Lamar BlacAmerican
JF-Expert Member
- Aug 9, 2013
- 974
- 2,305
Dooh! umegusa mulemuleWenye kucha za hivyo huwa wanazikata kwa meno...
Kipi hapo?Kijiji changu kileee
Wee tena, andaa tyuuh zawadi hizo, mualiko utapataa mapemaaaa.Hongera usisahau kunialika kwa gradu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Uchawi unaanzaga hivi hivi
Gr City Hotel Soweto hapo duh real miss MbeyaMbeya Mnajitahidi GR COMFORT HOTEL [emoji106]View attachment 2491958
Inaonekana ni Hotel nzuri sana,Deluxe room rate yake ni ngapi kwa sasa per night?Mbeya Mnajitahidi GR COMFORT HOTEL [emoji106]View attachment 2491958
Wako viziri
[emoji108]Inaonekana ni Hotel nzuri sana,Deluxe room rate yake ni ngapi kwa sasa per night?
80 per nightInaonekana ni Hotel nzuri sana,Deluxe room rate yake ni ngapi kwa sasa per night?
hiyo itakuwa ni ile mpya pale kabwe(cross way).
Ooooh hv hle ya pale Cross ni ya Gr kumbe si ndo Mzee Machemba?hiyo itakuwa ni ile mpya pale kabwe(cross way).
Fair enough, shukraani mkuu80 per night
Mmmmmm yam yam ,wakuu zile ndizi kutokea mkoa wa mbeya, ambazo zinaliwa zikiwa mbivu na rangi yake ilikua purple ,nitazipata wapi along T1?,shape yake ni nene kulinganisha na hizo kwenye picha hapo juu, itakayenipa location za kuzipata na nikazipata, nitamtumia shs za kununua dataRaha za road trips [emoji851]View attachment 2492234
Waache hawaamini.Kasome car operating temperature.
Ndiohiyo itakuwa ni ile mpya pale kabwe(cross way).
Coaster iko wapi? Hadi truck ichakae hivyo sijui hio Coaster ina hali gani.Inyala hapo kimeumana meru tanker na coaster super rojaView attachment 2492360