professional Driver
JF-Expert Member
- Sep 23, 2022
- 2,959
- 3,510
Ohoooooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2492870
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
@RRONDO ulimaanisha hivi? Kuna button fulani nimeibonyeza nikaona temp gauge inasoma hivyo@RRONDO post: 45050425 said:Yes kuna kitu hakiko sawa. Ikishapata moto temperature inakuwa katikati ambayo inaesza kuwa 60-90c kulingana na spec.
Mzee kama Lorry imeisha hivi coaster kapona mtu kweli?Inyala hapo kimeumana meru tanker na coaster super rojaView attachment 2492360
Tanker imekua kama fuvu balaa kubwaMzee kama Lorry imeisha hivi coaster kapona mtu kweli?
Tanker imekua kama fuvu balaa kubwa
Hio sasa. ndio temperature sahihi ya engine. Ikizidi au ikipungua hapo kuna kitu hakiko sawa.@RRONDO ulimaanisha hivi? Kuna button fulani nimeibonyeza nikaona temp gauge inasoma hivyo View attachment 2493030
Road trip yakoo amazing. Umenipa mzukaMount Royal Iringa[emoji108]View attachment 2492649
Kwa huo ugali aendeshe taratibu tu🤣🤣🤣Road trip yakoo amazing. Umenipa mzuka
Hamalizi kilometre 30 lazma ataanza kubembea kwenye uskaniWewe jamaa unaweza mbali...kwamba usingizi uko jirani...
Naskia wamepona nilikuwa naongea na Jamaa yangu Dr japo wemevunjika vunjika baaadhiMzee kama Lorry imeisha hivi coaster kapona mtu kweli?
Basi HOWO itakuwa ni nyanya mnoNaskia wamepona nilikuwa naongea na Jamaa yangu Dr japo wemevunjika vunjika baaadhi
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
At Dodoma [emoji851] Road Trip ziendelee.....Hamalizi kilometre 30 lazma ataanza kubembea kwenye uskani
Total 3000+ KMRoad trip yakoo amazing. Umenipa mzuka
Hongera sana mzee, ule ugali na AC sio combi nzuriAt Dodoma [emoji851] Road Trip ziendelee..... View attachment 2493317
Asubuhi sikula breakfast ya nguvu sasa njaa bhana ikabidi nishindilie ugali kuku mchana [emoji1]Kwa huo ugali aendeshe taratibu tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii ndo breakfast dhaifuAsubuhi sikula breakfast ya nguvu sasa njaa bhana ikabidi nishindilie ugali kuku mchana [emoji1]View attachment 2493334
Hapana dom-dumila-kilosa-dumila-moro mjini kupata lunch-mikumi-njombeKwamba ulivyofika Kilosa ukapita ile road ya kilosa to mikumi then from mikumi ukasongesha hadi Njombe ama?
Ya nguvu lazima upate supu ya kuku na chapati za kutosha [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hii ndo breakfast dhaifu
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Ule na mihogo kbsaYa nguvu lazima upate supu ya kuku na chapati za kutosha [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]