Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
Duh wewe umeshindikana!
Aahahahahahahhhahahaa
Bataringaya banaa
Ndosi alininyoosha nikakaa sawa ila wahuni wa Azajangwa, Tambazana na Jiitewute walinikorogea bange kwenye soda besdei yangu ya miaka 18, tangu hapo nalipuliza aste aste.
Ila fresh tuu, kila nikivuta inateremkia kwenye via 🤪
Ikiteremka tuu napata stamina ya ajabu nakumbia kilomita 10 hadi 21 nonstop. Nikitoka hapo naoga nalala nikiamka nakuwa mpoleeee, mkimyaaa, adabu na heshima kama zote zikisindikizwa na tabasamu angavu lenye soni 😅
Matata K.