Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WowWelldone mkuu Nami ni mpenzi sana wa F1, Silverstone grand prix home ground ya Mercedes, ila mimi ni fan wa red team pale Monza
Yes hiyo ndio gari sasaGerman vs Japanese
hii inaitwa kacheze unakochezagaView attachment 2476181
Wanapofanyia racing ni viwanja vya ndege vilivyofungwa miakaHuo mwendo si kwa njia zetu za bongo hapa,unakufa mapema sana[emoji3][emoji3]
Wazee inaonekana mlianza kulamba asali kitambo sanaWanapofanyia racing ni viwanja vya ndege vilivyofungwa miaka
Vilikuwa vinatumika wakati wa second world War kwa [emoji636]
Ndio huwa naenda kila wakati huko
Unaweza kuendesha gari yoyote uipendayo na una race kwa masaa lakini sio bei ndogo ila unafurahisha moyo
Kila mmoja na mapenzi yake kwa kweli
Sana baba, nimeendesha gari yangu ya kwanza nikiwa na miaka 19 ilikuwa gtW
Wazee inaonekana mlianza kulamba asali kitambo sana
hakika hawa wakubwa walishachonga mizinga ya nyuki miaka mingi sana iliyopita... hahahW
Wazee inaonekana mlianza kulamba asali kitambo sana
😀😀😀😀😀 Ingia zako ujerumani tu, mbona easy tu kama fuba lipo.Sana baba, nimeendesha gari yangu ya kwanza nikiwa na miaka 19 ilikuwa gt
Namshukuru mzee aliniondoa bongo mapema sana na mimi nikapambana sana
Napenda sana racing [emoji469] na ndoto yangu kujiachia Autobahn siku moja [emoji1]
Naipenda zaidi F-Pace
Hizo Corner za kuwa makini sanaKwenye zile blind corner kinaweza kukupata kitu. Watu wanaovatekigi mule
Mzee hii mashine ya kwenda sana, ina mashine gani kifuani huko, JZX100 au GRX100?Hii chuma ninayo namba BQT nmeiweka garage kwa ajili ya kusaidia vijana ila nimeielewa sana wallah.View attachment 2466079
Kwenye hiyo video unaona kabisa njia nyeupee,ni wewe tu na kisahani chakoHuo mwendo si kwa njia zetu za bongo hapa,unakufa mapema sana[emoji3][emoji3]
Huwa sioni attachments za aina hiyo. Imenibidi nitumie pc kuiangalia.Video yenyewe si ndo inayojadiliwa hapo mkuu
Kuna mmoja wa ist mi nilikua na cheser gx100 tulianzia msata alikua hataki nikae mbele yake ila akikaa mbele anatembea speed 120 nikimkata anapambana namwacha anapita ila akishakaa mbele hakimbii tena na mimi speed yangu ya kawaida ilikua 120 adi 160 kulingana na hali ya barabara kafanya ivo ka mara 3 nkaona asiniletee ujinga baada ya wami mbele hapo nkampita nililala na zile kona na ile panda shuka natembea adi 170 hakunifata tena kaja kunikuta segera dk 15 baadae nimesimama kanipigia honi kanipungia kakunjia tanga mi nilikua naenda moshi.Hapo unawacheki tu, unawaacha wajimalize then unawakata kama wamesimama.
Ndio mkuu huyo mwenye Nissan ana balaa anatembea mpaka Jamaa wa Audi ametubuHuwa sioni attachments za aina hiyo. Imenibidi nitumie pc kuiangalia.
Ofcoz. Ni video yenyewe naiongelea.
Asante.
Hizi gx100 ni gari nzuri sana kwa masafa, kwenye kona unalala nayo, inatulia barabarani unamaliza kisahani kama upo 80 vile pia ulaji wake wa mafuta ni rafiki....Mie kuna jamaa yangu kazi kunisema nina gari nzuri sasa yanini nahangaika na ma-GX100.[emoji3]
Pia nina jamaa mwingine ana Prado 1KZ ila safari zake zote za highway ni mwendo wa Gx100 tu.
itakuwa alienda kusimulia maana nina hakika hakuamini alichokutana nacho... Kuna muda GTR kama aliachia moto hivi ila baadae aksema Mr. Audi, sorry I have to go.... hahahahahaNdio mkuu huyo mwenye Nissan ana balaa anatembea mpaka Jamaa wa Audi ametubu
Nikipata inayomudu na speed ya uhakika naenda,[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Ingia zako ujerumani tu, mbona easy tu kama fuba lipo.
Hamia Crown tu mzee, ni upgrade ya comfort class, driving dynamics na speed.Hizi gx100 ni gari nzuri sana kwa masafa, kwenye kona unalala nayo, inatulia barabarani unamaliza kisahani kama upo 80 vile pia ulaji wake wa mafuta ni rafiki....
Natamani kuhamia crown ila nafsi inasitasita, em wenye nayo nitoeni uoga.