


Wapi Germany machine waje watoe mitazamo yao hapa juu ya team cruiser V8
 
Back
Top Bottom