Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Kuna mmoja wa ist mi nilikua na cheser gx100 tulianzia msata alikua hataki nikae mbele yake ila akikaa mbele anatembea speed 120 nikimkata anapambana namwacha anapita ila akishakaa mbele hakimbii tena na mimi speed yangu ya kawaida ilikua 120 adi 160 kulingana na hali ya barabara kafanya ivo ka mara 3 nkaona asiniletee ujinga baada ya wami mbele hapo nkampita nililala na zile kona na ile panda shuka natembea adi 170 hakunifata tena kaja kunikuta segera dk 15 baadae nimesimama kanipigia honi kanipungia kakunjia tanga mi nilikua naenda moshi.
Hahahah GX100 ikipata kichaa ni balaa. Huyo ulimnyoosha sana aisee
 
itakuwa alienda kusimulia maana nina hakika hakuamini alichokutana nacho... Kuna muda GTR kama aliachia moto hivi ila baadae aksema Mr. Audi, sorry I have to go.... hahahahaha
Ila bila shaka hao jamaa wanajuana and they planned to battle haikutokea tu bahati mbaya wamekutana hapo[emoji28][emoji28]

Ukiangalia hata hiyo video aliye record alikua nyuma ya seat ya dereva wa Audi
 
Mambo vipi wakuu. Tunauza Spea za gari aina zote aina zote Taa, Mabampa, Milango, Show, Mountings, Engine, Gearbox, Radiator, shockups Nk. Tunapatikana ilala machinga complex tunaangaliana na msikiti wa songea Tucheki 0693163110View attachment 2479254View attachment 2479255
Screenshot_20230111-215819.jpg
 
Racing is an interesting sports... hata Mimi ni fan sana wa MotoGP na F1, my favourite team ni Redbull Racing Team ila simpendi Verstappen kutokana na ubinafsi wake...
Mercedes na Lewis Hamilton
Ila wengi wazuri hata Allonso pia

Halafu 2026 Audi na Porsche wanaingia pia F1 hapo ndio tutaona mapambano kama tutakuwa hai
 
Asante mkuu, kwakweli ni kununua. Mwaka jana nilinunua hiyo stika nilivyonunua gari January sasa naogopa faini, wewe unanunuaje kila mwaka?
zikitoka utaziona tu kwa nyangenyange mkuu, andaa elfu 5 ya kubrashia viatu kwa zile siku za mwanzo zinapotoka, ila ikishapita mwezi au miezi wanapandisha dau inakuwa 10k, 15k hadi 20k. so zikitoka tu chukua mapema tulia.
 
Back
Top Bottom