Jamaa kaamua kuchukua nafasi ya Extrovert kuumia kwa mambo ya watu wengine.Naongea kwasababu sijaziona. Sijabahatika kukutana nazo. Nyingi ambazo nakutana nazo ni Japanese car. Hiyo ni experience yangu. Na ndio maana mmesema zipo nyingi sijapinga ni experience zenu, na ambazo nime agree, kwasababu nimepiga hesabu kutokana na garage ambazo nina zitembelea
Nshafika Arusha. Nimeondoka alfajiri sana.Asante sana.
Naelekea Arusha, nakunywa chai hapa Msata. Mlioko njia hii tusalimiane
Safi Man!! Mi ndio nafika.Nshafika Arusha. Nimeondoka alfajiri sana.
Travel safely mkuu, tupia vipicha pls vya njiani kuboresha uzi,huu ndio uzi pekee humu ambao upo live, yaani unapata informations za wakati huo sio viporoAsante sana.
Naelekea Arusha, nakunywa chai hapa Msata. Mlioko njia hii tusalimiane
Halafu why ana overtake katika double barrier?huyu sio dereva ni punguani fulaniJamaa ana ford ranger
namba ea Kila kituo anasimama anapakia mafuta si mchezo.View attachment 2358310
Apo alikuwa katoka parking kaovatek iyo pick upHalafu why ana overtake katika double barrier?huyu sio dereva ni punguani fulani
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] we jamaa hufai!!
Y62 na J300 zinafanana 'makalio'
Unamchongea.Jamaa ana ford ranger
namba ea Kila kituo anasimama anapakia mafuta si mchezo.View attachment 2358310
Always tembea na Chaki usiku, kwenye overtakes unarudi kushoto kidogo kuifata chaki ya njano. Night driving glasses ni muhimu kuzuia taa kali za madereva wenzio. 😂😂😂 Naimani hayo yamekufaa sana mkuuHuu uzi nmeanza kuufuatilia since day 1, na nilikuwa sina gari mpaka nmekuja kumiliki langu mwezi uliopita. ila ni mnazi mkubwa wa safari, mabasi na mambo ya barabarani. Umesaidia sana kunipa elimu za masuala ya barabarani, esp night driving nlikua na struggle sana na hio kitu but kuna mdau humu alitoa hints fulani hivi nimezi apply zimenisaidia ku-improve.
RIP mchinaWale wazee wa rally watakuwa wanamjua huyu mchina dah!
Tunakumbushana tu wakati uko na mwendo lolote linaweza tokea
R.i.p Sun
Ova
View attachment 2353342View attachment 2353343View attachment 2353344View attachment 2353345
Kwani wako hadi usiku?Arusha to moshi traffic wamezidi kwakweliView attachment 2353381View attachment 2353382
Nimekupata.Travel safely mkuu, tupia vipicha pls vya njiani kuboresha uzi,huu ndio uzi pekee humu ambao upo live, yaani unapata informations za wakati huo sio viporo
😂😂😂Unamchongea.
Kuna sehemu nilipita baada ya kupandisha Kikavu kulikuwa na Traffic muda ulikuwa ni saa mbili.Kwani wako hadi usiku?
Hizi si wanasemaga huwa ziko na safety sana huwezi kufa humo 😂😂😂 wale wa Bavarian Motor Works RRONDO tupe nenoJamaa kaambiwa hii ya mzungu na sio ya mjepu so wee mwaga moto tu, kweli jamaa akamwaga myotoo mingi sana... (jokes)View attachment 2355493View attachment 2355494
ahahah hao jamaa njaa sanaKuna sehemu nilipita baada ya kupandisha Kikavu kulikuwa na Traffic muda ulikuwa ni saa mbili.
Wale wa usiku huwa tunawaungia ya kahawa tu, sehemu chache sana lakini. Wengine huwa wanakuachia tuUsiku sehemu nyingi tu wapo ila sio wale mnaowakwepa mchana.