ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Ndio chief..Chief hii ni Gx100?
Pole sana makaveli10Tumpe pole mwenzetu makaveli10
Nimepata ajali, namshukuru Mungu nipo salama
Habari ndugu zangu Jana usiku nikiwa natokea Dodoma kuelekea Dar es Salaam, nilipata ajali maeneo ya Maseyu katikati ya Mikese na Bwawani. Namshukuru mungu sote tumetoka salama, vidonda vidogo vidogo tu. Wazee tutende mema, tuishi kwa wema, tupendane, kifo ni muda wowotewww.jamiiforums.com
Hii Fuga mkuu?View attachment 2453945
Changamoto ya leo. Kumbikumbi baada ya mvua. Ilibidi kusimama kudeal nao. Shinyanga sahizi tunakisogeza
Vuka na Chako, bila breki wala clutch..... 🤣 🤣 🤣Kwa muujiza wa mwamposa
njombe, makete, kitulo, igoma to Isyonje lazima ujute hasa kipindi hiki cha mvua... show ni kama hiziView attachment 2451179
Nadhani pale Ruvu Darajani ndio point ya mwisho ya kuwindana, zamani ilikua ukiimaliza Mlandizi tu tayari upo salama. Ila kwa sasa baada ya Ruvu huko mbele kiatu tuuu, ukishaivuka Chalinze ndio kabisaaa waleteee wewe unadili na taa za wanaokuja na vicheche tu. Barrier moja tu pale maeneo ya Mwidu nadhani ambao peace [emoji3577] tu wao, from there kiatu.Mimi jana mlandizi nilijikuta sina hela ndogo wakaniomba ushirikiano nikawapa mteni.
Nlichoshukuru nilivyowaona nilianza discipline wakanisimamisha tena Ruvu Darajani. wamepaki karandinga kabisa, bahati nzuri sikuwa na kosa, sikuovatieki (ule mstari mnaujua nadhani).
Wakakagua madeni wakaniacha nitembee.
Na kweli kukimbia inawezekana maana baada ya Ruvu pale hawanaga kituo kingine, sometime mpaka checkpoint mwidu/mdaulaHapo ruvu darajani walinikamata saa 10 usiku naovertake kwenye daraja.
Nilijilaumu sana kwanini nilisimama. Ningejua ningekimbia. Walinilamba 30k bila huruma.
Halafu wale wapi? Hela ya mchezo ya kila siku watapata kwa uelimishaji?Mistari yenyewe mbona imejifuta?,traffic officer's ni wajibu wao kuelimisha watumiaji wa barabara na SIO kuwavizia wafanye makosa, ningekua na uwezo ningepeleka 100 traffic officer's pale Namibia [emoji1176] au Botswana [emoji1052] Wayne wenzao wananvyoteleleza wajibu wao
Ndio mkuuHii Fuga mkuu?
Mimi nimekimbia once nilikuwa nimeunga msafara wa V8 kama 3, walinipiga mkono sikusimama.Usijaribu kukimbia mkuu.
Katika barrier tamu duniani ni hii, sometime nikiwa na buku au buku be nawaachiaga wana ya kahawa. Hawanaga noma na mtu.Nadhani pale Ruvu Darajani ndio point ya mwisho ya kuwindana, zamani ilikua ukiimaliza Mlandizi tu tayari upo salama. Ila kwa sasa baada ya Ruvu huko mbele kiatu tuuu, ukishaivuka Chalinze ndio kabisaaa waleteee wewe unadili na taa za wanaokuja na vicheche tu. Barrier moja tu pale maeneo ya Mwidu nadhani ambao peace [emoji3577] tu wao, from there kiatu.
Eti Waleteeeee we we, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nadhani pale Ruvu Darajani ndio point ya mwisho ya kuwindana, zamani ilikua ukiimaliza Mlandizi tu tayari upo salama. Ila kwa sasa baada ya Ruvu huko mbele kiatu tuuu, ukishaivuka Chalinze ndio kabisaaa waleteee wewe unadili na taa za wanaokuja na vicheche tu. Barrier moja tu pale maeneo ya Mwidu nadhani ambao peace [emoji3577] tu wao, from there kiatu.
Aisee.Barabara ya Mwigumbi - Maswa - Bariadi - Lamadi imemaliza kurekebishwa imekuwa tamu mno, mojawapo ya barabara nzuri kutembea.
Ila matokeo yake ndio haya, hii ni karibu na kwa Wigelekelo, kipande kiko straight hakina tuta, kona, mawimbi wala shimo.
View attachment 2454291