Tanzania kuna maigizo ya Bima mkuu 😁 😁 😁 😁 ,Gari inapata ajali alafu huo usumbufu wake utadhania ulikuwa unapewa bure-Policy za insurance karibia zote duniani zinafanana ila treatment ni tofauti kabisa kati ya nchi na nchi.Kwanza ilibid gari ikipata ajali insurance co. ikutafutie gari nyingine inayofanana kihadhi na gari yako utumie kukamilisha shughuli zako mpaka claim yako itakapokuwa settled.Comprehensive Tanzania kiufupi ni overrated.Mkuu comprehensive ina umuhimu sana, hata kama wewe unaendesha vizuri na kuzingatia yote atatokea mlevi atakubutua na hana insurance kabisa. Hapa ndio utaona umuhimu wa kuwa na comp cover.
Tanzania kuna maigizo ya Bima mkuu 😁 😁 😁 😁 ,Gari inapata ajali alafu huo usumbufu wake utadhania ulikuwa unapewa bure-Policy za insurance karibia zote duniani zinafanana ila treatment ni tofauti kabisa kati ya nchi na nchi.Kwanza ilibid gari ikipata ajali insurance co. ikutafutie gari nyingine inayofanana kihadhi na gari yako utumie kukamilisha shughuli zako mpaka claim yako itakapokuwa settled.Comprehensive Tanzania kiufupi ni overrated.
Mimi ilipokuja kwny ku tow gari jamaa walijifanya kama hawaelewi hivi eti iwe gharama yangu,niliwawakia wakalivuta kwa gharama yao hadi gereji.Tanzania kuna maigizo ya Bima mkuu 😁 😁 😁 😁 ,Gari inapata ajali alafu huo usumbufu wake utadhania ulikuwa unapewa bure-Policy za insurance karibia zote duniani zinafanana ila treatment ni tofauti kabisa kati ya nchi na nchi.Kwanza ilibid gari ikipata ajali insurance co. ikutafutie gari nyingine inayofanana kihadhi na gari yako utumie kukamilisha shughuli zako mpaka claim yako itakapokuwa settled.Comprehensive Tanzania kiufupi ni overrated.
Bora yako Mkuu unaweza kuta upo T 000 DVZMkuu situmii STL SU J DFP 😃😃😃... na sijawahi simamishwa.. na hata ikatokea nikasimamishwa sija cha kuhofia nitasimama tu
Jamaa wana maigizo sana. Kiufupi ilibid mtu ukiwa na comprehensive ajali ikitokea unakuwa huna pressure,una wasiliana na dealer wako anashughulikia vitu vyote ikiwemo wewe binafsi unarudije nyumbani au kwenda ofisini au hospitali and what ever kwa gharama zake.Let's say umepata ajali na VX,dealer US atakutafutia gari equivalent na VX ili usione difference yoyote.Kiufupi Comprehensive inatakiwa kuwa stress free.Mimi ilipokuja kwny ku tow gari jamaa walijifanya kama hawaelewi hivi eti iwe gharama yangu,niliwawakia wakalivuta kwa gharama yao hadi gereji.
Comprehensive hata ukilewa ukagonga gari jingine yote yatatengenezwa,so nadhani kwa case zote 2 ni imeisha hioooooo.
Shukurani wakuu,Issue ipo hv-
1st-Kama una comprehensive insurance,ikatokea umemgonga mtu barabarani-bima yako itatengeneza gari lako na la yule uliyemsababishia ajali.
2nd-Kama una Third party-Bima yako itatengeneza gari la yule uliyemsababishia ajali tu.
Mimi walinilipa mkuu bila hata usumbufu,nilitaka kukorofishana nao kwny towing cost lkn nalo wali solve kwa kulipia gharama hizo,possibly ilikua ni bahati yangu mkuu.Shukurani wakuu,
mimi na mtindo wa kukata premium mwaka wa kwanza kipindi gari ni jipya, maana kipindi hicho ndo kiherehere kinakua kikubwa na safari zisizo na ulazima zinakua nyingi.
Baada ya hapo ni kubet na 3rd party with fire and theft, pia kupunguza safari zisizo na ulazima wa kwenda na gari.
Hapo kwenye ulevi hebu angalia attachment
View attachment 1676363
Sasa huku bongo mzee baba usumbufu uko kama kawa na saa nyingine wanakuangalia ukoje ukoje ili waangalie namna ya kuku twist na kuna co. Kabisa zinapelekwa kesi huko Tira(mamlaka ya bima) kwa kuwachekeweshea wateja haki zao.Jamaa wana maigizo sana. Kiufupi ilibid mtu ukiwa na comprehensive ajali ikitokea unakuwa huna pressure,una wasiliana na dealer wako anashughulikia vitu vyote ikiwemo wewe binafsi unarudije nyumbani au kwenda ofisini au hospitali and what ever kwa gharama zake.Let's say umepata ajali na VX,dealer US atakutafutia gari equivalent na VX ili usione difference yoyote.Kiufupi Comprehensive inatakiwa kuwa stress free.
😃😃😃😃 kwamba reflector ilikua haisimami wima?daah noma sana.Bora yako Mkuu unaweza kuta upo T 000 DVZ
mm nililimwa cheti Tshs 30 kwa kukosa reflector ya pili kwani ilikuwa haisimami wima ikisimikwa lichwa ya kuwapa ki10
nimeshalimwa 30 ingine hiyo double road kwanini sikusimama zebra nikawaita wapita njia wavuke, m bado nipo namba T 000 AAA wameshajua ni bovu
Hakika, mimi wanafaidi hela zangu tu.Mimi walinilipa mkuu bila hata usumbufu,nilitaka kukorofishana nao kwny towing cost lkn nalo wali solve kwa kulipia gharama hizo,possibly ilikua ni bahati yangu mkuu.
Mjomba kibongo bongo suala la kupata ajali lipo nje nje, haijalishi ukubwa wa engine au udogo...Binafsi kabla ya kukatia gari insurance huwa nina asses exposure yangu kupata accident.Example,kama uendeshaji wangu wa gari barabarani ni wa nadra sana manake uwezekano wangu wa kupata ajili pia ni mdogo hivyo nitakata third party and vice versa.
Lakini pia huwa naangalia ukubwa wa engine ya gari,kama engine ya gari ni ndogo manake uwezo wa gari kupata accident kubwa na wenyewe unapungua.Example in US,ukiwa na gari lenye cc kubwa lazima utalipia insurance kubwa zaidi kwa maana risk ya kupata accident ni kubwa.
Then huwa naangalia Age pamoja na who is driving mara nyingi,Gari kama huwa nimelitumia miaka mingi huwa nalipia third party.Incase ikitokea pengine nimenunua gari na dereva ni mwingine probability ya kukata comprehensive ni kubwa.
Hahah ndio maana saa nyingine kuna tofauti ndogo sana kati ya Insurance vs Gambling maana kuna figisu figisu nyingi sana kwny mambo ya bima mkuu.Hakika, mimi wanafaidi hela zangu tu.
Inabidi siku nikawaombe bonus 😂 😂 😂
Ila nafikiri TIRA wanakazi kubwa ya kutuelimisha waTZ haki zetu na mipaka yetu inapokuja katika masuala ya bima, kuna vitu vingi vipo huko ambavyo havieleweki.
Mfano gari limeangukiwa na mti, au limepata damage kutokana na machafuko katika nchi au majanga ya kihali ya hewa. Katika matukio hayo bima watawajibika?????
Alafu hawa wajamaa wa bima wanauhakika na kipato ndo maana sioni wakiangaika kujitangaza au hata kututembelea maofisini kwa ajili ya masoko
Siku hizi wanajitahidi. Agent wako akiwa dedicated usumbufu hupati.Tanzania kuna maigizo ya Bima mkuu 😁 😁 😁 😁 ,Gari inapata ajali alafu huo usumbufu wake utadhania ulikuwa unapewa bure-Policy za insurance karibia zote duniani zinafanana ila treatment ni tofauti kabisa kati ya nchi na nchi.Kwanza ilibid gari ikipata ajali insurance co. ikutafutie gari nyingine inayofanana kihadhi na gari yako utumie kukamilisha shughuli zako mpaka claim yako itakapokuwa settled.Comprehensive Tanzania kiufupi ni overrated.
Kama nimesababishiwa na mwingine-Liability ina shift kwa huyo mwingine aliyesababisha (Bima yake ndiyo itakayo nilipa fullstop). Even if hana bima-Procedures zipo wazi kabisa na ni mbaya zaid kwake.Mjomba kibongo bongo suala la kupata ajali lipo nje nje, haijalishi ukubwa wa engine au udogo...
Unaweza ukajilinda ukasababishiwa na wehu wengine...
Procedure ipi na hana insurance wala hela ya kulipa? Utaambiwa mfungulie kesi ya madai aanze kukulipa 50,000/- kila mwezi na mahakamani atalipa faini 30,000/-.Kama nimesababishiwa na mwingine-Liability ina shift kwa huyo mwingine aliyesababisha (Bima yake ndiyo itakayo nilipa fullstop). Even if hana bima-Procedures zipo wazi kabisa na ni mbaya zaid kwake.
Secondly-Probability ya mtu kupata ajali hapa Tanzania kwa anayetumia gari yake kwendea ofisini tu ni ndogo kuliko yule anayetumia kwendesha Tax masaa 12 kwa siku. Just a simple mathematics.
Mjomba kibongo bongo suala la kupata ajali lipo nje nje, haijalishi ukubwa wa engine au udogo...
Unaweza ukajilinda ukasababishiwa na wehu wengine...
Duh hao wajomba Mungu anawaona!Bora yako Mkuu unaweza kuta upo T 000 DVZ
mm nililimwa cheti Tshs 30 kwa kukosa reflector ya pili kwani ilikuwa haisimami wima ikisimikwa lichwa ya kuwapa ki10
nimeshalimwa 30 ingine hiyo double road kwanini sikusimama zebra nikawaita wapita njia wavuke, m bado nipo namba T 000 AAA wameshajua ni bovu
Hizo kubwa kubwa huwa wanashare liability na insurance company nyingine, hata bado wanavuta mpunga mrefu kwa kweli.Hahah ndio maana saa nyingine kuna tofauti ndogo sana kati ya Insurance vs Gambling maana kuna figisu figisu nyingi sana kwny mambo ya bima mkuu.
Kuna kipindi niliona itv mkutano wa Wenye insurance Co. In Africa ulifanyikia Dar mgeni rasmi nakumbuka alikua mh. Pinda wkt anasoma hotuba yake akasema Insurance industry zina ukwasi mkubwa/liquidity kuliko Bank Industry,hapo ndipo point yako unaposema majamaa hawahangaiki hata kujitangaza kihivyo wanapata pesa mingu sana.
Fikiria kwa mfano rahisi:kuna Mabus Comprehensive insurance wanalipa kati ya Tsh. 29mil mpk 32mil,sasa jiulize kwa mfano hizi ndege zote za AirTanzania zinawalipa pesa ngapi hawa jamaa wa insurance?Hapo ndipo unajua haya majamaa yanapata pesa mingi sana.
Kuna raia aliniambia niache biashara ya kwenda kukata bima mwenyewe, nitumie mabroker.Siku hizi wanajitahidi. Agent wako akiwa dedicated usumbufu hupati.
Yes. Broker au agent akipeleka madai hawawezi kumzingua coz ana mamia ya wateja ambao anaweza kupeleka kampuni ingine. ILA wewe mmoja kampuni ya bima inakuona huna madhara.Kuna raia aliniambia niache biashara ya kwenda kukata bima mwenyewe, nitumie mabroker.
Nafikiri ushauri wake uliambatana na usumbufu wa ufuatiliaji
1st-Usipokuwa na insurance gharama za fidia utalipia mfukoni kwako-In this case jamaa anaclaim 100M kwa insurance Co. ambayo in absence of insurance ingedaiwa kwa mtu binafsiProcedure ipi na hana insurance wala hela ya kulipa? Utaambiwa mfungulie kesi ya madai aanze kukulipa 50,000/- kila mwezi na mahakamani atalipa faini 30,000/-.
Duh mkuu Tanzania ipi hio? Hii hii ambayo siku ikipita hujapitiwa hata na bodaboda unashukuru?!!